Imekaa njema sana.sitaki kupenda niumizwe,sipendi ngono,natafuta hela sitaki mawazo ya kuwazawaza najipenda tu mwenyewe. maana nilizaliwe mwenyewe nanitakufa mwenyewe.siamini kupitia mapenzi naamini kupitia pesa.
Mnakaribishana mfarijiane wapi Chadema 2030 ? Mtakuja mbakane mjue? Shauri yenu.Naipenda nyeto!karibia humu mkuu tufarijiane
Acha uchokozi🤣🤣🤣Tuhadithie kwanza amekufanyaje
Kuna I'd ya yule dogo aliye dai anavutiwa na wanaume ana sound kama huyu🤔Maisha ni yako na maamuzi ni yako,
Wala hukua na haja ya kutuambia juu ya maamuzi ya maisha yako,
Huu uzi ni dalili ya kua hujiamini kwa maamuzi yako uliyo yachukua,
Hapa unatafuta Public validation au Public approval rather than from within.
Bwashee unamuongelea yule dogo anajiita Seleina tikili.Kuna I'd ya yule dogo aliye dai anavutiwa na wanaume ana sound kama huyu🤔
Ndio mkuu , yawezekana kavua gamba kaja kivingine swaga zao ni zile zileBwashee unamuongelea yule dogo anajiita Seleina tikili.
Kama hataki kulomba, hataki na nyeto. Huyu cjui tumuweke kundi gan