Sitaki dawa

Sitaki dawa

pole sana. Unajua watu weng wanafanya makosa ambayo yanawaharibia maisha yao lkn hawaon hilo wanachukulia kawaida. Yakishawatokea puani wanaanza kumlalamikia Mungu. Kwann Mungu wetu tunambebesha lawama tunapokesea? Kbla haujaathirika ukiambiwa unasema shetani alinipitia ila ukipata lawama zote kwa Mungu. Kwann tunamkosea sana Mungu?
Naomba usimbebeshe Mungu lawama hana makosa.
Nenda kanisani uongozwe sala ya toba, umrudie muumba wako. Kisha anza kutumia dawa.
Ukimwi upo lkn watu weng hawalitambui hili mpaka waathirike ndio wanalitambua.
Inashangaza sana tendo la dk 30 linakuharibia maisha.
Unajua km unapenda ngono, oa tu ndio dawa lkn kila mtu unataka kumpalamia, utakuja uumie.
Ona sasa unakufa papuchi unaziacha na watu wanaendelea kula.
Aise dunia hii hebu tutulie HIV KILLS
 
Hapo kwenye bold sijawahi kusikia mahali popote pale duniani au kusoma article ya uwezekano wa hilo kutokea. Na kama likitokea basi 110% mama kachepuka nje ya ndoa na kuwekwa mimba na muathirika.

Hebu tuwekee uthibitisho wa hata article inayoonyesha uwezekano wa hilo kutokea, vinginevyo utakuwa unatunga vitu ambavyo havipo.

Kabla ya kukujibu swali lako,ulitakiwa pia kujiuliza kwanini pia kuna watoto wanazaliwa HIV- wakati mama zao wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs?Au hujui kama kuna watoto wengi sana wa namna hii huzaliwa kila siku?

Kasumba au imani hii mliyonayo inawafanya mjiulize yale maswali mnayopenda kujiuliza tu,ila maswali yale yenye mikanganyiko ambayo iko wazi kabisa hamuwezi kuyaona kwa kuwa yako nje ya imani yenu.Akili za watu wengi ni kama zimewekewa frame/wigo wa kufikiri,haziwezi kufikiri zaidi ya kile walichokisikia kutoka kwenye vyombo vya habari kuhusu suala hili.Mtu ambaye akili yake imewekewa frame/wigo hawezi kujikwamua mwenyewe kutoka kwenye hali hiyo kwa kuwa hajijui,inatakiwa mtu mwingine kutoka nje aje amkwamue,mimi hukwamua watu wengi sana waliolemaa katika suala hili ovu,la uongo na la kikatili kabisa la HIV/AIDS.

Pia je,unajua kama kuna watoto wanapimwa HIV+ wakati mama na baba zao ni HIV-,he he heee,inawezekana hili hulijui kwa kuwa hukuwahi kufuatilia.Jambo kama hili linapotokea madaktari huwa wanasema inawezekana mtoto kanyonya maziwa ya mama mwingine aliyeathirika na takataka za majibu kama hayo,he he heee,huwa madaktari hawakosi jibu kwenye kila swali linalohusu HIV/AIDS,hata kama wanajua wanajibu pumba.Sasa je,unajua sababu halisi inayosababisha hilo kutokea?Usiniambie mtoto wa miezi 4 anaweza kufanya ngono.

Sasa kama hujui jibu la swali nililokuuliza,wewe niambie halafu mimi nitakujibu maswali yote mawili,yaani lile ulilouliza wewe na hili nililokuuliza mimi kwa pamoja.
 
kama hayo uliyoandika ndio pekee uliyoelewa katika ile video,basi unathibitisha jinsi unavyotembea na mwili huku akili imeshikwa na wengine.Labda kiingereza ni shida kidogo,sitakulaumu kwa hilo.Ukitaka kuthibitisha kama hujaelewa hiyo video basi jaribu kumuuliza mwingine akuelezee alivyoelewa yeye,lazima atakueleza zaidi ya hayo uliyoeleza wewe kama mtu huyo anajua vizuri kiingereza na anajua pia kusikiliza.Au JF members wengine watakuelezea,mijadala hii sikuanza leo humu JF,nilishajadili hadi na madaktari humu.Sasa kama madaktari wenye fani yao walikosa point za msingi,itakuwa wewe?Sitakulaumu kwa kuwa najua uko ktk kipindi cha mpito kiuelewa,mimi nilishapita huko zamani sana.


