Sitaki dawa

Sitaki dawa

I AM SORRY TANZANIA..I AM SORRY GUYS!

I AM SORRY JF AND ALL WHO CALLED ME MENTOR.

ADIOS...

Mentor kupata VVU ndiyo unaahirisha ndoto za maisha yako?

Pole sana mkuu ila walioathirika ni wengi sana na wanaendelea kupursue the dreams of their lives.
Amini nakuambia unaweza kuja kufa kifo kingine kabisa, kisichokuwa na uhusiano na HIV /AIDS.

Hata great leaders wengi wa Nchi hii wameathirika wengi lakini hakuna hata mmoja amekatisha ndoto za maisha yake.

Ata boy, nenda kachukue Masters yako, sidhani kama hiyo inakudisqualify kwenda kusoma.

Kuna magonjwa ya kukata tamaa kama vile kansa nk lakini siyo ukimwi Bro.

Wapo watu nawafahamu naushuhuda kibao, nitafute mkuu nikuweke vizuri kisaikolojia maisha yasonge
 
Mentor kupata VVU ndiyo unaahirisha ndoto za maisha yako?

Pole sana mkuu ila walioathirika ni wengi sana na wanaendelea kupursue the dreams of their lives.
Amini nakuambia unaweza kuja kufa kifo kingine kabisa, kisichokuwa na uhusiano na HIV /AIDS.

Hata great leaders wengi wa Nchi hii wameathirika wengi lakini hakuna hata mmoja amekatisha ndoto za maisha yake.

Ata boy, nenda kachukue Masters yako, sidhani kama hiyo inakudisqualify kwenda kusoma.

Kuna magonjwa ya kukata tamaa kama vile kansa nk lakini siyo ukimwi Bro.

Wapo watu nawafahamu naushuhuda kibao, nitafute mkuu nikuweke vizuri kisaikolojia maisha yasonge
Kuna nchi ambazo ukiwa HIV+ huwezi kwenda kusoma, sijui kwa nchi aliyotaka kwenda (japo bado nadhani jamaa ameleta tu story)
 
Tafuta pesa nipate kukutibia hayo maradhi yako ya Ukimwi na utapona kwa muda wa miezi 7 .
kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

Anapona vipi /nini?

Alivyoelezea anaonekana bado ni mtu na afya yake hajaanza kuumwa magonjwa yoyote nyemelezi zaidi ya kuwa ameathirika na VVU.

Unamaanisha unatibu hivyo VVU vinaondoka kwenye damu?

Fafanua
 
nipo teyari kukupa dawa ambayo nimeachiwa na babu yangu...na wala usijari kuhusu malipo sitachukua ata shilingi yako kama upo teyari nitafute usikate tamaa jamii bado inakuhitaji
Hiyo dawa inatibu nini?

Kuna kuathirika na VVU na kuna kuanza kupata magonjwa nyemelezi.
 
Kuna nchi ambazo ukiwa HIV+ huwezi kwenda kusoma, sijui kwa nchi aliyotaka kwenda (japo bado nadhani jamaa ameleta tu story)
Okay, km by any chance UK ni mojawapo basi akajisomeshe IFM km alivyojipangia mwanzoni.
 
Kama hadithi uliyoleta ni kweli ilitokea kwako,basi nakushauri yafuatayo;

1.Unaoekana kuwa na uelewa wa mambo mengine lakini hili la HIV/AIDS(ambalo ni feki) hulijui,hivyo utayari wako wa kufuatilia ili kujua kwanini na kwa vipi HIV/AIDS ni feki ndio utakaokuokoa.HIV/AIDS ni feki na ndio maana kuna watu wengi wana claim kuwa na dawa na wana claim kuponesha watu,na ni kweli wapo watu wengi waliopima HIV+ halafu wakaja kupima HIV- baadaye,haya yote hutokea kwa kuwa HIV/AIDS ni feki.HIV/AIDS is not real,but rather it is a MINDSET disease.

