Anazingua sanaLengo la uzi wako ni kutafuta moto,hakuna asiyeelewa,ila lengo kuu kabisa ni kuharibu hadhi ya jukwaa hili,
Nyuzi zako zinaongelea jambo lile lile,so hapo kunakua na umuhimu gani wakufungua nyuzi na kuongelea jambo lile lile?
Huvutiwi na wanawake ilhali hiyo kitu inahisisha feelings... hizo nyeto zako unakuwa unazipiga ukivuta taswira ya watu wa jinsia gani?Navutiwa sana na nyeto najisevia tuh sitaki ngono na sitamani mapenzi na sivutiwi na wadada
Huwa mnatumia utaalamu gani ku determine this is kapuku and this isnt?Shezi sana ukome kapuku ww
Labda anavitiwa nami. Kama ndivyo, basi aje tu nimbomoe tu.Huvutiwi na wanawake ilhali hiyo kitu inahisisha feelings... hizo nyeto zako unakuwa unazipiga ukivuta taswira ya watu wa jinsia gani?
Unajua sometime mnatupa wakati mgumu sana kuwatetea secretarybird
Kuna uzi mwingine aliupost dakika chache tu baada ya kupost huu uzi,Moderator wameufuta.Anazingua sana
Wakopeshaji wa simu inabidi wawe wanaomba vyeti vya hospital vinavyoonyesha mtu hana changamoto ya afya ya akiliKuna uzi mwingine aliupost dakika chache tu baada ya kupost huu uzi,Moderator wameufuta.
Kwamba umtumbueLabda anavitiwa nami. Kama ndivyo, basi aje tu nimbomoe tu.
Nimechoka kusikiliza ngonjera 😎
Vizuri tu!Kwamba umtumbue
Jilie tu mkuuVizuri tu!
Mtoto akililia wembe mpe jembe.
Kumbe ndio maana alikufungulia uzi kwa ile Chadema 2030 au selina tikili😅 ikafutwa fasta🤣
Hanith mwenzio huyoUsipovutiwa na wanawake,wewe utavutia wanaume. Jiangalie.
Bwashee alinifungulia uzi mimi?Kumbe ndio maana alikufungulia uzi kwa ile Chadema 2030 au selina tikili😅 ikafutwa fasta🤣
Kashfa tu za kishamba, nilikua sijajua sababu mpaka nilipo ona huu uziBwashee alinifungulia uzi mimi?
Alikua anasemaje?
Au ungesema kuwa wewe ni muoga wa kutongoza wanawake kwasababu hauna resources za kuback-up maongezi yako baada ya kuwatongoza.Navutiwa sana na nyeto najisevia tuh sitaki ngono na sitamani mapenzi na sivutiwi na wadada
Basi mods wamekosea kuufuta,mimi natafuta vita za aina hiyo,ndio enjoy kwangu.Kashfa tu za kishamba, nilikua sijajua sababu mpaka nilipo ona huu uzi
Ndio huyo huyo mchicha mwiba.
Mi nashauri kwa kuwa hataki kuoa, akaolewe kamati itampa kama bilioni 2 hiviTuhadithie kwanza amekufanyaje