Sitaki tena ajira Bandari

Sitaki tena ajira Bandari

Pole kwa hao..Kuna watu wanabisha TPA hakuna ubebwaji wakati upo Sana tu..
Kuna mtu humu kapata kazi anaona wengine wajinga mnoo.. Halafu bado anakataa TPA hakuna ubebwaji.. Hebu fikiria TASAC na TAA walifanya usaili baada ya kuwa TPA wameshafanya usaili.. Cha kushangaza TASAC na TAA wapo kazini toka mwez July.. TPA wameenda Kukaa na majina ya watu miezi eti wanaanda barua za ajira.. Asiefahamu haya lazima aone vitu rahisi tu
 
Zamani kipindi Cha overtime na malupulupu ya safari ..siku hizi hamna kitu Cha maana labda wale wanaoenda SBM
ni kweli zimepungua ila overtime ndo wanapga parefu na posho ya chakula, night allowance
 
ni kweli zimepungua ila overtime ndo wanapga parefu na posho ya chakula, night allowance
Ungechaguliwa Marine ndio ungefaidi kule wanapiga pesa nzuri sana
 
Kuna mtu humu kapata kazi anaona wengine wajinga mnoo.. Halafu bado anakataa TPA hakuna ubebwaji.. Hebu fikiria TASAC na TAA walifanya usaili baada ya kuwa TPA wameshafanya usaili.. Cha kushangaza TASAC na TAA wapo kazini toka mwez July.. TPA wameenda Kukaa na majina ya watu miezi eti wanaanda barua za ajira.. Asiefahamu haya lazima aone vitu rahisi tu
Hiyo ndio Tpa mkuu ila usikate tamaa wakati wako upo .
 
io itabaki kua nge, maana hujui niko wapi
Wewe ni Security Guard. Ulikua na account humu ukapigwa ban, na sasa umefungua hii.

Mdogo wangu, tatizo unaongea sana mambo yako, ni rahisi mtu kukufuatilia humu na kukufanyia kitu kibaya, punguza majivuno na kuongea sana ishu zako kwa watu.. Wachawi wengi siku hizi, kama umepata kausha kapige kazi mwanangu, kwani ni lazima kila mtu ajue umepata?
 
Wewe ni Security Guard. Ulikua na account humu ukapigwa ban, na sasa umefungua hii.

Mdogo wangu, tatizo unaongea sana mambo yako, ni rahisi mtu kukufuatilia humu na kukufanyia kitu kibaya, punguza majivuno na kuongea sana ishu zako kwa watu.. Wachawi wengi siku hizi, kama umepata kausha kapige kazi mwanangu, kwani ni lazima kila mtu ajue umepata?
Huyu bwana mdogo ana kaulimbukeni Sana.. Namuonea huruma kwa style hii ya majivuno aliyonayo sintoshangaa kusikia yupo nje asidhani bandari ni ile ya JK..
 
Inanikumbsha bodi ya maktaba 2014 watoto wa mabos wa bodies 90% walipata
 
Dah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
Umejuaje kama hayo majina hayakuwepo?
 
Dah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
Acha uongo ww kada gani waliita watu wapyaa
 
Watu walalamishi sana, kwahiyo ulitaka uitwe wewe!!? Kwanza practical ulikua wangapi maana hakuna kada ambayo ameachwa mtu aliyefanya vizur sana katika upande wa practical....yaani watu wamezoea kulalamika tu.. wanafunz wa bandar wanalalamika kua walihaidiwa nafas na hawajaajiriwa, vibarua wa bandar wanalalamika kua hawaja ajiriwa , na nyie watu wa nje mnalalamika kua hamja ajiriwa, sasa walioajiriwa ni watu kutoka wapii??? Acheni lawama zisizo na msingi kazeni boot, kwenye ile practical kuna watu walijituma sana kama ma diver na masailor mpaka wakawavutia wale jamaa wa tpa na wakafanikiwa kuitwa kazini na hawakua na mtu yyte wanaemfahamu,
 
Watu walalamishi sana, kwahiyo ulitaka uitwe wewe!!? Kwanza practical ulikua wangapi maana hakuna kada ambayo ameachwa mtu aliyefanya vizur sana katika upande wa practical....yaani watu wamezoea kulalamika tu.. wanafunz wa bandar wanalalamika kua walihaidiwa nafas na hawajaajiriwa, vibarua wa bandar wanalalamika kua hawaja ajiriwa , na nyie watu wa nje mnalalamika kua hamja ajiriwa, sasa walioajiriwa ni watu kutoka wapii??? Acheni lawama zisizo na msingi kazeni boot, kwenye ile practical kuna watu walijituma sana kama ma diver na masailor mpaka wakawavutia wale jamaa wa tpa na wakafanikiwa kuitwa kazini na hawakua na mtu yyte wanaemfahamu,
Umeandika uchafu usioelezeka.. Rudi nyuma view attachment nilizotuma then utajua sio unakuja kuandika matope kama P***nga
 
Watu walalamishi sana, kwahiyo ulitaka uitwe wewe!!? Kwanza practical ulikua wangapi maana hakuna kada ambayo ameachwa mtu aliyefanya vizur sana katika upande wa practical....yaani watu wamezoea kulalamika tu.. wanafunz wa bandar wanalalamika kua walihaidiwa nafas na hawajaajiriwa, vibarua wa bandar wanalalamika kua hawaja ajiriwa , na nyie watu wa nje mnalalamika kua hamja ajiriwa, sasa walioajiriwa ni watu kutoka wapii??? Acheni lawama zisizo na msingi kazeni boot, kwenye ile practical kuna watu walijituma sana kama ma diver na masailor mpaka wakawavutia wale jamaa wa tpa na wakafanikiwa kuitwa kazini na hawakua na mtu yyte wanaemfahamu,
Hujaelewa hoja ya mleta mada..Anasema kuna watu hawakuwepo kwenye zoezi zima la usahili toka mwanzo lakini wamepata kazi..Hoja yake kubwa ndo hiyo..

Huoni kama kuna tatizo??
 
Back
Top Bottom