2.Endelea kufuata uamuzi wako wa kutokunywa ARVs kwa kuwa ARVs ndio kitanzi na ndio zinazosababisha vifo kwa wale wanaozitumia baada ya muda mrefu,kama hutumii ARVs hutakufa kwa hiko kitu kinachoitwa 'HIV'(ambacho ni feki).Matatizo yote unayoyaona kwa wale ambao umeambiwa wameathirika na wanatumia ARVs yamesababishwa na ARVs,kama mtu hatumii ARVs lakini anaumwa,basi lazima ukimpima utamkuta na ugonjwa unaofahamika ambao unatibibika kabisa kama atapewa matibabu mapema,mfano TB,pia ugonjwa huo unampata mtu yeyote bila kujali kama amepimwa HIV+ au HIV-.Nywele kudhoofika/kunyonyoka,ngozi kufubaa/kutoka vipele/vidonda,ini kufeli,figo kufeli,ugonjwa wa moyo,upungufu wa damu,cancer yoyote na kisukari ni baadhi ya matatizo makubwa yanayowaua wale wanaotumia ARVs,wale wasiotumia ARVs huwezi kuwakuta na matatizo haya hata kama wamepimwa HIV+ na hawajatumia ARVs kwa zaidi ya miaka 40(ie their lifetime).Hapa unatakiwa kujua kwamba ARVs ndio mambo yote,HIV ni scaring tactic tu.Unajengewa woga uogope HIV then unajengewa MINDSET ya kukimbilia kula ARVs ambazo ndizo zitakazokuua,pharmaceutical tycoons have made a very simple trick to grab our minds.

3.Kitu kingine ambacho ni kibaya sana ni kwamba,watu wengi wakishapima na kuambiwa ni HIV+,baaaasi,ndio wamemaliza,hawapimi tena katika maisha yao kwa kuwa tayari kwenye bongo zao kuna kale ka mindset kwamba ukishakuwa na HIV ndio baasi,eti HIV hatoki mwilini mpaka kifo kitakapokukuta.Lakini hawajui kwamba kinachopimwa na kipimo SI HIV,bali vipimo hupima vitu 'VINGINE' kabisa tofauti na HIV,and infact vipimo havipimi kijidudu chochote kile kwa muonekano.Hivi vitu ambavyo naviita 'VINGINE' huweza kuwepo kwenye damu ya mtu yeyote yule(hata Obama au Bush) bila kujali kama kwenye damu kuna vijidudu vyovyote au la.Na ndio maana leo hii ukimuuliza daktari yeyote yule unayemjua kama ameshawahi kuona HIV hata kwa kutumia chombo chochote cha maabara,atakwambia "sijawahi",sasa kama hajawahi kuona HIV kwa macho yake anaamini nini?anapima nini?wamejuaje kama HIV ndio husababisha UKIMWI?Hivyo kama utakuwa tayari nitakushauri jambo la kufanya halafu uende kupima tena mara kwa mara mpaka upata majibu HIV- then uje tena hapa uwe shuhuda kwa wengine,sitahitaji chochote kutoka kwako,hii ni kwasababu ninajua hiki ninachokisema ni ukweli mtupu,sibahatishi.

4.Fahamu pia kwamba MINDSET ndio inayofanya watu washindwe kutofautisha kati ya HIV(ambaye ni feki pia) na UKIMWI(ambao upo lakini hauui).HIV hayupo kiuhalisia,UKIMWI upo lakini SI ugonjwa na hauui.Ukimwi si kitu cha kuogopa kwa kuwa hauui na UKIMWI hausababishwi na HIV(Feki),kila mtu anaweza kupata ukimwi na ukimwi huondoka wenyewe mwilini kama mtu utabadili style ya maisha iliyokufanya uwe na upungufu wa kinga.Akili ni kitu cha ajabu sana,yaani ukisema IKIMWI watu wanaogopa sana,lakini ukisema upungufu wa kinga watu hawashtuki wala kuogopa,watu hawana hisia kwamba UKIMWI ndio upungufu wa kinga,hii inatokana na MINDSET mbovu zilizojengeka kwa zaidi ya miaka 30 baada ya kampeni nzitonzito zilizoambatana na movie zenye vitisho za 'eti ukimwi' na matangazo redioni na kwenye TV,kampeni hizi zimefanikiwa kupenyeza IMANI(na si FACT) kwenye vichwa vya watu ambazo zimedumu hadi leo hii.

NB:
Sitakushauri chochote mpaka pale utakapoonesha utayari,nisingependa kupoteza muda wangu bure kwa mtu aliyegubikwa na MINDSET mbaya.Mtu anayeongozwa na MINDSET mbaya kama hizi za HIV/AIDS huwa ni vigumu sana kuuona ukweli,nina mifano.Hata kama unaeleza FACT, mtu hawezi kuiona hiyo FACT iko wapi,hili ni tatizo kubwa sana.

Habari kama hizi zinapaswa watu wazifurahie kwa kuwa ni habari njema zinazookoa maisha yako na wengine kama utazitujua,lakini kinyume chake watu huishia kudharau na kukebehi tu.Ndio maana nasema hii IMANI tuliyojengewa kwenye HIV/AIDS imetumia akili nyingi sana kiasi cha mtu asiyependa kufikiri kushindwa kung'amua ukweli ulivyo.

