Sitasoma tena gazeti la Mawio

Sitasoma tena gazeti la Mawio

Mkuu umechelewa sana mimi Mawio,Tanzania daima na Uhuru huwa sipotezi hela yangu kabisa kuyanunua
 
Wewe wewe usiponunua sisi twanunua.kasome uhuru na mzalendo
 
Ukizoea bao la mkono (bafuni) huwezi ukaiacha CCM . Huku CHADEMA mpira ni uwanjani na mchezaji lazima afuate Katiba na kanuni stahiki.
 
Umma wa Watanzania utawaukumu Ccm kukutengeneza mafisadi wanaokuja kupata sala yakitubio Chadema

Leo hii ndo cdm imegeuka centre ya kitubio!Kiimani kutubu kuacha na kuamini kitu kingine na toba inaambatana na majuto na kurudisha vile ulivyoiba au kuchukua kwa nguvu na hila kutoka kwa umma,Kumbuka Kwenye Biblia Zakayo alipotubu alirudisha mali zote alizoiba au kunyanganya watu kwa hila! Je hao mnaowatubisha wamefanya malipizi??? Acha sarakasi wewe!
 
ingawa mie sie mshabiki wa lowassa ila mwanachama wa cdm, lazima tutambue kuwa dunia tunamoishi ni dynamic. Ndiyo maana wahubiri wakuu ni wachungaji wa kilokole. Mapadre na makasisi wengine kwa sasa hawana mvuto kama hao wachungaji wa kilokole kama akina gwajima et. Al. Kwa nini wana mvuto ni kwa sababu ya uhalisia. Kawaida husema walikuwa walevi, wazinzi, majambazi etc na watu wanawaelewa na kuvutiwa nao. Mwisho wanasema kwa sasa wapo huru ndani ya yesu ambapo sie walevi, wazinzi, majambazi hutaka kuwafuata ili tuwe huru. Kwa mapadre huwezi kuwa mzinzi ukapata upadre hivyo wanaongelea hisia na si uhalisia wa wawahubirio.

Sasa turejee katika siasa, nadhani hakuna mchafu asiyependa kujitakasa. Kama alikuwa fisadi si haki kila wakati kumnyima fursa kwa kuangalia matendo yalopita bali tuangalia matendo yake yajayo (ingawa kuna usemi kuwa once a w.h.o.r.e always malizia.....). Angalia watawala walioingia madarakani wakiwa wasafi kama theluji, hata wabunge mwisho wa mihula yao wanakuwa mafisadi kwa kuiba raslimali za nchi. Pengine (haya ni mawazo yangu) kuwa aliyekuwa fisadi ni bora zaidi ya atakayekuwa fisadi akiingia madarakani kwani hata yeye atakuwa mwoga kuwa nikifanya hili nitajulikana. Hata umma utakuwa macho naye. Maisha ni kujaribu na kuchukua risk.

well said mkuu
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.
Ukisusa wenzako wala yakheee. Basi hamishia hasira zako kwenye magazeti ya Shigongo kama UWAZI, KIU, IJUMAA, JUMATANO, RISASI...ETC
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Ukisuasa wenzio wala yakhee. Basi hamishia hasira zako kwenye magazeti ya Shigongo kama UWAZI, RISASI, RISASI MCHANGANYIKO, KIU, IJUMAA, JUMAMOSI, N.K
 
Mimi nimesoma MAWIO la leo Alhamisi 30.7.2015, ni gazeti bora kuliko yote yaliyotangulia. BIG UP MAWIO! Huwezi kupendwa na watu wote, hata Mungu hapendwi na watu wote, wewe songa mbele, hakika wewe MAWIO ni chachu ya mabadiliko! I'm so proud of you!!!!!!
 
....the enemy of your enemy is your friend.

btw, kama kubenea amejiunga cdm ili kugombea ubunge na ndiye mwandishi wa makala nyingi za mawio, ulitegemea nini?
 
Wafuasi wa lowasa hawana tofauti na wafuasi wa kibwetele ipo siku wataungua na chadema yao,ila lowasa atabaki mzima na kirejea zake ccm salama
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

na jf usiingie tena mana ndipo utakapotaga kabisa
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.

Wewe umeacha leo mimi nimeanza kusoma leo
 
Back
Top Bottom