Sitaki dawa

Sitaki dawa

Kama ni imani inakuwaje kwa watoto wanaozaliwa na HIV? Si ingetokea kwa watu wengine.

Kabla ya kukujibu swali lako,ulitakiwa pia kujiuliza kwanini pia kuna watoto wanazaliwa HIV- wakati mama zao wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs?Au hujui kama kuna watoto wengi sana wa namna hii huzaliwa kila siku?

Kasumba au imani hii mliyonayo inawafanya mjiulize yale maswali mnayopenda kujiuliza tu,ila maswali yale yenye mikanganyiko ambayo iko wazi kabisa hamuwezi kuyaona kwa kuwa yako nje ya imani yenu.Akili za watu wengi ni kama zimewekewa frame/wigo wa kufikiri,haziwezi kufikiri zaidi ya kile walichokisikia kutoka kwenye vyombo vya habari kuhusu suala hili.Mtu ambaye akili yake imewekewa frame/wigo hawezi kujikwamua mwenyewe kutoka kwenye hali hiyo kwa kuwa hajijui,inatakiwa mtu mwingine kutoka nje aje amkwamue,mimi hukwamua watu wengi sana waliolemaa katika suala hili ovu,la uongo na la kikatili kabisa la HIV/AIDS.

Pia je,unajua kama kuna watoto wanapimwa HIV+ wakati mama na baba zao ni HIV-,he he heee,inawezekana hili hulijui kwa kuwa hukuwahi kufuatilia.Jambo kama hili linapotokea madaktari huwa wanasema inawezekana mtoto kanyonya maziwa ya mama mwingine aliyeathirika na takataka za majibu kama hayo,he he heee,huwa madaktari hawakosi jibu kwenye kila swali linalohusu HIV/AIDS,hata kama wanajua wanajibu pumba.Sasa je,unajua sababu halisi inayosababisha hilo kutokea?Usiniambie mtoto wa miezi 4 anaweza kufanya ngono.

Sasa kama hujui jibu la swali nililokuuliza,wewe niambie halafu mimi nitakujibu maswali yote mawili,yaani lile ulilouliza wewe na hili nililokuuliza mimi kwa pamoja.
 
Mkubwa unapitea sana, jina limeonekana kwenye Yale ya wakuu wa wilaya au mkoa? Mentor amekuja tofauti sana Leo, hii dozi naona iko advanced kidogo.

mkuu hii kasi ya JPM inatuficha... Ukionekana sana online unafanywa mfanyakazi hewa 🙂!!!

Mentor mi bado sitaki kuamin, ngoja wiki ianze tukutane kwenye vikao
 
Kabla ya kukujibu swali lako,ulitakiwa pia kujiuliza kwanini pia kuna watoto wanazaliwa HIV- wakati mama zao wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs?Au hujui kama kuna watoto wengi sana wa namna hii huzaliwa kila siku?

Kasumba au imani hii mliyonayo inawafanya mjiulize yale maswali mnayopenda kujiuliza tu,ila maswali yale yenye mikanganyiko ambayo iko wazi kabisa hamuwezi kuyaona kwa kuwa yako nje ya imani yenu.Akili za watu wengi ni kama zimewekewa frame/wigo wa kufikiri,haziwezi kufikiri zaidi ya kile walichokisikia kutoka kwenye vyombo vya habari kuhusu suala hili.Mtu ambaye akili yake imewekewa frame/wigo hawezi kujikwamua mwenyewe kutoka kwenye hali hiyo kwa kuwa hajijui,inatakiwa mtu mwingine kutoka nje aje amkwamue,mimi hukwamua watu wengi sana waliolemaa katika suala hili ovu,la uongo na la kikatili kabisa la HIV/AIDS.

Pia je,unajua kama kuna watoto wanapimwa HIV+ wakati mama na baba zao ni HIV-,he he heee,inawezekana hili hulijui kwa kuwa hukuwahi kufuatilia.Jambo kama hili linapotokea madaktari huwa wanasema inawezekana mtoto kanyonya maziwa ya mama mwingine aliyeathirika na takataka za majibu kama hayo,he he heee,huwa madaktari hawakosi jibu kwenye kila swali linalohusu HIV/AIDS,hata kama wanajua wanajibu pumba.Sasa je,unajua sababu halisi inayosababisha hilo kutokea?Usiniambie mtoto wa miezi 4 anaweza kufanya ngono.

Sasa kama hujui jibu la swali nililokuuliza,wewe niambie halafu mimi nitakujibu maswali yote mawili,yaani lile ulilouliza wewe na hili nililokuuliza mimi kwa pamoja.

Mkuu nimekuelewa lakini nataka nipate uhakika zaidi uje nikupime HIV ukiwa HIV- nitakutafutia mwanamke HIV+ umgegede bila ndomu halafu after 3 months tuone matokeo.
 
