MECHER ili upate jibu la huo mkanganyiko hapo juu inabidi kwanza ujue ni kitu gani kinachopimwa na hivyo vipimo vinavyosemekana ni vya 'HIV'.Watu wengi hawajui jambo hili,jambo hili ndilo kati ya mambo muhimu sana na ya lazima kujua ili kupata hitimisho kwamba HIV/AIDS ni feki.Hapa utajua waziwazi kwamba hakuna kiumbe yeyote duniani mwenye sifa ya kuitwa HIV,pia utajua kwamba HIV ni jina tu ambalo linawakilisha kitu kisichokuwepo na badala yake wanapima kitu kingine kabisa ambacho hakionekani kwa macho ambacho hufanya vipimo vitoe majibu HIV+ kama kipo mwilini na vipimo kutoa majibu HIV- kama kitu hicho hakipo mwilini.Kitu hiki SI HIV na wala si kijidudu,lakini wao wamekipa jina la HIV,na wamefanikiwa kuwashawishi watu kwamba kweli kuna HIV,hivyo watu wanaamini kwa IMANI kali sana.LAKINI HUYO HIV ANAYESEMWA HAJAWAHI KUONEKANA.Muulize daktari yeyote unayemfahamu ambaye yuko miaka mingi kwenye nyanja ya udaktari kama ameshawahi kumwona HIV,atakwambia "sijawahi".
Ukishajua kitu hiki kinachopimwa ni nini,hapo itakuwa rahisi wewe kujua kwamba,kumbe hata wewe unaweza kupimwa HIV+ hata kama hujawahi kuwa katika mazingira yoyote ambayo wao wanaita hatarishi,kumbe hata Obama,Bush,Trump anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama wana kijidudu chochote au la mwilini,kumbe hata wanandoa wanaweza kupimwa HIV+ wote wawili wakati fulani na wakati mwingine wakapimwa HIV- wote wawili au mmoja wao HIV+ na mwingine HIV- na kinyume chake,kumbe unaweza kupimwa HIV+ leo halafu kesho ukapimwa HIV- bila kutumia dawa yoyote ya hospitali.
HIV/AIDS ni uongo ambao umeshagundulika zamani tu ila watu wa dunia ya tatu kama hapa kwetu Afrika/Tanzania bado wako gizani kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri ambao umechangiwa sana na mazingira tunayoishi.Watu wako busy na whatsapp,insta,facebook,twitter.....nk kufanya mambo ya udaku tu,hivyo si rahisi bongo kama hizi kutengemaa kiakili,ndio maana napata upinzani mkubwa sana ninapoelezea suala hili kutoka kwa jamii kama hii yenye uelewa mdogo wa mambo yanavyoendelea kwenye dunia hii ya sasa.
-Kama mme ni HIV+ na mke ni HIV+,watu wanaona ndio sahihi.Lakini kama mme ni HIV+ lakini mke ni HIV-,watu watasema aidha mke hakupata mchubuko au mungu amemlinda.
-Kama mtoto amezaliwa kutoka kwa mama aliyepimwa HIV+ lakini mtoto ni HIV-,watu watasema ni kwasababu mama alikuwa anamlinda mtoto kwa kula ARVs.Lakini kama mama hatumii ARVs na mtoto amezaliwa HIV-,watu watasema mungu amemwokoa mtoto/malaika wake.
-Kama mtu amepimwa HIV+ leo halafu akaendelea kupimwa HIV+ siku zinazofuata,watasema huu ni uthibitisho kwamba HIV hana dawa.Lakini kama mtu huyo atapimwa HIV- baadaye,watasema labda vipimo vilikosea mwanzoni au mpimaji hajui kupima.
-Mtu akipimwa HIV+ halafu kama hatatumia dawa/ARVs maisha yake yote zaidi ya miaka 40,watasema huyo ni CARRIER,yaani haadhuriki na HIV,lakini akitumia ARVs na kuishi zaidi ya miaka 10 watasema ARVs ndizo zimemlinda miaka yote hiyo.
Bado kuna mifano mingi inaonesha wazi kabisa kwamba HIV/AIDS ni IMANI iliyojengeka vilivyo ndani ya bongo za watu,hasa waafrika/tanzania.Watu hawana uwezo wa kuona mikanganyiko kama hiyo kutokana na imani waliyonayo,hivyo hawawezi kamwe kujiuliza maswali fikirishi,ndio maana hadi leo hii,wenzetu wazungu suala hili haliko kwenye vichwa vyao,ni sisi tu weusi,na ndio maana misaaada mingi wanai push kwetu,kila kijiji utaona land cruisers zao za gharama kubwa,MSD imejaa ARVs ambazo zinahitaji watu wa kuzitumia,watu hao watawapata vipi kama sio kuwalazimisha kupima kwa kutumia vipimo vyao ambavyo ni very strategic na vyenye lengo la kutafuta wateja wapya ili takwimu iongezeke ili serikali iongeze bajeti ya ARVs kulipia kwenye viwanda vya ARVs walivyoingia navyo mikataba.
Mwenye masikio na asikie.