Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Hello!
Mimi ni wa Kristo yaani ni mkristo au kwa jina jingine ni muumini wa Yesu.
Sitoi na sitatoa sadaka
●Kwa namba ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu binafsi hata kama huyo mtu ni mchungaji, nabii, mtume, mwalimu au Mwinjilisti.
●Sitoi sadaka kwa kutuma kwenye acount ya bank yenye jina la mtu binafsi.
●Simpi sadaka anayehubiri barabarani au kwenye usafiri wa umma (mabasi) hasa akiomba sadaka. Pesa ampe aliyemtuma. Mungu hawezi kukutuma halafu ugeuke ombaomba. Hiyo haipo.
●Sitoi sadaka ambayo sijui inakwenda kutumiwa katika mazingira gani.
●Sitoi sadaka kwa mtu anayeweza kufanya kazi lakini tu kufanya kazi ya kuomba kama wale matonya wa posta.
Mimi ni wa Kristo yaani ni mkristo au kwa jina jingine ni muumini wa Yesu.
Sitoi na sitatoa sadaka
●Kwa namba ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu binafsi hata kama huyo mtu ni mchungaji, nabii, mtume, mwalimu au Mwinjilisti.
●Sitoi sadaka kwa kutuma kwenye acount ya bank yenye jina la mtu binafsi.
●Simpi sadaka anayehubiri barabarani au kwenye usafiri wa umma (mabasi) hasa akiomba sadaka. Pesa ampe aliyemtuma. Mungu hawezi kukutuma halafu ugeuke ombaomba. Hiyo haipo.
●Sitoi sadaka ambayo sijui inakwenda kutumiwa katika mazingira gani.
●Sitoi sadaka kwa mtu anayeweza kufanya kazi lakini tu kufanya kazi ya kuomba kama wale matonya wa posta.