Sitaki huruma yenu, lakini Wakuu maisha yananigonga vibaya sana!

Una mkopo au?
Kama huna mkopo maisha ya chuo ni magumu.
Mimi nilikosaga mkopo niliambiwa kozi niliyoomba hawapewagi mkopo.

Nikaambiwa wanapewa mkopo waliosomea shule za serikali, mimi nimesoma private na o'level nje ya tz kwa hiyo ikawa ngumu kupata mkopo.

Solution nikaanza biashara za nguo, sikuwahi kuingia darasani juma nne na ijumaa labda kama nina mtihani.

Mungu ni muaminifu stress zote hizo sikuwahi kupata sap, cheti kimejaa c za kutosha, sina A nadhani nina B 3 sikumbuki vizuri.

Biashara hiyo ilinipa vijipesa, wadada wakipata boom mm nawaletea nguo kali za kuendea club.
Nilikuwa nakula vizuri na ada kiasi inapatikana kwenye biashara nyingine naitoa kwingine niliko kuwa nimeweka ka hela fulani faida napata kwenye msimu.

Chuoni sio lazima usome tu, fanya na vitu vingine vikuingizie ka pesa, huwezi kuendelea kuwaomba wazazi wakati kuna wadogo zako.

Kama nilifaulu chuo na koz ngumu vile wewe utashindwa nini? Wakati wa usiku kauze nguo na weekend.

Huwezi kusoma wakati una njaa. Polee.
Mapito ya mtoto wa kike na WA kiume hayalingani asilani!!
 
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
The fqct unaweza ku afford vocha ya kupost huku, wewe bado una nafasi. Structure priority zako kujihudumia
 
Hili wazo liliishia wapi?
 
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Wakati nipo chuo, nikashalipa ada kwa kutumia boom, huku nakaa hostel. Kuna kipindi nilikuwa naishi nisijue leo naishije. Nikakopa TALA, BRANCH & MPAWA lakini wapi. Baadaye kuwalipa hawa bwana nilishindwa, waakanza kunitisha wanatuma askari wao kunikamata mara sisi wanigeria tutakuloga. Ila yote kwa yote yalipita na sasa naheshimika sana. Vumilia, pambana wala usikate tamaa. Siku yako yaja. Jiepushe na uasherati, mkumbuke Mungu na yeye atakusaidia. Luka 7:23 imeandikwa Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie. Hakikisha Bwana Mungu anakuona kwa maombi na sala zako.
 
Kaza mkuu sisi tukiwa tunasoma tulikula mpaka panya buku ,nyie vijana wa sku hizi legelege mno mkisha vaa zile yeboyebo zenu zenye midomo kama pua nguruwe mnajiona miamba sna.
 
Nimepitia baadhi ya nyuzi zako. Hujaanza leo kulia lia. Nadhani pia una sonona maana malalamiko yako ni constant. Tafuta mtu uongee naye na ikibidi tafuta msaada wa kitabibu. Unaweza ukaja kujidhuru wewe!

Inakubidi pia utambue kwamba kila mtu unayemuona ana changamoto zake japo watu hawasemi. Na tambua kwamba maisha yako haya ni jukumu lako mwenyewe 100% na kulalamika na kulaumu laumu watu hakutakusaidia cho chote; maana kusema kweli hakuna anayejali (labda mama yako!)

Kozi uliyosoma ni nzuri na naamini hutakosa mahali pa kujishikiza hata kama ni kwa kujitolea kwanza. Tatizo kubwa kwa sasa ni hiyo attitude yako. Umeruhusu na kujiaminisha kuwa wewe ni masikini mnyonge na huna cha kufanya isipokuwa kulalamika tu na kulaumu laumu. Ukiibadilisha tu hii attitude yako na kuwa positive utaona mambo yataanza kubadilika.

 
Wenzako Wanapenda Juu Ya Meza Wanapata Pesa Wee Upo Umezubaa, Kijana Changamka Hapa Bongo Ukizubaa Umeachwa Ferry!!!
 
asikae idle sasa ajishugulishe kama anandugu aombe msaada huku na yeye anawaza cha kufanya maisha ya chuo ni challenge kama huna pesa najua. Kingine ni bora kiwa muwazi kwa ndugu na jamaa,, ukute anajikaza kisa yeye mwanaume, atapata stress mwishowe adisco
Psychologically jamaa ana hasira sana!!halafu ni hustle in nature!!

Anaona kuomba omba atashusha hadhi yake,SI unajua pale chuo umezungukwa na watoto wakali vile halafu uwe omba omba inakua noma sana !ameamua kufa kiume!!

Anatembelea falsafa ya master George "Iam not a well fedup slave but a hungry free man"!!

Hiyo wanaitumia sana elites wagumu wanaojitafuta kitaa!
 
Psychologically jamaa ana hasira sana!!halafu ni hustle in nature!!

Anaona kuomba omba atashusha hadhi yake,SI unajua pale chuo umezungukwa na watoto wakali vile halafu uwe omba omba inakua noma sana !ameamua kufa kiume!!

Anatembelea falsafa ya master George "Iam not a well fedup slave but a hungry free man"!!

Hiyo wanaitumia sana elites wagumu wanaojitafuta kitaa!
Njaa haina elite wacha are kiume
 
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Pole mkuu,ila shika hii "There no victory without history". Mimi nimewahi pitia changamoto ngumu sana wakati nasoma na kuna muda nilikua nipo nipo tu kulala na kukaa pekee yangu muda mwingi sihitaji hata kusoma lakini nikavuka yote na imebaki kama funzo. Sisemi maisha yamekua mazuri hivyo lakini angalau unashukuru kwa kua na nafasi nyingine kwasasa nimeacha kabisa kulalamika ,jua mpole na pambana siku itafika utasahau muhimu ni kulinda afya yako.
 
Back
Top Bottom