Sitaki tena ajira Bandari

Sitaki tena ajira Bandari

Sema umechemka tu. Siku hizi ajira bandari zinatolewa na Utumishi...
kachemka vya kutosha, itnitakua lugha ya malikia aliyumba, uke usaili ulikua wa moto, watu 302, walkua wanaitajka, maombi yakawa 22000+ haiwez kosa mtu ya kulalamika
 
Hapa ni JF the place where we dare to talk openly, Mimi naona uwataje tu tuwajue
 
Kuna watoto wanaongea uchafu sana humu ndani. Sasa kwa kuwa wametaka ushahidi acha nimwage mboga..
 
alaf kwa ao makarani umeyumba mkuu, kuna dogo mmoja kasoma bandar collage, kapata kazi, hamjui mtu sa amepitaje mkuu, tena ni demu mkali tu na ni rafk kinyama

sa mkuu umezidiwa na demu kwenye interview, nyie uku bandarini ndo wanawategemea kua makini, itakua ulikosa kwa uzembe wako,
Uzembe gani unahisi mi ulinifanya nikakosa Kazi.. Matokeo ya Written nilikuwa kwenye top ten.. Sijui wewe Mwenzangu.. Pia unapozungumza jaribu kuuzungumzia ubinafsi wako.. Upstairs nipo vzr Sana.. Unajaribu kutetea sana kwa kuwa umepata.. Nimekutumia hizo Doc 2 pitia vzr then unambie hicho unachosema
 
alaf kwa ao makarani umeyumba mkuu, kuna dogo mmoja kasoma bandar collage, kapata kazi, hamjui mtu sa amepitaje mkuu, tena ni demu mkali tu na ni rafk kinyama

sa mkuu umezidiwa na demu kwenye interview, nyie uku bandarini ndo wanawategemea kua makini, itakua ulikosa kwa uzembe wako,
Ndugu yangu unaongea Shit sana kuna maisha baada ya kupata Kazi acha huo utoto hiyo nafasi wamekosa watu na si kwamba VILAZA hapana kuna mda jaribu kutenga muda kumshukuru MUNGU wako na si kumkejeri kila mtu aliyekosa na kujiona zaidi MUNGU anachukia kitu unachokifanya.
 
alaf kwa ao makarani umeyumba mkuu, kuna dogo mmoja kasoma bandar collage, kapata kazi, hamjui mtu sa amepitaje mkuu, tena ni demu mkali tu na ni rafk kinyama

sa mkuu umezidiwa na demu kwenye interview, nyie uku bandarini ndo wanawategemea kua makini, itakua ulikosa kwa uzembe wako,
Pitia vzr hizo Doc ndo uje ubwabwaje hayo matope yako
 
Ndugu yangu unaongea Shit sana kuna maisha baada ya kupata Kazi acha huo utoto hiyo nafasi wamekosa watu na si kwamba VILAZA hapana kuna mda jaribu kutenga muda kumshukuru MUNGU wako na si kumkejeri kila mtu aliyekosa na kujiona zaidi MUNGU anachukia kitu unachokifanya.
Ndo nimejaribu kumuelewesha naona hata umri wake bado.. Ile Top ten ya written niliekuwemo.. Cha ajabu kwenye ile top ten kachukuliwa mtu aliekuwa namba kumi.. Figisu za usaili huu zilianzia pale...
 
Hapa ni JF the place where we dare to talk openly, Mimi naona uwataje tu tuwajue
 
Hapa ni JF the place where we dare to talk openly, Mimi naona uwataje tu tuwajue
Haina haja mkuu.. Doc nilizoweka nadhani zinatosha na wanajijua.. Pitia vzr hizo Doc utauona utofauti uliopo..
 
tatizo so ilo, tatio ni yeye kuonawalopita wameonga,

Alafu kwenye usaili kuna kada, usaili wa vitendo unakua ni 60% na na utumishi ni 40%, na oral mara nyingi ua ni 100%, ko kufaulu, oral sio guarantee ya kupata kazi.

alafu jamaa anachokosea anaona waloitwa hawafai, yeye kwakua alifaulu oral, ndo alitaka aitwe, ila mambo hayako ivo, na upendeleo upo sawa na kila sehemu ata apo alpo.

kama wapo walopendelewa wamo sawa au hawamo, ila kwanini hayumo kwa wale walopita kwa usahihi,
Ndugu yangu unaongea Shit sana kuna maisha baada ya kupata Kazi acha huo utoto hiyo nafasi wamekosa watu na si kwamba VILAZA hapana kuna mda jaribu kutenga muda kumshukuru MUNGU wako na si kumkejeri kila mtu aliyekosa na kujiona zaidi MUNGU anachukia kitu unachokifanya.
 
sa mlikua 152, wanataka 48, huoni kama walokosa ni wengi, na wengi wao wametulia
 
, ntanunua kinu cha kuchakata papuchi, saivi nanukia harufu ya hela a.K.A pesa.

ila JF kuna wadada wazuri saiv ntakua mwema maana nmeopoa mtoto mkali JF
Sina hakika kama unafahamu umuhimu wa kazi uliyoipata.. Kuwa makini na hapo ulipo.. Huku mtaani nina watu dizaini yako wengi sana na tena walifikia hatua ya OO na AOO lakini kwa mawazo kibaba kama haya yako now tunasaga rhumba pamoja huku mtaani
 
Back
Top Bottom