Utayari wako wa kusikiliza ndio ukombozi wako kiafya na kifikra hasa kuhusu suala hili.Ninaamini kama ulichoeleza ni kweli na wewe ulikuwa na sifa ya kusoma masters,basi utaelewa hiki ninachosema ingawa hutakuwa na full confidence,full confidence utaipata pale utakapoanza kuruhusu ubongo wako kupokea zaidi ya haya.

HAMNA CHA ADIOS HAPA....


Hii post yako unapotosha mazima.

Mentor na yeyote mwingine kama unajipenda /mnajipenda msifuate huu ushauri hata kidogo.

Utakupoteza /utawapoteza na kuwaumiza.
 
Wapendwa, thanks for the wishes ingawa sidhani kama ninastahili pole kutoka kwenu.

I am on my way kwenda Moshi kwa wazazi, kichwa kinaniuma kuwaza nitamueleza nini mama yangu. If only I could turn back the years.

Kama nilivyosema mwanzo sitatumia dawa ya mtu yeyote ile. I chose this.

83098160a7206d6dd08a8d2a7ff75464.jpg


7b7b00222f0a8e000e56ab497759463a.jpg
 
Wapendwa, thanks for the wishes ingawa sidhani kama ninastahili pole kutoka kwenu.

I am on my way kwenda Moshi kwa wazazi, kichwa kinaniuma kuwaza nitamueleza nini mama yangu. If only I could turn back the years.

Kama nilivyosema mwanzo sitatumia dawa ya mtu yeyote ile. I chose this.

83098160a7206d6dd08a8d2a7ff75464.jpg


7b7b00222f0a8e000e56ab497759463a.jpg


I feel you Bro, ukirudi unitafute. Nipo jirani yako
 
Pole brother, ukisha kaa sawa nitakutafuta japo tubadilishane mawazo
 
mmmh nimelia Wallah.. sometimes kuna mambo yanatokea ya uzembe sana..
ngoja nikapime japo ujasiri sina kabisa.
Pima sista, utapata relief kubwa mno. Last week nililazimika, sikutaka, na nilipinga mno kama kawaida yangu. Lakini nililazimika, for the sake of my wife, sikusikiliza ushauri wa mtu yoyote, nilipofanya maamuzi nilipima. Majibu alichukua wife. It's not easy though.

Nenda MNH, wapo vizuri sana sasa hivi, hakuna foleni kabisa na kama unahitaji ushauri nasaha wapo vizuri pia. Tulipewa cases chache, watu wakipewa majibu yakiwa + wanavunja hadi makabati ya ofisi kwa panic, lakini mwisho wanakalishwa chini na kueleweshwa tu na maisha yanaendelea. Maisha lazima yasonge, whether + or -.
 
..... Baada ya muda huyu mwingine anakuwa + sabb ya mwenzio kukutwa +. I think dis thing plays wid mindset...

MECHER ili upate jibu la huo mkanganyiko hapo juu inabidi kwanza ujue ni kitu gani kinachopimwa na hivyo vipimo vinavyosemekana ni vya 'HIV'.Watu wengi hawajui jambo hili,jambo hili ndilo kati ya mambo muhimu sana na ya lazima kujua ili kupata hitimisho kwamba HIV/AIDS ni feki.Hapa utajua waziwazi kwamba hakuna kiumbe yeyote duniani mwenye sifa ya kuitwa HIV,pia utajua kwamba HIV ni jina tu ambalo linawakilisha kitu kisichokuwepo na badala yake wanapima kitu kingine kabisa ambacho hakionekani kwa macho ambacho hufanya vipimo vitoe majibu HIV+ kama kipo mwilini na vipimo kutoa majibu HIV- kama kitu hicho hakipo mwilini.Kitu hiki SI HIV na wala si kijidudu,lakini wao wamekipa jina la HIV,na wamefanikiwa kuwashawishi watu kwamba kweli kuna HIV,hivyo watu wanaamini kwa IMANI kali sana.LAKINI HUYO HIV ANAYESEMWA HAJAWAHI KUONEKANA.Muulize daktari yeyote unayemfahamu ambaye yuko miaka mingi kwenye nyanja ya udaktari kama ameshawahi kumwona HIV,atakwambia "sijawahi".

