Sitasoma tena gazeti la Mawio

Sitasoma tena gazeti la Mawio

MzeePunch

Kwanini unavua nguo zako ndani ya jf! Hakuna asiyetambua maovu yaliyofanywa na CCM wakati wa Uongozi wa ENL! Kubwa hapa ni kupata wafuasi zaidi tukielekea uchaguzi mkuu. Sasa wote tukiungana na wewe kuchana kadi (dhahabu) ya cdm, kazi ya kuikomboa TZ tunamwachia nani!? Kuwa mwelewa ndg yangu! Shubiri ni chungu lkn tumeinywa ili tupone sisi na vizazi vyetu. Hata wewe ni shahidi, adui ya watz siyo mafisadi bali ni mfumo wa ccm. ENL hatakuwa na ubavu wa kuendesha nchi anavyotaka yeye. Ataongoza kwa sera murua za UKAWA. Lengo hapa ni kuing'oa ccm na siyo kuishi na visasi. Adui anapotekwa vitani huwa hauawi! Hutumiwa kama nyenzo nzuri ya kumshinda adui! Tafakari iwapo UKAWA itapata kura za watu milioni 2 kutokana na ujio wa ENL, hiyo si achievement kubwa kwako na makamanda wengine. Soma mfano wa shubiri hapo juu kisha fanya uamuzi sahihi!
 
Last edited by a moderator:
MzeePunch

Pole. ..
Sasa kulikuwa na haja gani kuja kuandika hapa?
 
Last edited by a moderator:
Umeziba masikio utaki kusikia..baki na ujinga wako
 

Attachments

  • 1438251558010.jpg
    1438251558010.jpg
    62.3 KB · Views: 127
MzeePunch

Kwanzia leo si fuata upepo umejitambua sehem sahihi ni WAZALENDO
 
Last edited by a moderator:
Ni vema kabisa usilisome, maana utapata kichaa bure!
 
Ulivyoanza kulisoma ulitutangazia? We vipi sisi tufanyeje sasa?
 
Na kasome Uhuru na RAIA mwem pamoja na habari leo
 
Kwa hiyo umechana kadi ya chadema, umerudi kwenye chama chako cha ccm chama cha majambazi
 
Ishaingia maumivu ndo anayasikilizia sasa
 
Leo nilinunua gazeti la Mawio ili kupata uchambuzi kuhusiana na CHADEMA kumpokea mkuu wa mafisadi na kumfanya mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Lakini badala yake nimekutana na habari nyingi zinazoonesha kusifia na kutetea uamuzi wa fisadi huyo kuingia CHADEMA.

Nilikuwa naliamini gazeti hili kama nilivyokuwa naiamini CHADEMA katika mapambano dhidi ya ufisadi. Sasa kuanzia leo sitanunua wala kusoma tena gazeti hili.

Siku fisadi alipopokelewa CHADEMA nilichana kadi yangu ya uanachama na kuitumbukiza chooni! Sitaki kuwa sehemu ya uchafu unaoendelea hivi sasa ndani ya upinzani.



Acha usilisome uzidi kuwa mbumbumbu
 
Back
Top Bottom