Angalia sasa usivyojielewa, maneno mengiii bila kuhit the point.

Kwani unanijua mimi ni nani?

Crap! Acha upotoshaji
 
Mkuu nimekuelewa lakini nataka nipate uhakika zaidi uje nikupime HIV ukiwa HIV- nitakutafutia mwanamke HIV+ umgegede bila ndomu halafu after 3 months tuone matokeo.

hata jinsi ya kuuliza swali ili uweze kuelewa jambo fulani nacho ni kipaji.Kwanini usiseme mimi nijichanje na pia tumchanje mwingine ambaye ni HIV+ then tupakazane damu kwenye sehemu zilizochanjwa?Huoni kama hiyo ndio italeta uhakika kwamba damu zetu lazima zitakuwa zimeingiliana?

Kufanya ngono hakuleti uhakika kwamba lazima damu zetu ziingiliane,wapo waliofanya ngono bila kinga wengi tu na watu ambao ni 'HIV+' lakini hadi leo wako safi,kwani wewe hujui hili?Au uko dunia gani?Au ni kweli hujui kwamba kuna ndoa nyingi tu mmoja ni 'HIV+' na mwingine ni 'HIV-' na wameishi kwa zaidi ya miaka 10 na wamezaa watoto na watoto nao ni 'HIV-'?Hivi ni kweli hujui hili?Muulize daktari yeyote anajua kama kuna ndoa kama hizi nyingi tu.Kama unajua lakini ume bypass basi unathibitisha ule usemi wangu kwamba kuna watu wanatembea na miili tu lakini akili zimeshikwa na wengine.Na ndio maana nasema kama kweli uchawi upo,basi kwenye hili la HIV/AIDS wamarekani wametumia uchawi kulegeza akili za watu.

By the way,nilishawahi kuchanganya damu yangu na mtu ambaye amepimwa 'HIV+' na hadi leo hii niko vilevile 'HIV-'.Najua hutaamini,ila nimeamua nikwambie tu.

Tatizo kubwa ninalolipata pale ninapojadili suala hili ni kwamba,akili za watu zimeshikwa na wengine.Hivyo kwanza natumia nguvu nyingi kuwanyang'anya ili akili hizo nizishike mimi halafu ndio nianze kuzilisha mambo ya ukweli.Vinginevyo sitaweza kueleweka kamwe.Weka akili yako kwangu kama kweli unataka kuelewa.
 
Angalia sasa usivyojielewa, maneno mengiii bila kuhit the point.

Kwani unanijua mimi ni nani?

Crap! Acha upotoshaji

Obviously wewe utakuwa daktari(MD),am I right?Nadhani sasa umefurahi mimi kukutambua wewe ni nani eenh?Maana madaktari wengi wanapenda sana egos,yaani wanapenda kusifiwa.

Hayo maneno kwenye bold ndio yamenifumbua macho kwamba wewe ni MD,kwasababu hayo maneno ndio typically jinsi ma MD walivyozoea kunijibu kwenye mada nyingi tu kama hizi,hawana hoja yaani hao ni "acha kupotosha","wewe mpumbavu sana", "wewe utakuwa ni kichaa","muongo wewe","usiingilie fani za watu","tutakutafuta ushitakiwe kwa upotoshaji".Hayo ndio baadhi ya maneno yao,ila hoja hawana,na mimi siwalaumu kwa ninyi kutokuwa na hoja za msingi, kwasababu haiwezekani uwe na hoja za msingi kwenye jambo la uongo kama hili.Huwezi kuugeuza uongo uliothibitika kuwa ukweli,kamwe haiwezekani.
 
Deception , iweje useme hakuna HIV/AIDS huku unatoa ushuhuda wa kuchanganya damu ya MTU HIV+? Huyo damu ulijuaje kama yuko + kama hicho kitu hakipo? Umeenda mbali pia kwa kutoa mifano ya ndoa za watu wenye kuishi mmoja akiwa ameathirika na mwingine hana maambukizi. Hizo habari zote zinakua za uongo kama maelezo yako ni ya kweli endapo utayadhibitisha.
 
Hapo kwenye bold sijawahi kusikia mahali popote pale duniani au kusoma article ya uwezekano wa hilo kutokea. Na kama likitokea basi 110% mama kachepuka nje ya ndoa na kuwekwa mimba na muathirika.