Ukishajua kitu hiki kinachopimwa ni nini,hapo itakuwa rahisi wewe kujua kwamba,kumbe hata wewe unaweza kupimwa HIV+ hata kama hujawahi kuwa katika mazingira yoyote ambayo wao wanaita hatarishi,kumbe hata Obama,Bush,Trump anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama wana kijidudu chochote au la mwilini,kumbe hata wanandoa wanaweza kupimwa HIV+ wote wawili wakati fulani na wakati mwingine wakapimwa HIV- wote wawili au mmoja wao HIV+ na mwingine HIV- na kinyume chake,kumbe unaweza kupimwa HIV+ leo halafu kesho ukapimwa HIV- bila kutumia dawa yoyote ya hospitali.

HIV/AIDS ni uongo ambao umeshagundulika zamani tu ila watu wa dunia ya tatu kama hapa kwetu Afrika/Tanzania bado wako gizani kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri ambao umechangiwa sana na mazingira tunayoishi.Watu wako busy na whatsapp,insta,facebook,twitter.....nk kufanya mambo ya udaku tu,hivyo si rahisi bongo kama hizi kutengemaa kiakili,ndio maana napata upinzani mkubwa sana ninapoelezea suala hili kutoka kwa jamii kama hii yenye uelewa mdogo wa mambo yanavyoendelea kwenye dunia hii ya sasa.

-Kama mme ni HIV+ na mke ni HIV+,watu wanaona ndio sahihi.Lakini kama mme ni HIV+ lakini mke ni HIV-,watu watasema aidha mke hakupata mchubuko au mungu amemlinda.

-Kama mtoto amezaliwa kutoka kwa mama aliyepimwa HIV+ lakini mtoto ni HIV-,watu watasema ni kwasababu mama alikuwa anamlinda mtoto kwa kula ARVs.Lakini kama mama hatumii ARVs na mtoto amezaliwa HIV-,watu watasema mungu amemwokoa mtoto/malaika wake.

-Kama mtu amepimwa HIV+ leo halafu akaendelea kupimwa HIV+ siku zinazofuata,watasema huu ni uthibitisho kwamba HIV hana dawa.Lakini kama mtu huyo atapimwa HIV- baadaye,watasema labda vipimo vilikosea mwanzoni au mpimaji hajui kupima.

-Mtu akipimwa HIV+ halafu kama hatatumia dawa/ARVs maisha yake yote zaidi ya miaka 40,watasema huyo ni CARRIER,yaani haadhuriki na HIV,lakini akitumia ARVs na kuishi zaidi ya miaka 10 watasema ARVs ndizo zimemlinda miaka yote hiyo.

Bado kuna mifano mingi inaonesha wazi kabisa kwamba HIV/AIDS ni IMANI iliyojengeka vilivyo ndani ya bongo za watu,hasa waafrika/tanzania.Watu hawana uwezo wa kuona mikanganyiko kama hiyo kutokana na imani waliyonayo,hivyo hawawezi kamwe kujiuliza maswali fikirishi,ndio maana hadi leo hii,wenzetu wazungu suala hili haliko kwenye vichwa vyao,ni sisi tu weusi,na ndio maana misaaada mingi wanai push kwetu,kila kijiji utaona land cruisers zao za gharama kubwa,MSD imejaa ARVs ambazo zinahitaji watu wa kuzitumia,watu hao watawapata vipi kama sio kuwalazimisha kupima kwa kutumia vipimo vyao ambavyo ni very strategic na vyenye lengo la kutafuta wateja wapya ili takwimu iongezeke ili serikali iongeze bajeti ya ARVs kulipia kwenye viwanda vya ARVs walivyoingia navyo mikataba.

Mwenye masikio na asikie.
 
Wapendwa, thanks for the wishes ingawa sidhani kama ninastahili pole kutoka kwenu.

I am on my way kwenda Moshi kwa wazazi, kichwa kinaniuma kuwaza nitamueleza nini mama yangu. If only I could turn back the years.

Kama nilivyosema mwanzo sitatumia dawa ya mtu yeyote ile. I chose this.

83098160a7206d6dd08a8d2a7ff75464.jpg


7b7b00222f0a8e000e56ab497759463a.jpg
Take courage man, usiumize kichwa coz that's not the end of the world for you. You will be around for as long as God wants you, muhimu ni hii transition period, uweze kutawala fikra na uchukue maamuzi sahihi kwako na wanaokuzunguka.

Nenda home katulize kichwa for sometime, rudi town uendelee na mishe zako, tafuta mwenza uoe (kama unahitaji) upate uzao na maisha yasonge.
 
Sawa tutapima, ila nataka na free papuchi pia kwani ugwadu nilio nao utaniua dear! Will you help me please?
haukuniona kwenye ile kampeni ya no free p.. anyways tuachane na haya tunaharibu dhima ya mtoa mada.
 
Back
Top Bottom