Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Kwahiyo tarehe moja unaingia TPA?wapo wengi man, m mwenyewe ila jamaa anapotosha kinoma
Kwahiyo tarehe moja unaingia TPA?wapo wengi man, m mwenyewe ila jamaa anapotosha kinoma
Toa evidence ya majina mkuuDah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
Mhhhh!!! utawaponza watoto wa watuDah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
sio mapya mkuu, mara nyingi huwa wanaweka pia watu ambao wapo kwenye database ambao walifanya usaili wa kazi kama yako uloomba na hawakupata nafasi hapo nyuma kutokana na ushindani kuwa mkubwa...mfano kipindi cha nyuma alipata 60% mkaja nyie mkafanya usaili wa kazi mkapata 59% wataanza kumconsider huyo wa 60 kwanza.
sio mapya mkuu, mara nyingi huwa wanaweka pia watu ambao wapo kwenye database ambao walifanya usaili wa kazi kama yako uloomba na hawakupata nafasi hapo nyuma kutokana na ushindani kuwa mkubwa...mfano kipindi cha nyuma alipata 60% mkaja nyie mkafanya usaili wa kazi mkapata 59% wataanza kumconsider huyo wa 60 kwanza.
tupo kwenye kozi, tiar tumeitwa mda, tangu tar 09Kwahiyo tarehe moja unaingia TPA?
sio mapya mkuu, mara nyingi huwa wanaweka pia watu ambao wapo kwenye database ambao walifanya usaili wa kazi kama yako uloomba na hawakupata nafasi hapo nyuma kutokana na ushindani kuwa mkubwa...mfano kipindi cha nyuma alipata 60% mkaja nyie mkafanya usaili wa kazi mkapata 59% wataanza kumconsider huyo wa 60 kwanza.
ilikua ata kama ipo ila sio sanaKwanini hayo majina ambayo yapo database wanayaficha sasa ?
Hapa Bongo kama kura za viongozi wakubwa wanachakachua watashindwa sekretiati ya ajira na utumishi?
Kwa hiyo hakuna watu waliopita hapo utumoshi kwa kuchakachua Mkuu?
Vice versa is True
so jamaa jipange ila kwa saivi ajira zinazopita itumishi kidogo wako fair TPA, walipelekewa majina tu, na kila mtu anashangaa maana watu wameingia kiulaini ma ajira zilkua 302, wanadai maombi yalitumwa ya watu 22000+, so hawawezi kupata wote,
Ila mkuu jaribu kutafta wengine waloitwa watakupa ukweli,
cheti FEKI wewe!!
kipotezee mkuu, ila jua nlipataUmepata kitengo gani
kipotezee mkuu, ila jua nlipata
Haya....endelea na msako wa bikra na ivi utapata mshahara wa kugawana nao ndio itakua balaa zaidi






, ntanunua kinu cha kuchakata papuchi, saivi nanukia harufu ya hela a.K.A pesa.
, ntanunua kinu cha kuchakata papuchi, saivi nanukia harufu ya hela a.K.A pesa.
ila JF kuna wadada wazuri saiv ntakua mwema maana nmeopoa mtoto mkali JF
Ushahidi wooot
e toka mwanzo wa zoezi ninao.. Nakosa tu mahali sahihi pa kuupeleka.. Majina 3 ambayo hayakuwepo usailini yamechomekwa pale ndani..
Sema umechemka tu. Siku hizi ajira bandari zinatolewa na Utumishi...Urasimu mkuu... Watu bado wanapeana kazi Sana pale ndani
Huo unaitwa 'upendeleo' sio 'urasimu' mkuuUrasimu kaka.. Mjomba anamleta mpwa anampa ilihali hajafanya usaili




nachofikili ngoja nipate ela nkimbie nyumbani kwanza, nkapange uko
Wapo wengi sana humu wazuri ishu inakuja tu unajua kupoint???