Sitaki dawa

Sitaki dawa

MECHER ili upate jibu la huo mkanganyiko hapo juu inabidi kwanza ujue ni kitu gani kinachopimwa na hivyo vipimo vinavyosemekana ni vya 'HIV'.Watu wengi hawajui jambo hili,jambo hili ndilo kati ya mambo muhimu sana na ya lazima kujua ili kupata hitimisho kwamba HIV/AIDS ni feki.Hapa utajua waziwazi kwamba hakuna kiumbe yeyote duniani mwenye sifa ya kuitwa HIV,pia utajua kwamba HIV ni jina tu ambalo linawakilisha kitu kisichokuwepo na badala yake wanapima kitu kingine kabisa ambacho hakionekani kwa macho ambacho hufanya vipimo vitoe majibu HIV+ kama kipo mwilini na vipimo kutoa majibu HIV- kama kitu hicho hakipo mwilini.Kitu hiki SI HIV na wala si kijidudu,lakini wao wamekipa jina la HIV,na wamefanikiwa kuwashawishi watu kwamba kweli kuna HIV,hivyo watu wanaamini kwa IMANI kali sana.LAKINI HUYO HIV ANAYESEMWA HAJAWAHI KUONEKANA.Muulize daktari yeyote unayemfahamu ambaye yuko miaka mingi kwenye nyanja ya udaktari kama ameshawahi kumwona HIV,atakwambia "sijawahi".

Ukishajua kitu hiki kinachopimwa ni nini,hapo itakuwa rahisi wewe kujua kwamba,kumbe hata wewe unaweza kupimwa HIV+ hata kama hujawahi kuwa katika mazingira yoyote ambayo wao wanaita hatarishi,kumbe hata Obama,Bush,Trump anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama wana kijidudu chochote au la mwilini,kumbe hata wanandoa wanaweza kupimwa HIV+ wote wawili wakati fulani na wakati mwingine wakapimwa HIV- wote wawili au mmoja wao HIV+ na mwingine HIV- na kinyume chake,kumbe unaweza kupimwa HIV+ leo halafu kesho ukapimwa HIV- bila kutumia dawa yoyote ya hospitali.

HIV/AIDS ni uongo ambao umeshagundulika zamani tu ila watu wa dunia ya tatu kama hapa kwetu Afrika/Tanzania bado wako gizani kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri ambao umechangiwa sana na mazingira tunayoishi.Watu wako busy na whatsapp,insta,facebook,twitter.....nk kufanya mambo ya udaku tu,hivyo si rahisi bongo kama hizi kutengemaa kiakili,ndio maana napata upinzani mkubwa sana ninapoelezea suala hili kutoka kwa jamii kama hii yenye uelewa mdogo wa mambo yanavyoendelea kwenye dunia hii ya sasa.

-Kama mme ni HIV+ na mke ni HIV+,watu wanaona ndio sahihi.Lakini kama mme ni HIV+ lakini mke ni HIV-,watu watasema aidha mke hakupata mchubuko au mungu amemlinda.

-Kama mtoto amezaliwa kutoka kwa mama aliyepimwa HIV+ lakini mtoto ni HIV-,watu watasema ni kwasababu mama alikuwa anamlinda mtoto kwa kula ARVs.Lakini kama mama hatumii ARVs na mtoto amezaliwa HIV-,watu watasema mungu amemwokoa mtoto/malaika wake.

-Kama mtu amepimwa HIV+ leo halafu akaendelea kupimwa HIV+ siku zinazofuata,watasema huu ni uthibitisho kwamba HIV hana dawa.Lakini kama mtu huyo atapimwa HIV- baadaye,watasema labda vipimo vilikosea mwanzoni au mpimaji hajui kupima.

-Mtu akipimwa HIV+ halafu kama hatatumia dawa/ARVs maisha yake yote zaidi ya miaka 40,watasema huyo ni CARRIER,yaani haadhuriki na HIV,lakini akitumia ARVs na kuishi zaidi ya miaka 10 watasema ARVs ndizo zimemlinda miaka yote hiyo.

