Sitaki tena ajira Bandari

Sitaki tena ajira Bandari

Kwa wenye macho ya mbaaali kama mimi hebu pitia vizuri jina moja baada ya jingine kwa Kozi ya Operation Clerk C.. Ukurasa wa 152
Hatupokei ushahidi wa mitandaoni.utakuwa huna sifa wewe
 
Nafasi hazitoshi kama umekosa leo. Jaribu siku nyingine mkuu
Usikurupuke huko ulipotoka.. Wenye akili timamu wanajua nimeandika nini.. Rudi nyuma view attachment zilizopo ndo uje uulize
 
Hujaelewa hoja ya mleta mada..Anasema kuna watu hawakuwepo kwenye zoezi zima la usahili toka mwanzo lakini wamepata kazi..Hoja yake kubwa ndo hiyo..

Huoni kama kuna tatizo??
Mkuu unajua kuwa utumishi mtu akifanya vizuri kwenye usahili taarifa zake huwa zinabaki kwenye data base so ikitokea kazi mbeleni ya field yake huwa anaitwa ku report kazini moja kwa moja...unalijua hilo???
 
Usikurupuke huko ulipotoka.. Wenye akili timamu wanajua nimeandika nini.. Rudi nyuma view attachment zilizopo ndo uje uulize
Mkuu haina haja ya matusi hapa tunawekana sawa...Mkuu unajua kuwa utumishi mtu akifanya vizuri kwenye usahili taarifa zake huwa zinabaki kwenye data base so ikitokea kazi mbeleni ya field yake huwa anaitwa ku report kazini moja kwa moja...unalijua hilo???

Unauhakika gani na unaweza kuleta uthibitisho kuwa hao walioitwa kazini hawakuwa kwenye database yao???

Hii inamaana gani...hii inamaana kuwa hata wewe kama umefanya vizuri kwenye iyo interview na nafasi zilikuwa chache basi jina lako limebaki kwenye database yao...ikija kutokea nafasi ya kazi kama iyo wewe utapangiwa kituo cha kazi bila hata kufanya interview....sasa je watakaofanya interview kipindi hicho na wenyewe walalamike kuwa wewe umeingizwa kazini kijanja???
 
hahaaa halafu wote watatu ni wachaga, huyo aliewapachika anachezea sharubu za JIWE
 
Dah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
tuligundua huna kadi ya kijani.
so ikabidi twende hapa mtaa wa Lumumba kuokoteza misukule wanaouza sare zetu za njano na kijani.
 
Ushahidi unaendelea.. Hili ni tangazo la kuitwa kazini.. Kuna majina matatu mapyaaa kabisa yameonekana humo ktk kada hiyo2 ya Operation Clerk C... Kwa nini nisipate mashaka kama msailiwa huru...
Mkuu mimi bado hujajibu swali langu...una uhakika gani hao walioitwa kwenye usahili hawakuwa kwenye database ya utumishi??

Mi kuna mtu namfahamu ni rafiki angu tena mtoto wa mkulima tu kama sisi juzi kati aliitwa kazini tena kwenye kitengo nyeti bila hata kufanya usahili but alishafanya usahili wa post kama iyo siku za nyuma tena ni mda mrefu tu umepita

Hao utumishi ni kweli wana madudu yao sababu watu wengi huwa wanawalalamikia so watu wote hawawezi kudanganya but kuna vitu huwa mnawasingizia
 
ukiendelea atasema unajiona na umemuita mjinga
Mkuu mimi bado hujajibu swali langu...una uhakika gani hao walioitwa kwenye usahili hawakuwa kwenye database ya utumishi??

Mi kuna mtu namfahamu ni rafiki angu tena mtoto wa mkulima tu kama sisi juzi kati aliitwa kazini tena kwenye kitengo nyeti bila hata kufanya usahili but alishafanya usahili wa post kama iyo siku za nyuma tena ni mda mrefu tu umepita

Hao utumishi ni kweli wana madudu yao sababu watu wengi huwa wanawalalamikia so watu wote hawawezi kudanganya but kuna vitu huwa mnawasingizia
 
Back
Top Bottom