Kabla ya kukujibu swali lako,ulitakiwa pia kujiuliza kwanini pia kuna watoto wanazaliwa HIV- wakati mama zao wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs?Au hujui kama kuna watoto wengi sana wa namna hii huzaliwa kila siku?

Kasumba au imani hii mliyonayo inawafanya mjiulize yale maswali mnayopenda kujiuliza tu,ila maswali yale yenye mikanganyiko ambayo iko wazi kabisa hamuwezi kuyaona kwa kuwa yako nje ya imani yenu.Akili za watu wengi ni kama zimewekewa frame/wigo wa kufikiri,haziwezi kufikiri zaidi ya kile walichokisikia kutoka kwenye vyombo vya habari kuhusu suala hili.Mtu ambaye akili yake imewekewa frame/wigo hawezi kujikwamua mwenyewe kutoka kwenye hali hiyo kwa kuwa hajijui,inatakiwa mtu mwingine kutoka nje aje amkwamue,mimi hukwamua watu wengi sana waliolemaa katika suala hili ovu,la uongo na la kikatili kabisa la HIV/AIDS.

Pia je,unajua kama kuna watoto wanapimwa HIV+ wakati mama na baba zao ni HIV-,he he heee,inawezekana hili hulijui kwa kuwa hukuwahi kufuatilia.Jambo kama hili linapotokea madaktari huwa wanasema inawezekana mtoto kanyonya maziwa ya mama mwingine aliyeathirika na takataka za majibu kama hayo,he he heee,huwa madaktari hawakosi jibu kwenye kila swali linalohusu HIV/AIDS,hata kama wanajua wanajibu pumba.Sasa je,unajua sababu halisi inayosababisha hilo kutokea?Usiniambie mtoto wa miezi 4 anaweza kufanya ngono.

Sasa kama hujui jibu la swali nililokuuliza,wewe niambie halafu mimi nitakujibu maswali yote mawili,yaani lile ulilouliza wewe na hili nililokuuliza mimi kwa pamoja.

Kaka ebu nifunulie jalada plz, nahitaji kufahamu man!
 
Mmhh ndefu buana mpaka nmesoma mwanzo na mwisho
 
Pole my dear...wala usijihukumu wala kukata tamaa ......kikubwa weka tumaini lako kwa MUNGU...naye atatenda...ataondoa kila aina ya magumu unayopitia....naomba usikate tamaa...bali mlilie MUNGU kwa kumaanisha na yeye atakuitikia....
 
Pole sana kaka...ila kumbuka HIV sio "death sentence"....kumbuka, kufa ni lazima, kuishi ni bahati...wote tunaelekea njia moja, tofauti ni moja tu...nani anatangulia
 
Kama hadithi uliyoleta ni kweli ilitokea kwako,basi nakushauri yafuatayo;

1.Unaoekana kuwa na uelewa wa mambo mengine lakini hili la HIV/AIDS(ambalo ni feki) hulijui,hivyo utayari wako wa kufuatilia ili kujua kwanini na kwa vipi HIV/AIDS ni feki ndio utakaokuokoa.HIV/AIDS ni feki na ndio maana kuna watu wengi wana claim kuwa na dawa na wana claim kuponesha watu,na ni kweli wapo watu wengi waliopima HIV+ halafu wakaja kupima HIV- baadaye,haya yote hutokea kwa kuwa HIV/AIDS ni feki.HIV/AIDS is not real,but rather it is a MINDSET disease.

2.Endelea kufuata uamuzi wako wa kutokunywa ARVs kwa kuwa ARVs ndio kitanzi na ndio zinazosababisha vifo kwa wale wanaozitumia baada ya muda mrefu,kama hutumii ARVs hutakufa kwa hiko kitu kinachoitwa 'HIV'(ambacho ni feki).Matatizo yote unayoyaona kwa wale ambao umeambiwa wameathirika na wanatumia ARVs yamesababishwa na ARVs,kama mtu hatumii ARVs lakini anaumwa,basi lazima ukimpima utamkuta na ugonjwa unaofahamika ambao unatibibika kabisa kama atapewa matibabu mapema,mfano TB,pia ugonjwa huo unampata mtu yeyote bila kujali kama amepimwa HIV+ au HIV-.Nywele kudhoofika/kunyonyoka,ngozi kufubaa/kutoka vipele/vidonda,ini kufeli,figo kufeli,ugonjwa wa moyo,upungufu wa damu,cancer yoyote na kisukari ni baadhi ya matatizo makubwa yanayowaua wale wanaotumia ARVs,wale wasiotumia ARVs huwezi kuwakuta na matatizo haya hata kama wamepimwa HIV+ na hawajatumia ARVs kwa zaidi ya miaka 40(ie their lifetime).Hapa unatakiwa kujua kwamba ARVs ndio mambo yote,HIV ni scaring tactic tu.Unajengewa woga uogope HIV then unajengewa MINDSET ya kukimbilia kula ARVs ambazo ndizo zitakazokuua,pharmaceutical tycoons have made a very simple trick to grab our minds.