Bado kuna mifano mingi inaonesha wazi kabisa kwamba HIV/AIDS ni IMANI iliyojengeka vilivyo ndani ya bongo za watu,hasa waafrika/tanzania.Watu hawana uwezo wa kuona mikanganyiko kama hiyo kutokana na imani waliyonayo,hivyo hawawezi kamwe kujiuliza maswali fikirishi,ndio maana hadi leo hii,wenzetu wazungu suala hili haliko kwenye vichwa vyao,ni sisi tu weusi,na ndio maana misaaada mingi wanai push kwetu,kila kijiji utaona land cruisers zao za gharama kubwa,MSD imejaa ARVs ambazo zinahitaji watu wa kuzitumia,watu hao watawapata vipi kama sio kuwalazimisha kupima kwa kutumia vipimo vyao ambavyo ni very strategic na vyenye lengo la kutafuta wateja wapya ili takwimu iongezeke ili serikali iongeze bajeti ya ARVs kulipia kwenye viwanda vya ARVs walivyoingia navyo mikataba.

Mwenye masikio na asikie.
Sasa brother hebu nisaidie Kitu hapa.kama una sema HIV haiexist je kinachosababisha kinga ya mwili nauzito kupungua ni Kitu gani? Nina maswali mengi kidogo ya kuuliza lakini tuanze na hili hapa.
 
Kama ilivyo ada,mifano mtaleta ninyi wenyewe,nikileta mimi naweza kuonekana kwamba nimetunga.

Sasa case ya hapo juu,mtu ameambiwa ni HIV+ na hatumii ARVs kwa miaka 10 lakini bado anakuwa na afya njema,anakufa tena baada ya kuzidishiwa dozi ya malaria(mnajua kwamba malaria haichagui,kila mtu anaweza kuugua malaria bila kujali kama ni HIV+ au HIV-).Ina maana kama si uzembe wa daktari asingekufa/angekufa kwa jambo lingine kabisa.

Tena nadhani marehemu anaweza kuwa aliathirka kisaikolojia kiasi kwamba hata kinga yake haikuwa sawa kutokana na imani kwamba alikuwa na huyo 'HIV'.Woga unaweza ukawa ndio ulimwathiri.

Sayansi ya kweli:

FACT 1: HIV ni jina alilopewa jamii moja ya retrovirus ili kuonesha kinadharia kwamba retrovirus huyo ana uwezo wa kushusha kinga ya mwili wa mtu,lakini ukweli ni kwamba retrovirus WOTE,I mean ALL,hawana uwezo huo waliosingiziwa kwamba wanashusha kinga ya mwili,don't take my words,ask yourself OR read by yourself form other non mainstream sources.

FACT 2: Retrovirus WOTE huanza kusababisha ugonjwa fulani baada ya wiki kadhaa na wakizidi sana ni mwezi mmoja tangu kuingia kwenye damu ya mtu,na matatizo yenyewe si makubwa,ni ya kawaida tu.

Sasa huyu marehemu aliyetajwa kwenye mfano wa hapo juu tunaambiwa ameishi miaka 10 bila kutumia ARVs.

DO YOU STILL THINK ALIKUWA NA HIV?

kama ninayosema ni uongo basi hata mgunduzi wa HIV naye ni muongo.Napata shida sana kujua kwamba watu wamepata wapi haya wanayoyasema kuhusu HIV/AIDS,kwa maana yale yanayosemwa ni tofauti kabisa na anayosema mgunduzi wa huyo 'HIV'.

Ndio maana nasema kwamba waliotunga uongo huu wanaweza kuwa walitumia pia nguvu za kishirikina kudanganya watu.
Sasa bro hebu tuambie wewe unasema ni uwongo huku watu wanazidi kuangamia je ukweli ni upi? Naomba pia uniambie unaweza kututhibitishia kisayansi kwamba kirusi hana uwezo wa kushusha kinga ya mwili? Samahani nimekuwa interested na maelezo yako.nisamehe kama nimekuwa harsh kwa baadhi ya post zako.nahitaji kuelewa zaidi.
 