Hebu tuwekee uthibitisho wa hata article inayoonyesha uwezekano wa hilo kutokea, vinginevyo utakuwa unatunga vitu ambavyo havipo.

Unaona hapo kwenye bold jinsi unavyojiwekea frame/wigo ambao unazuia akili yako kujua nje ya hapo?Ndio maana nasema ili ujue ukweli wa uongo wa HIV/AIDS lazima utoke kwenye wigo uliozungushiwa.

Hoja za watu wengi humu hazilengi kuelewa,bali zinalenga kubaki mulemule kwenye frame/wigo waliozungushiwa.Hivi ukiona kwa macho bado utahitaji article?Au article iliyoandikwa na mtu bila kujali kama mtu huyo ana interest gani kwenye hiyo article inaweza kweli kuwa zaidi ya kile unachokiona kwa macho yako?

Ukijua kitu halisi kinachopimwa na hivyo vipimo vinavyoitwa 'vya HIV' ni rahisi sana kwako kujua kwamba jambo hilo linawezekana kirahisi sana,hata wewe unaweza kupimwa HIV+ hata kama hujawahi kuwa katika mazingira yanayoitwa 'hatarishi'.Unaweza kupimwa HIV+ hata kama huna kirusi chochote kwenye damu.Funguka kuanzia hapa.Kuna documentary moja ya kitafiti usikilize kwa makini sana,inazungumzia 'vipimo vya HIV',inaitwa Birth of Heresy(Positively False).Angalia hii doc na usikilize kwa makini sana(kusikiliza na kuelewa nacho ni kipaji),ukimaliza rudi hapa tuendelee kujadili,nadhani hii doc itakutoa kwenye huo wigo uliozungushiwa.

Kuhusu articles,zipo nyingi sana lakini huwezi kuzikuta kwenye The Lancet kwa kuwa Lancet na majarida mengine kama hayo yanamilikiwa na walewale walioanzisha uzushi huu.Inabidi utambue kwamba kuna juhudi za makusudi za kuzuia watu wasijue ukweli huu.Sasa ili wewe ujue ukweli huu ni lazima uende nje ya hapo.Mfuatilie Thabo Mbeki jinsi walivyomtengenezea zengwe na kisha kutolewa kwenye uongozi kwa kashfa nyingine kabisa wakati aliposema kwamba HIV sio sababu ya Ukimwi.Thabo Mbeki ni mtu mwenye akili timamu,wewe bado hujiulizi kwanini amesema haya maneno?

Ushauri:
Kama kweli unataka kujua hicho ulichouliza hapo juu,tembelea kwenye vituo vya afya vinavyofanya upimaji huo.Pale utapewa data,zunguka kwenye vituo kadhaa,ukifanya lazima utakutana na case kadhaa za namna hiyo.Najua ni vigumu kwako kufanya hivyo,ila nimeamua tu kukushauri.

Birth of Heresy;
 
Lakini Mkuu cases za watoto wanaozaliwa na HIV lakini wazazi wote wawili ni wazima ziko ngapi ? Unaweza kutusaidia data za tukio la namna hii?

Kuna mtu ameuliza swali kama lako,fuatilia nimemjibu,kama hujaridhika rudi tena hapa.
 
Mkuu nilikuhuliza namna ya kumuachisha mtu aliyeanza kutumia ARVs lakini hadi leo HUJANIJIBU mpaka nashindwa kukuelewa una maana gani ? Basi elezea hapa jamvini au nipm

Hayo maneno kwenye bold hukutakiwa kuyasema,maneno hayo yanaakisi jambo fulani.Badala yake ulihitaji kunikumbusha tu,kwa maana nina kazi nyingi nje ya JF, hivyo huwa najisahau.Nitumie PM ili iwe kumbukumbu tena,nikiingia tena tutaendelea kujadili jinsi ya kufanya.
 
Sasa bro hebu tuambie wewe unasema ni uwongo huku watu wanazidi kuangamia je ukweli ni upi? Naomba pia uniambie unaweza kututhibitishia kisayansi kwamba kirusi hana uwezo wa kushusha kinga ya mwili? Samahani nimekuwa interested na maelezo yako.nisamehe kama nimekuwa harsh kwa baadhi ya post zako.nahitaji kuelewa zaidi.

