Shida nini mkuu? Weka wazi basi boss wangu🤔Sitaki tena ajira za serikali.. Walichokifanya Mamlaka ya Bandari sina hamu kabisa
Dah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
Kama ushahidi unao na unaweza kujitetea ukibanwa unakomaa nao tu, unaanza kupeleka taarifa kwenye magazeti habari zinasambaa hadi zinamfikia magu.Ushahidi wooote toka mwanzo wa zoezi ninao.. Nakosa tu mahali sahihi pa kuupeleka.. Majina 3 ambayo hayakuwepo usailini yamechomekwa pale ndani..
Uweke hapa Kama mwezio aliyefanya usaili Brela alivyouweka wa kwake humu.Ushahidi wooote toka mwanzo wa zoezi ninao.. Nakosa tu mahali sahihi pa kuupeleka.. Majina 3 ambayo hayakuwepo usailini yamechomekwa pale ndani..
Mkuu baadhi ya taasisi za serikali wanaajiri mwezi mmoja au miwili kabla alafu ndio wanatoa tangazo la kazi kama geresha tu na wanapitia hatua zote za usahili na unashangaa watu hawaitwi kaziniDah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo
Dah kama mambo yapo ivyo bado tuna safari ndefu sana itabidi nikubaliane na ule msemo wa haki inapatikana mbinguni pekee mungu atusaidie sanaMkuu baadhi ya taasisi za serikali wanaajiri mwezi mmoja au miwili kabla alafu ndio wanatoa tangazo la kazi kama geresha tu na wanapitia hatua zote za usahili na unashangaa watu hawaitwi kazini
Sio mapya mkuu, mara nyingi huwa wanaweka pia watu ambao wapo kwenye database ambao walifanya usaili wa kazi kama yako uloomba na hawakupata nafasi hapo nyuma kutokana na ushindani kuwa mkubwa...mfano kipindi cha nyuma alipata 60% mkaja nyie mkafanya usaili wa kazi mkapata 59% wataanza kumconsider huyo wa 60 kwanza.Dah we acha tu mkuu.. Unakomaa kwenye written unabutua vyema.. Oral inapita salama.. Maajabu yanakuja kwenye kuitwa kazini.. Majina mapyaaa hata kwenye usaili hayakuwepo