Pamoja na kwamba yote yaliyoelezewa kumuhusu HIV si kweli,lakini hata huyo HIV hawezi kuua kwa staili hiyo ya sudden death,he he heee....yaani unaumwa na kufa ghafla....hata ule uongo tulioelezwa kuhusu HIV hauko hivyo.Huyo atakuwa amekufa kwa jambo lingine kabisa,kuna mambo mengi tofauti na uzushi huu wa HIV/AIDS yanaweza kuua kwa staili hiyo,wewe hujui tu.Kumbuka pia hata kwa kutumia maelezo yaleyale ya uongo,tumeambiwa HIV kwanza hushusha kinga,then ugonjwa mwingine unaofahamika ndio huingia kukuua,mfano malaria,TB nk...sasa huyo muhindi hakuonekana na ugonjwa wowote unaofahamika...yaani hata ule uongo tulioambiwa kuhusu HIV haufiti hapo.

Halafu nashangaa kwa nini hujiulizi ni kwa vipi mtoto wao hana matatizo wakati wazazi wake walikuwa hawatumii ARVs?Maana kama mama yake alikuwa anatumia ARVs wakati huo,watu/wewe ungesema kwamba ARVs ndizo zimemwokoa mtoto,sasa mama alikuwa hatumii ARVs lakini mtoto hajaathirika na wewe hujiulizi, na mama yake hajiulizi.Au ndio labda mungu amemwokoa eenh!!

Kuna kitu nadhani ni kigumu kueleweka na wengi hapa,naweza nikawa napoteza muda bure.Let me try again.Inaniuma kuona watu wanaangamia wakati ukweli naujua.
Labda na Mimi nieleze kwa ufahamu wangu mdogo.ni kweli kabisa kinachouwa si HIV lakini kisababishi ni HIV.sijuwi kama nitakuwa nimeeleweka.waathirika wanapoteza uhai kutokana na magonjwa mengi kuzuka baada ya kinga ya kuzuia magonjwa hayo kupungua.kinga hiyo ndio hushambuliwa na virusi vya HIV.
 
Yeah..? Kama mim nilianza kutumia dawa nikiwa na miaka 10 mpaka Leo na miaka kama 15 natumia ARVs na nipp fresh nafanya shughul zangu kama kawaida... Sion kama ni kitu cha ajabu na ukwel hukuweka huru na kukuondolea msongo wa mawazo coz unakuwa umeshajikubal.. HIV is conditional.
Very inspired
 
MECHER ili upate jibu la huo mkanganyiko hapo juu inabidi kwanza ujue ni kitu gani kinachopimwa na hivyo vipimo vinavyosemekana ni vya 'HIV'.Watu wengi hawajui jambo hili,jambo hili ndilo kati ya mambo muhimu sana na ya lazima kujua ili kupata hitimisho kwamba HIV/AIDS ni feki.Hapa utajua waziwazi kwamba hakuna kiumbe yeyote duniani mwenye sifa ya kuitwa HIV,pia utajua kwamba HIV ni jina tu ambalo linawakilisha kitu kisichokuwepo na badala yake wanapima kitu kingine kabisa ambacho hakionekani kwa macho ambacho hufanya vipimo vitoe majibu HIV+ kama kipo mwilini na vipimo kutoa majibu HIV- kama kitu hicho hakipo mwilini.Kitu hiki SI HIV na wala si kijidudu,lakini wao wamekipa jina la HIV,na wamefanikiwa kuwashawishi watu kwamba kweli kuna HIV,hivyo watu wanaamini kwa IMANI kali sana.LAKINI HUYO HIV ANAYESEMWA HAJAWAHI KUONEKANA.Muulize daktari yeyote unayemfahamu ambaye yuko miaka mingi kwenye nyanja ya udaktari kama ameshawahi kumwona HIV,atakwambia "sijawahi".