Usijali,nimeambiwa maneno harsh kuliko hayo ulisema wewe lakini bado nipo JF katika kazi hii isiyo na malipo.Najua ninachokifanya,ndio maana sina wasiwasi na yeyote atakayekuja kuni challenge.

Kuhusu swali lako hapo kwenye bold:
Labda nikujibu hivi; Kuna watu weeeengi sana wamepimwa HIV+ hata madaktari weeeengi wanajua hili jambo.Lakini watu hawa hawatumii ARVs katika maisha yao yote(zaidi ya miaka 20) na hawaugui kama ilivyotarajiwa.Kwanza fahamu kwamba watu kama hawa ni kweli wapo wengi tu,hata wewe au mimi naweza kuwa mmoja wao,hata mleta mada akiamua kutotumia na yeye hatauguagua.

Jambo hilo ndio mojawapo ya jambo halisi linaloonekana kwa macho ambalo linathibitisha kwamba hiko kinachoitwa 'HIV'(ingawa hakipo kiuhalisia),hakina uwezo wa kushusha kinga ya mtu yeyote yule.Ukiona mtu amepimwa HIV+ halafu anaumwaumwa ujue kuna kitu kingine tofauti na huyo HIV(feki) kimesababisha hayo.Ukirekebisha kitu hiko mtu huyo atarudi kawaida mwenye afya njema hata kama bado ni HIV+ na hata kama hatumii ARVs.Hapa ndipo mojawapo ya sehemu muhimu ambayo wengi hawajui/wamefichwa.Mambo haya ndio nitakayojadili baadaye ili watu waweze kuunganisha dots....

Ukinifuatilia kwa makini utaona kwamba ninazungumza mambo mengi sana lakini sijichanganyi,hii ni kwasababu yote ninayosema ni FACTS.Kama hujaridhika na jibu la hapo juu rudi tena.Nimeona nikujibu kitu ambacho hata wewe unaweza kukiona kwa macho ili ujue/uamini moja kwa moja bila mizengwe.Nikikupa article/scientific paper unaweza kuisoma lakini usiiamini hata kama utailewa.Halafu pia hata mainstream doctors wanaokubali kwamba HIV anasababisha ukimwi nao wanazo scientific papers,kwa hiyo scientific papers sio kitu kitakachokufanya wewe ujue ukweli huu kwa kuwa kama jambo linaweza kuonekana kwa macho na kulithibitisha,scientifc paper ya nini.

Ukienda kwenye uhalisia mainstream doctors ndipo wanaposhindwa,hii ni kwasababu kwenye uhalisia ndiko ukweli unapojidhihirisha.Lakini ukisema lete scientific papers,looooo....ma MD watakuja kuzimwaga nyingi sana hapa...hata wale ma daktari walio nje ya mainstream nao wanazo nyingi sana..halafu mwisho wa siku zitakuwa story zilezile,huelewi wapi kwenye ukweli.
 
hata jinsi ya kuuliza swali ili uweze kuelewa jambo fulani nacho ni kipaji.Kwanini usiseme mimi nijichanje na pia tumchanje mwingine ambaye ni HIV+ then tupakazane damu kwenye sehemu zilizochanjwa?Huoni kama hiyo ndio italeta uhakika kwamba damu zetu lazima zitakuwa zimeingiliana?

Kufanya ngono hakuleti uhakika kwamba lazima damu zetu ziingiliane,wapo waliofanya ngono bila kinga wengi tu na watu ambao ni 'HIV+' lakini hadi leo wako safi,kwani wewe hujui hili?Au uko dunia gani?Au ni kweli hujui kwamba kuna ndoa nyingi tu mmoja ni 'HIV+' na mwingine ni 'HIV-' na wameishi kwa zaidi ya miaka 10 na wamezaa watoto na watoto nao ni 'HIV-'?Hivi ni kweli hujui hili?Muulize daktari yeyote anajua kama kuna ndoa kama hizi nyingi tu.Kama unajua lakini ume bypass basi unathibitisha ule usemi wangu kwamba kuna watu wanatembea na miili tu lakini akili zimeshikwa na wengine.Na ndio maana nasema kama kweli uchawi upo,basi kwenye hili la HIV/AIDS wamarekani wametumia uchawi kulegeza akili za watu.

By the way,nilishawahi kuchanganya damu yangu na mtu ambaye amepimwa 'HIV+' na hadi leo hii niko vilevile 'HIV-'.Najua hutaamini,ila nimeamua nikwambie tu.

