Sitasoma tena gazeti la Mawio

Sitasoma tena gazeti la Mawio

hasira za mkizi au tuseme kuvuja kwa pakacha.

kadi bado zipo hasira zikipungua njoo uchukue nyengine.

BURE KABISA WEWE, UKITAKA KUSOMA HABARI ZA WATOTO WA VIMADA NUNUA MAGAZETI YA WATOTO WA VIMADA
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.



Wewe unadhani walivyotaka KUMPOFUA na acid huyo Mwandishi wao mmoja MNAFIKI ALIYETUKUKA walikosea? Ndiyo maana ana PUA Kubwa utadhani Kigimbi cha Donald Ngoma mchezaji wa Yanga.
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Gazeti la mgombea ubunge wa chadema jimbo la ubungo,unataka liandike nini?
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.
Si vibaya kutumia bunduki ya adui kumpiga adui. Fikiri vizuri utaona busara ya wapinzani kwa Lowasa.
 

Attachments

  • 1438271971211.jpg
    1438271971211.jpg
    23.3 KB · Views: 97
Ww ck zoooote unasoma gazeti la uhuru imekuwaje tena ukaitaka pilipili?
 
Fisadi kwa ushahidi upi?

Ushaambiwa, kama una ushahidi peleka mahakamani. Acha kupigapiga kelele!
 
Kanunue gazeti la uhuru,sikiliza tbc taifa,angalia tbc one,..burudika na tbc fm.......hahahahahaha
mna taabu nyie uvccm

na goli la mkono mwisho ni bafuni,,habar mnayo
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Kila la kheri!
Anza kununua uhuru!
 
Wewe ni mpumbavu. Lowasa amesasema suala la ufisadi ni ngazi za juu ndizo zilihusika na ndio maana yeye akajiuzulu. Anekuwa na makosa angafikishwa mahakamani, jambo ambalo tangu 2008 halijafanyika. Ni nini usichoelewa? mpumbavu ukimtwanga kweye kinu upumbavu wake hauwezi kumtoka. Tumshukuru Mungu Lowasa amejiunga UKAWA; Atasaidia sasa kuufumua mfumo wa ufisadi ulioko CCM kwa miaka mingi. Usipoteze kura yako. Mpe Lowasa, UKAWA watupe katiba nzuri KWA AJILI YA MAENDELEO NA UTAWALA BORA WA TAIFA LETU. LOWASA HOYEEEEEE!
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Wala hatukihitaji CHADEMA!!
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Mzee haya mambo ni personal, sijui kuchana kadi, kutonunua gazeti, ni sawa na vile ukimkopa mtu hauleti humu ndani, au mke wako kakunyima unyumba hauleti humu ndani, heshimu hisia zako, ila kama una hoja za msingi za kutosoma hile gazeti, ndiyo ulete humu, mfano vile usemavyo kuwa lowassa ni fisadi, unajenga hoja na ushahidi then watu tunakuelewa, ila ukileta mambo ya kuwasikiliza wanasiasa, sijui zitto alisema hivi, sijui mbowe au slaa walisema hivi mara mwakyembe alisema vile hatutakuelewa,

Njoo na hoja zako kwa jinsi ulivyoelewa, siyo kuendeshwa na matukio.

Maana wengi wanaendeshwa na matukio,

Arsenal walikuwa hawampendi Welbeck, wakati yupo man u, ila alivyohamia arsenal amekuwa jembe lao.

Vitu vingine ni utashi tu
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Wewe siyo mwanasiasa, ila ni mhanga wa hisia za siasa. Bila shaka hisia zikishapoa utarudi ktk hali yako ya kawaida. Pole nyeee,
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Kuikomoa Chadema na wewe ungejitumbukiza chooni pamoja na kadi yao.
 
Back
Top Bottom