Ukishajua kitu hiki kinachopimwa ni nini,hapo itakuwa rahisi wewe kujua kwamba,kumbe hata wewe unaweza kupimwa HIV+ hata kama hujawahi kuwa katika mazingira yoyote ambayo wao wanaita hatarishi,kumbe hata Obama,Bush,Trump anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama wana kijidudu chochote au la mwilini,kumbe hata wanandoa wanaweza kupimwa HIV+ wote wawili wakati fulani na wakati mwingine wakapimwa HIV- wote wawili au mmoja wao HIV+ na mwingine HIV- na kinyume chake,kumbe unaweza kupimwa HIV+ leo halafu kesho ukapimwa HIV- bila kutumia dawa yoyote ya hospitali.

HIV/AIDS ni uongo ambao umeshagundulika zamani tu ila watu wa dunia ya tatu kama hapa kwetu Afrika/Tanzania bado wako gizani kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri ambao umechangiwa sana na mazingira tunayoishi.Watu wako busy na whatsapp,insta,facebook,twitter.....nk kufanya mambo ya udaku tu,hivyo si rahisi bongo kama hizi kutengemaa kiakili,ndio maana napata upinzani mkubwa sana ninapoelezea suala hili kutoka kwa jamii kama hii yenye uelewa mdogo wa mambo yanavyoendelea kwenye dunia hii ya sasa.

-Kama mme ni HIV+ na mke ni HIV+,watu wanaona ndio sahihi.Lakini kama mme ni HIV+ lakini mke ni HIV-,watu watasema aidha mke hakupata mchubuko au mungu amemlinda.

-Kama mtoto amezaliwa kutoka kwa mama aliyepimwa HIV+ lakini mtoto ni HIV-,watu watasema ni kwasababu mama alikuwa anamlinda mtoto kwa kula ARVs.Lakini kama mama hatumii ARVs na mtoto amezaliwa HIV-,watu watasema mungu amemwokoa mtoto/malaika wake.

-Kama mtu amepimwa HIV+ leo halafu akaendelea kupimwa HIV+ siku zinazofuata,watasema huu ni uthibitisho kwamba HIV hana dawa.Lakini kama mtu huyo atapimwa HIV- baadaye,watasema labda vipimo vilikosea mwanzoni au mpimaji hajui kupima.

-Mtu akipimwa HIV+ halafu kama hatatumia dawa/ARVs maisha yake yote zaidi ya miaka 40,watasema huyo ni CARRIER,yaani haadhuriki na HIV,lakini akitumia ARVs na kuishi zaidi ya miaka 10 watasema ARVs ndizo zimemlinda miaka yote hiyo.

Bado kuna mifano mingi inaonesha wazi kabisa kwamba HIV/AIDS ni IMANI iliyojengeka vilivyo ndani ya bongo za watu,hasa waafrika/tanzania.Watu hawana uwezo wa kuona mikanganyiko kama hiyo kutokana na imani waliyonayo,hivyo hawawezi kamwe kujiuliza maswali fikirishi,ndio maana hadi leo hii,wenzetu wazungu suala hili haliko kwenye vichwa vyao,ni sisi tu weusi,na ndio maana misaaada mingi wanai push kwetu,kila kijiji utaona land cruisers zao za gharama kubwa,MSD imejaa ARVs ambazo zinahitaji watu wa kuzitumia,watu hao watawapata vipi kama sio kuwalazimisha kupima kwa kutumia vipimo vyao ambavyo ni very strategic na vyenye lengo la kutafuta wateja wapya ili takwimu iongezeke ili serikali iongeze bajeti ya ARVs kulipia kwenye viwanda vya ARVs walivyoingia navyo mikataba.

