Sitasoma tena gazeti la Mawio

Sitasoma tena gazeti la Mawio

Ulitaka kubenea aandike nini tofauti na kukilemba chama chake hasa wakati huu anapogombea ubunge wa jimbo la ubungo kupitia chadema!
 
Wewe ni mpumbavu. Lowasa amesasema suala la ufisadi ni ngazi za juu ndizo zilihusika na ndio maana yeye akajiuzulu. Anekuwa na makosa angafikishwa mahakamani, jambo ambalo tangu 2008 halijafanyika. Ni nini usichoelewa? mpumbavu ukimtwanga kweye kinu upumbavu wake hauwezi kumtoka. Tumshukuru Mungu Lowasa amejiunga UKAWA; Atasaidia sasa kuufumua mfumo wa ufisadi ulioko CCM kwa miaka mingi. Usipoteze kura yako. Mpe Lowasa, UKAWA watupe katiba nzuri KWA AJILI YA MAENDELEO NA UTAWALA BORA WA TAIFA LETU. LOWASA HOYEEEEEE!
Wewe ndiye pumbavu sasa
 
Nashangaa mijitu mizima inakurupuka eti itakuwa inanunua magezeti mawilimawili! Hii ni ishara ya matatizo makubwa ya akili. Pia Mimi nimesikitika sana katika gazeti lile. Kubenea anamponda slaa live! Kisa lowasa! Eti mtaji wa siasa! That is unethical, kumdanganya lowasa au wananchi! Nimeachana na chadema hata Mimi. Matusi na kashifa havijengi nchi.
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

pole kaka, siasa ndio ilivyo. Usishangae ufisadi wa ccm ukahamia cdm
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Wewe sio mwana chadema, acha kuhadaa watu!
 
Wafuasi wa lowasa hawana tofauti na wafuasi wa kibwetele ipo siku wataungua na chadema yao,ila lowasa atabaki mzima na kirejea zake ccm salama
Kaka uko sahihi 100 kwa 100.
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Uamuzi mzuri.
Nenda kwa mabwana zako magamba
 
Lakini kaka Kubenea unaheshimika sana kwa kufwatilia mambo, imekuweje tena miaka sita nyuma uliandika sana mambo ya Lowasa kwa nguvu zote, leo tena kunanini ndg yangu, kunahaja kuonana uso kwa uso kama ni ww kweli wa Zamani inawezekana mwingune
 
Sisi wananchi tunachokihitaji kwa sasa ni CCM itoke ili demokrasia inoge! Kuna mikataba mingi ya kijinga imefichwa na CCm, tutaipataje Ccm isipoondolewa kwanza. Wakina mama wanalalamika mboga zao kuharibikia kwenye friji kwa sababu ya shida ya umeme; tatizo ni CCM. Yako mambo mengi mazuri tutaendelea kuyakosa kama CCM itaendelea kutawala, ikiwa ni pamoja na katiba bora itakayomnufaisha kila Mtanzania.
 
Kuhusu mambo ya EL kuingia upinzani vichwa vya kuelewa vimeshaelewa mataahira ndio yanataka eti maelezo kwanini kapokelewa! Na wala waelewa hawahitaji hayo maelezo ya kumsafisha. Aliyemsafi kwa hao CCM aongee umbea wake.
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.
Soma UHURU/MZALENDO,DAILY/SUNDAY NEWS. TAZAMA, sikiliza TBC FM, UHURU FM, angalia TBC, Star tv
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

wewe sawa na kinyesi mbele ya lowasa,ulichana kadi kwa kuwa wewe ni kinyesi na husomi mawio kwa sababu hiyohiyo,zaidi we ni punguani sawa na nape.
 
Back
Top Bottom