Sitaki tena ajira Bandari

Sitaki tena ajira Bandari

Mtu aliefanya interview utumishi akapata hawezi kukubali kua utumishi wana urasimu. Maana yeye alikua hamjui mtu na akapata

Ila wanaosema utumishi wana urasimu wasipuuzwe.Inawezekana wameona na wana evidence. Sio kwa sababu ulifanya na ukapata bila kushikwa mkono ndio kwamba wako 100% fair hapana.
 
Mtu aliefanya interview utumishi akapata hawezi kukubali kua utumishi wana urasimu. Maana yeye alikua hamjui mtu na akapata

Ila wanaosema utumishi wana urasimu wasipuuzwe.Inawezekana wameona na wana evidence. Sio kwa sababu ulifanya na ukapata bila kushikwa mkono ndio kwamba wako 100% fair hapana.
Mkuu kawaida ya utumishi mkifanya usahili na mkafaulu wengi huku nafasi ni chache wanakawaida ya kuwaweka watu wengine kwenye database ili ikitokea kazi iyo tena wale waliopo kwenye database wanapangiwa vituo vya kazi bila hata kufanya interview tena

Mtoa mada analalamika kuwa kuna watu wamepangiwa vituo vya kazi bila kufanya interview...tumemuuliza anaweza ku prove vipi kuwa hao waliopangiwa vituo vya kazi hawakwepo kwenye database ya utumishi...naona kakimbia na kashindwa kunijibu hilo swali mpaka mda huu
 
Nenda na ushahidi hapo bandari waambie wakupe kazi lasivyo utaexpose madudu yao
 
Mkuu kawaida ya utumishi mkifanya usahili na mkafaulu wengi huku nafasi ni chache wanakawaida ya kuwaweka watu wengine kwenye database ili ikitokea kazi iyo tena wale waliopo kwenye database wanapangiwa vituo vya kazi bila hata kufanya interview tena

Mtoa mada analalamika kuwa kuna watu wamepangiwa vituo vya kazi bila kufanya interview...tumemuuliza anaweza ku prove vipi kuwa hao waliopangiwa vituo vya kazi hawakwepo kwenye database ya utumishi...naona kakimbia na kashindwa kunijibu hilo swali mpaka mda huu
Na hiyo database ya utumishi kwanini inakuwa kificho? kwanini isiwe wazi Mkuu?
Hilo ndio chaka lakupitishia watu hapo
 
Dah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
Appeal iletwe list ya all applicants ufanye matching
 
Ushahidi wooote toka mwanzo wa zoezi ninao.. Nakosa tu mahali sahihi pa kuupeleka.. Majina 3 ambayo hayakuwepo usailini yamechomekwa pale ndani..
Nimefanya oral km zote utumishi. Lakini sijawahi pangiwa kituo cha kazi. May be coz sina ndugu wala jamaa ndo maana naishia kula za uso. Usilaumu sana kaka kila jambo linasababu yake.
 
Nimefanya oral km zote utumishi. Lakini sijawahi pangiwa kituo cha kazi. May be coz sina ndugu wala jamaa ndo maana naishia kula za uso. Usilaumu sana kaka kila jambo linasababu yake.
Umefanya Oral ngapi hadi sasa Mkuu🤔
 
Walifanyiwa interview mkuu,
Dah acha tu mkuu... Urasimu kuisha serikalini bado Sana... Mtu haitwi kwenye usaili na wala hafanyi usaili lakini jina linakuwepo kwenye shortlist ya kuitwa kazini
Wengine nyumbani
Wengine bar
Wengine lodge
 
Database (kanzidata) ya utumishi ndio tobo pekee lililobaki kwa watu wenye nyadhifa zao kuingiza watu serikalini... waweke uwazi hapo kwenye kanzi data (kwanini wanaficha) na waseme mtu ameingia kwa oral ipi… hapo ndio unaweza mwaga machozi
Hio bado ni kitendawili mkuu
 
Back
Top Bottom