Tatizo kubwa ninalolipata pale ninapojadili suala hili ni kwamba,akili za watu zimeshikwa na wengine.Hivyo kwanza natumia nguvu nyingi kuwanyang'anya ili akili hizo nizishike mimi halafu ndio nianze kuzilisha mambo ya ukweli.Vinginevyo sitaweza kueleweka kamwe.Weka akili yako kwangu kama kweli unataka kuelewa.
Mkuu nguvu nyingi unazotumia kutushawishi tukubaliane na hoja zako ungetumia kutujibu maswali yetu scientific with data. Hii kujenerolaizi stories kwamba hujui hiki sijui hiki haitatusaidia.
 
Usijali,nimeambiwa maneno harsh kuliko hayo ulisema wewe lakini bado nipo JF katika kazi hii isiyo na malipo.Najua ninachokifanya,ndio maana sina wasiwasi na yeyote atakayekuja kuni challenge.

Kuhusu swali lako hapo kwenye bold:
Labda nikujibu hivi; Kuna watu weeeengi sana wamepimwa HIV+ hata madaktari weeeengi wanajua hili jambo.Lakini watu hawa hawatumii ARVs katika maisha yao yote(zaidi ya miaka 20) na hawaugui kama ilivyotarajiwa.Kwanza fahamu kwamba watu kama hawa ni kweli wapo wengi tu,hata wewe au mimi naweza kuwa mmoja wao,hata mleta mada akiamua kutotumia na yeye hatauguagua.

Jambo hilo ndio mojawapo ya jambo halisi linaloonekana kwa macho ambalo linathibitisha kwamba hiko kinachoitwa 'HIV'(ingawa hakipo kiuhalisia),hakina uwezo wa kushusha kinga ya mtu yeyote yule.Ukiona mtu amepimwa HIV+ halafu anaumwaumwa ujue kuna kitu kingine tofauti na huyo HIV(feki) kimesababisha hayo.Ukirekebisha kitu hiko mtu huyo atarudi kawaida mwenye afya njema hata kama bado ni HIV+ na hata kama hatumii ARVs.Hapa ndipo mojawapo ya sehemu muhimu ambayo wengi hawajui/wamefichwa.Mambo haya ndio nitakayojadili baadaye ili watu waweze kuunganisha dots....

Ukinifuatilia kwa makini utaona kwamba ninazungumza mambo mengi sana lakini sijichanganyi,hii ni kwasababu yote ninayosema ni FACTS.Kama hujaridhika na jibu la hapo juu rudi tena.Nimeona nikujibu kitu ambacho hata wewe unaweza kukiona kwa macho ili ujue/uamini moja kwa moja bila mizengwe.Nikikupa article/scientific paper unaweza kuisoma lakini usiiamini hata kama utailewa.Halafu pia hata mainstream doctors wanaokubali kwamba HIV anasababisha ukimwi nao wanazo scientific papers,kwa hiyo scientific papers sio kitu kitakachokufanya wewe ujue ukweli huu kwa kuwa kama jambo linaweza kuonekana kwa macho na kulithibitisha,scientifc paper ya nini.

Ukienda kwenye uhalisia mainstream doctors ndipo wanaposhindwa,hii ni kwasababu kwenye uhalisia ndiko ukweli unapojidhihirisha.Lakini ukisema lete scientific papers,looooo....ma MD watakuja kuzimwaga nyingi sana hapa...hata wale ma daktari walio nje ya mainstream nao wanazo nyingi sana..halafu mwisho wa siku zitakuwa story zilezile,huelewi wapi kwenye ukweli.
Tunaposhindwa kuelewana ni wewe kutumia maneno yako "wapo weeeengi " mkuu naona kama unatupigisha stories tu. Huna ushahidi wa hayo unayoyaamini.science goes with evidence and data.
 
Mkuu nguvu nyingi unazotumia kutushawishi tukubaliane na hoja zako ungetumia kutujibu maswali yetu scientific with data. Hii kujenerolaizi stories kwamba hujui hiki sijui hiki haitatusaidia.
Anatumia nguvu nyingi sana jamaa, hakuna scientific evidence wala proof. Ni maneno mengi kama ilivyo kawaida yetu.

Sayansi haitaki maneno mengi, Deception alete proof ya kisayansi, kama hao wengine waliotela proofs zao kuwa HIV ipo.
 
Back
Top Bottom