3.Kitu kingine ambacho ni kibaya sana ni kwamba,watu wengi wakishapima na kuambiwa ni HIV+,baaaasi,ndio wamemaliza,hawapimi tena katika maisha yao kwa kuwa tayari kwenye bongo zao kuna kale ka mindset kwamba ukishakuwa na HIV ndio baasi,eti HIV hatoki mwilini mpaka kifo kitakapokukuta.Lakini hawajui kwamba kinachopimwa na kipimo SI HIV,bali vipimo hupima vitu 'VINGINE' kabisa tofauti na HIV,and infact vipimo havipimi kijidudu chochote kile kwa muonekano.Hivi vitu ambavyo naviita 'VINGINE' huweza kuwepo kwenye damu ya mtu yeyote yule(hata Obama au Bush) bila kujali kama kwenye damu kuna vijidudu vyovyote au la.Na ndio maana leo hii ukimuuliza daktari yeyote yule unayemjua kama ameshawahi kuona HIV hata kwa kutumia chombo chochote cha maabara,atakwambia "sijawahi",sasa kama hajawahi kuona HIV kwa macho yake anaamini nini?anapima nini?wamejuaje kama HIV ndio husababisha UKIMWI?Hivyo kama utakuwa tayari nitakushauri jambo la kufanya halafu uende kupima tena mara kwa mara mpaka upata majibu HIV- then uje tena hapa uwe shuhuda kwa wengine,sitahitaji chochote kutoka kwako,hii ni kwasababu ninajua hiki ninachokisema ni ukweli mtupu,sibahatishi.

4.Fahamu pia kwamba MINDSET ndio inayofanya watu washindwe kutofautisha kati ya HIV(ambaye ni feki pia) na UKIMWI(ambao upo lakini hauui).HIV hayupo kiuhalisia,UKIMWI upo lakini SI ugonjwa na hauui.Ukimwi si kitu cha kuogopa kwa kuwa hauui na UKIMWI hausababishwi na HIV(Feki),kila mtu anaweza kupata ukimwi na ukimwi huondoka wenyewe mwilini kama mtu utabadili style ya maisha iliyokufanya uwe na upungufu wa kinga.Akili ni kitu cha ajabu sana,yaani ukisema IKIMWI watu wanaogopa sana,lakini ukisema upungufu wa kinga watu hawashtuki wala kuogopa,watu hawana hisia kwamba UKIMWI ndio upungufu wa kinga,hii inatokana na MINDSET mbovu zilizojengeka kwa zaidi ya miaka 30 baada ya kampeni nzitonzito zilizoambatana na movie zenye vitisho za 'eti ukimwi' na matangazo redioni na kwenye TV,kampeni hizi zimefanikiwa kupenyeza IMANI(na si FACT) kwenye vichwa vya watu ambazo zimedumu hadi leo hii.

NB:
Sitakushauri chochote mpaka pale utakapoonesha utayari,nisingependa kupoteza muda wangu bure kwa mtu aliyegubikwa na MINDSET mbaya.Mtu anayeongozwa na MINDSET mbaya kama hizi za HIV/AIDS huwa ni vigumu sana kuuona ukweli,nina mifano.Hata kama unaeleza FACT, mtu hawezi kuiona hiyo FACT iko wapi,hili ni tatizo kubwa sana.

Habari kama hizi zinapaswa watu wazifurahie kwa kuwa ni habari njema zinazookoa maisha yako na wengine kama utazitujua,lakini kinyume chake watu huishia kudharau na kukebehi tu.Ndio maana nasema hii IMANI tuliyojengewa kwenye HIV/AIDS imetumia akili nyingi sana kiasi cha mtu asiyependa kufikiri kushindwa kung'amua ukweli ulivyo.

Utayari wako wa kusikiliza ndio ukombozi wako kiafya na kifikra hasa kuhusu suala hili.Ninaamini kama ulichoeleza ni kweli na wewe ulikuwa na sifa ya kusoma masters,basi utaelewa hiki ninachosema ingawa hutakuwa na full confidence,full confidence utaipata pale utakapoanza kuruhusu ubongo wako kupokea zaidi ya haya.

HAMNA CHA ADIOS HAPA....
Naona kama unajichosha tu mkuu. HIV virus wanaosababisha kupungua kwa kinga ya mwili wapo na wataalamu bado wanaendelea kutafuta dawa kukiangamiza kirusi hiki. Usidanganye watu hapa UKIMWI upo na UNAUA.watu wabadili tabia na kuchukua tahadhari. Hakuna cha mindsets wala nini.
 
Back
Top Bottom