Sasa brother hebu nisaidie Kitu hapa.kama una sema HIV haiexist je kinachosababisha kinga ya mwili nauzito kupungua ni Kitu gani? Nina maswali mengi kidogo ya kuuliza lakini tuanze na hili hapa.
Hata mimi nina majibu ya maswali yote ambayo wewe unaona yana utata,hivyo usihofu.Sikiliza maelezo yenye logic kubwa hapo chini.
1-Kuna mambo mengi sana ukiacha huyo HIV(feki) yanayosababisha kinga kushuka,nutrition,multiple infections,matumizi ya mara kwa mara ya dawa za hospitali(mfano,ARVs,dawa za uzazi wa mpango nk hutumiwa sana),mionzi,chemotherapy,msongo mkali wa mawazo,unywaji wa pombe kupindukia bila kula vizuri,matumizi ya dawa za kulevya nk.
Ukifuatilia watu wanaougua mara kwa mara utaona wanaangukia kwenye baadhi ya mambo hayo hata kama hao ni HIV-.Lakini kama hao watu ni HIV+ basi utasikia HIV ndiye atakayesingiziwa kwamba ndio sababu ya watu hawa kuugua,hivyo watamrundikia mgonjwa a ARVs ambayo baada ya muda mrefu zitamwua halafu wanakuja kusema angalau amedumu kidogo ARVs zimemsadidia,lakini kama hawa watu ni HIV- basi madaktari ndio wanaanza kutafuta ugonjwa halisi kama vile malaria,TB nk,wakigundua ugonjwa wanautibu na mtu anakuwa safi kabisa,hawampi ARVs.
2-Ili kuthibitisha kwamba namba 1 hapo juu ni kweli,kuna ugonjwa unaitwa TB,nadhani kila mtu anaujua huu.Ili uugue TB kwanza kinga yako inabidi ishuke,yaani uwe na upungufu wa kinga(ukimwi),mtu asiye na upungufu wa kinga si rahisi kuugua TB.Sasa kuna watu weeeengi wana TB lakini ni HIV-,mimi nilikuwa mmojawapo, enzi hizo lakini.Sasa unganisha,ili uugue TB inabidi kinga yako ishuke(kama huamini muulize daktari hili),lakini pia kuna watu weeeengi wana TB ila ni HIV-,Ooooook,kumbe hii ina maana ili kinga ishuke(yaani uwe na ukimwi) si lazima upimwe HIV+.Ila ukipimwa HIV+ basi HIV ndiye atakayebebeshwa lawama zote kwa sababu ya ujinga tu wa madaktari wachache.Wakishakupima HIV+ baaaasi,mambo yote halisi yalisababisha kinga yako ishuke yatasahaulika palepale.Utatibiwa TB,ofcourse utapona,halafu watakushauri jinsi ya kuishi maisha bora yenye afya na kukupa ARVs.
Kwasababu utakuwa umekonda kwa kuugua TB muda mrefu,utaanza kunenepa kwasababu utaanza kupona TB kutokana na dozi ya TB utakayopewa(sio ARVs),halafu kwa kuwa ulishauriwa kula vizuri(ambalo ndilo jambo la msingi walitakiwa walifanye) utaanza kunawiri tena na kurudi ktk hali yako ya zamani.Sasa umepona TB kwa sababu ulikula dozi ya TB(sio ARVs),umenenepa kwa kuwa umepona TB na kula chakula bora,lakini watu wataanza kusingizia kwamba ARVs ndizo zilizokuponya na kuacha kuzungumzia tiba halisi ambayo ni dozi ya TB na chakula bora,ama kweli ujinga ni kitu kibaya sana.Toka lini ARVs zinatibu TB?
3-Uzito kupungua;
Hapo juu nimetoa mfano mmoja wa ugonjwa wa TB,ili upate TB kinga yako inabidi ishuke,kinga kushuka kuna sababu nyingi kama nilizotaja hapo juu.Sasa inabidi utambue kwamba hata huyo HIV(ambaye ni feki) haikusemwa kwamba ana uwezo wa kukondesha mtu.Kinachokondesha mtu ni ugonjwa fulani unaoingia baada ya kinga yake kushuka kwa sababu nilizotaja pale juu.Sasa tukihukua mfano wa TB kama ni ugonjwa maarufu,sasa twende kwenye dalili za TB;
1.Kukohoa mara kwa mara kwa zaidi ya wiki 2,
2.Homa za mara kwa mara
3.Kukonda sana
4.
Kupungua uzito
5.Kuharisha au kutapika kama ni GI TB.nk
sasa je,hizo dalili sio zile ambazo wewe ulidanganywa kwamba ndio za HIV/AIDS?
Je,wote wenye dalili hizo ni kweli wana HIV?
Hivyo basi,usikariri kwamba kukonda ni dalili ya HIV.Kuna magonjwa halisi ambayo yanakondesha na ukitibiwa unapona kabisa hata kama hutumii ARVs.Magonjwa hayo ni TB,Malaria,cancer,kisukari nk.Magonjwa ni yaleyale lakini sasa hivi yamepewa chapa nyingine kwa lengo la kuuza ARVs,HIV ndiye missile wanayoitumia kutengenezea chapa hiyo huku vipimo vyao feki ndio vinavyotumika kama marketing managers wa ARVs.Ndio maana siku hizi wanatoka jasho wanakuja hadi majumbani kufanyia watu vipimo vya HIV bure na ushauri bure,wanapoteza mafuta kwenye gari zao na wanawalipa wahudumu kukufuata pale ulipo BUREEEE kabisa huku wewe ukidhani wanakupeeenda sana.Mimi ndio nakupenda zaidi ya wao,tambua hili sasa.
Mtu anayetumia ARVs baada ya muda mrefu anapata matatizo yafuatayo;
1.Matatizo ya moyo,presha,
2.Matizo ya ini
3.Matatizo ya figo
4.Cancer yoyote ile,kwa wanawake zaidi ni cervical cancer au matiti..nenda ocean road kajionee mwenyewe...
5.Upungufu wa damu
6.Kisukari
7.Nywele kudhoofika
8.Ngozi kutoka vipele/vidonda,kuwasha,kufubaa nk
Dalili hizo sio ndio zile ambazo wewe umeambiwa ni za HIV? Sasa nakwambia ukweli leo kwamba haya matatizo yanasababishwa solely na ARVs kwa wale wanaozitumia baada ya muda mrefu.Asiyetumia ARVs hapati matatizo haya(technically).
Fanya utafiti wako nenda kwenye mahospitali waliolazwa watu wanaotumia ARVs(wenye huyo HIV feki).Utajionea wewe mwenyewe matatizo hayo niliyotaja hapo juu.
Ukweli uko hivi;badala ya kusema HIV/AIDS ilitakiwa watu waseme ARVs/AIDS.Lakini kwa kuwa tumewekewa wigo wa kufikiri,hatuwezi kutambua hilo.