Nilichogundua humu ndani katika huu uzi huyu #Jstar1 ni premature naona sitakuwa nimemtusi kwa lugha hiyo, alafu hataki jifunza na kujua jambo....
Jamaa kaweka PDF zenye ushahidi lakini still anatetea uozo, inamaana majina matatu yaliochomekwa ambayo hayakupita katika mchakato mzima yametoka wapi kwa akili yako ya kawaida(Jstar1)...?
Jifunze kujifunza, unamuuliza jamaa (Converse) watu wengine mbona hawajakuja JF kucomplain, watu tuko tofauti jamaa kachimba na kulitambua jambo yakuwa kuna shida na ushahidi anao tofauti na wengine au wewe ambaye umepata iyo nafasi yako...
Mimi nafikiri mzee ushukuru tu na nafasi uliyopata asee na si kukaa kifua mbele kutetea taasisi fulani kwakuwa umepata nafasi....
Ujumbe kwa Jstar1 "Not everything is as it seen"