Mwenye masikio na asikie.
Mkuu nilikuhuliza namna ya kumuachisha mtu aliyeanza kutumia ARVs lakini hadi leo HUJANIJIBU mpaka nashindwa kukuelewa una maana gani ? Basi elezea hapa jamvini au nipm
 
Kabla ya kukujibu swali lako,ulitakiwa pia kujiuliza kwanini pia kuna watoto wanazaliwa HIV- wakati mama zao wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs?Au hujui kama kuna watoto wengi sana wa namna hii huzaliwa kila siku?

Kasumba au imani hii mliyonayo inawafanya mjiulize yale maswali mnayopenda kujiuliza tu,ila maswali yale yenye mikanganyiko ambayo iko wazi kabisa hamuwezi kuyaona kwa kuwa yako nje ya imani yenu.Akili za watu wengi ni kama zimewekewa frame/wigo wa kufikiri,haziwezi kufikiri zaidi ya kile walichokisikia kutoka kwenye vyombo vya habari kuhusu suala hili.Mtu ambaye akili yake imewekewa frame/wigo hawezi kujikwamua mwenyewe kutoka kwenye hali hiyo kwa kuwa hajijui,inatakiwa mtu mwingine kutoka nje aje amkwamue,mimi hukwamua watu wengi sana waliolemaa katika suala hili ovu,la uongo na la kikatili kabisa la HIV/AIDS.

Pia je,unajua kama kuna watoto wanapimwa HIV+ wakati mama na baba zao ni HIV-,he he heee,inawezekana hili hulijui kwa kuwa hukuwahi kufuatilia.Jambo kama hili linapotokea madaktari huwa wanasema inawezekana mtoto kanyonya maziwa ya mama mwingine aliyeathirika na takataka za majibu kama hayo,he he heee,huwa madaktari hawakosi jibu kwenye kila swali linalohusu HIV/AIDS,hata kama wanajua wanajibu pumba.Sasa je,unajua sababu halisi inayosababisha hilo kutokea?Usiniambie mtoto wa miezi 4 anaweza kufanya ngono.

Sasa kama hujui jibu la swali nililokuuliza,wewe niambie halafu mimi nitakujibu maswali yote mawili,yaani lile ulilouliza wewe na hili nililokuuliza mimi kwa pamoja.
Lakini Mkuu cases za watoto wanaozaliwa na HIV lakini wazazi wote wawili ni wazima ziko ngapi ? Unaweza kutusaidia data za tukio la namna hii?
 
Uwiiiiiii jamani mbona nashindwa kuamini?
Hivi ni kweli au?
OMG!!!
Why Mentor jamani,why?

Unamtisha jamani huo ugonjwa sio mwisho wa maisha,kuna kitu inaitwa kisukari,cancer na ule ugonjwa upo Sierra Leone ndo noma
 
Halafu kingine usiyaamini haya matokeo ya mahali hapo tu wakati mwingine huwa wanafanya makosa, hivyo nenda sehemu nyingine tofauti tatu ukapime ili uone huko nako majibu yatakuwa kama hayo ya kwanza.
 
Your ignorance isifanye kupotosha watu.

Sasa wapi hapo huyo profesa kazungumzia kuwa kirusi cha HIV hakiexist au hakipo?

Kirusi yupo na anaonekana, omba ueleweshwe.

Hapo kwenye hiyo video huyo profesa kazungumzia nini cha zaidi ya kula vizuri, kufanya mazoezi kubadilisha life style ili kupunguza oxidants mwilini?
Kafman
 
He should never ever give up! kuna dada mmoja anaumwa lakini amezaa watoto 5 wote wazima na maisha yanaendelea.

Mentor mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.
 
Mkuu nilikuhuliza namna ya kumuachisha mtu aliyeanza kutumia ARVs lakini hadi leo HUJANIJIBU mpaka nashindwa kukuelewa una maana gani ? Basi elezea hapa jamvini au nipm
Akujibuje na hana jibu....huyu ataua watu bure ukimfatilia hayupo straight anazunguka na maneno mengiii na zaidi ni lawama tu ooh waafrika hivi waafrika vile
 
Back
Top Bottom