Sitakuja kuoa kamwe. Siamini kwenye Mapenzi

Sitakuja kuoa kamwe. Siamini kwenye Mapenzi

Kati ya saa 9 usiku mpaka saa 10 kasoro,kama ududu haujaamuka,muone daktari!....una shida kubwa ya upungufu katika jando lako!(scientifically)
 
Huyu nae limemkuta huko. Kaa kwa kutulia achana na viapo.

Nakumbuka mim huyu nilikua mmoja kati ya wanaume waliokua wakipepelusha bendela ya hakuna kuoa single maza lakin saiv nina mke mwenye watoto watatu na kila mtot ana baba ake. Sjabahatika kuzaa nae ila nampenda
 
sitaki kupenda niumizwe,sipendi ngono,natafuta hela sitaki mawazo ya kuwazawaza najipenda tu mwenyewe. maana nilizaliwe mwenyewe nanitakufa mwenyewe.siamini kupitia mapenzi naamini kupitia pesa.
Nilipo soma heading nilidhan huoi yule msemaji.
 
sitaki kupenda niumizwe,sipendi ngono,natafuta hela sitaki mawazo ya kuwazawaza najipenda tu mwenyewe. maana nilizaliwe mwenyewe nanitakufa mwenyewe.siamini kupitia mapenzi naamini kupitia pesa.
Kupitia mapenzi ya baba na mama yako wewe ulizaliwa...watu wote tukiwa na mawazo mabaya kama yako dunia itabaki utupu...
 
Back
Top Bottom