Huna jipya bro. Unatoa hoja nyingi zisizo na mantiki.kwa mfano unasema HIV test haipimi AIDS badala yake inapima vitu vingine , nivitu gani hivyo? Kwanini vipimo hivyo vioneshe + ve kwa mwenye AIDS na - ve kwa asiye na AIDS? Bado unatoa majibu ya jumla jumla.lete hapa sources zinazojulikana na kukubalika na jopo la wanasayansi wanaotambulika kutoka vyombo vinavyojulikana.nitakuamini. don't bit around the bush.haya majibu ya kuniambia kuwa mifano ipo mingi siyataki.nataka ushahidi wa unachokisema.otherwise acha kudanganya watu waache dawa za kuongeza maisha wafe mapema.kwanza nakuhakikishia kama si watu kumeza vidonge tungepoteza ndugu zetu wengi mapema sana.
Unaona hapo kwenye bold?Yaani sijui maneno unayoyaongea unayatoa wapi,nikikuuliza uoneshe ni wapi nimesema kama hivyo ulivyosema wewe hapo kwenye bold utanijibu nini?Mimi nimesema kwamba
vipimo vinavyoaminika kwamba ni vya HIV havipimi HIV kwa muonekano lakini wewe unasema kwamba mimi nimesema HIV test haipimi AIDS,yaani unaongea vitu usivyovijua wewe.Hivi mkitulia ili mfundishwe mnapata hasara gani?Mimi sikujui,wewe hunijui,sasa unaogopa au unaona aibu kwa sababu gani?
Ndio maana huwa nasema kuna watu wanatembea na miili tu lakini akili zimeshikwa na wengine,I sorry for harsh words,lakini huo ndio ukweli,niko tayari kukufundisha kama utapenda na utakuwa tayari kwa kuwa nakupenda.
Hapo kwenye post uliyoniquote nimeweka hints 3 ili kuondoa ule usemi wenu kwamba mimi naongea maneno mengi matupu yasiyo na hoja wala msingi.Nimeweka hints hizo ili tuanze kutoa ushahidi wa kweli kwenye kila jambo hapo kwenye hints,kila upande uje na nondo zake.Sasa je,wewe hukuzisoma hizo hints?Au hukuzielewa?
Halafu pia sina uhakika kama HIV alipotangazwa kama ni 'PROBABLE' cause ulielewa maana yake ni nini.Unajua maana ya probable wewe?Sasa nakuwekea kipande cha hiyo conference ya mwaka 1984 HIV alipotangazwa kama ndio PROBABLE cause wa HIV.
Ninyi si mnataka ushahidi?Sasa angalia hiyo video na usikilize kwa makini,ukishafanya hizo itafute hiyo video kwenye youtube na usome comments zote chini yake ili uone wenzetu wazungu nao wanasema kuhusu suala hili.Hapa nataka kukuthibitishia kwamba wazungu na sisi ni tofauti kabisa,wao wanajitambua lakini sisi tumekalia kutunisha mishipa ya shingo na mate kuruka mdomoni kubisha hata bila kujua tunabishania nini.
Angalia comments za wenzetu wazungu kwenye hiyo video ili ujionee mwenyewe wanasemaje,maana ninyi mmekalia tu eti "mbona wazungu nao wanakufa",kila sehemu wajinga wapo,hata hao pia wapo wajinga,ila wachache sana,ukisoma comments zote hapo kwenye hiyo video ndio utatibitisha kwamba wazungu wameshajua uongo huu muda mrefu tu,pia utathibitisha kwamba wazungu wako smart upstairs katika kulidadavua jambo hata kama ni jipya kwao,hawapingipingi tu hovyo kama sisi.
Msipeane moyo eti "nimetumia ARVs kwa miaka 15",ARVs zina muda wake kwenye mwili kutokana na tolerance ya mwili wa mtu....muda ukifika ni matatizo tu.....sipendi jambo hilo liwafikie walengwa,lakini ndio ukweli ulivyo.Halafu nasikitika kwamba hamjui hata kama mtu hatumii ARVs anaishi kama kawaida tu miaka yote aliyopaswa kuishi duniani.
Hivi mmeshajiuliza hili kwamba;Siku zooote mtu yuko safi tu kiafya,lakini akienda kupima na kuambiwa ni HIV+ basi ndio anaanza kuumwa na matatizo hayaishi?Ina maana kila mtu anapoenda kupima na kuambiwa ni HIV+ anakuwa amelenga siku muafaka ya kwenda kupima?Is that coincidence?
Fuatilia hiyo video hapo chini:Tafakari haya maneno "PROBABLE CAUSE",halafu hakukuwa na hata scientific paper moja wakati wanatangaza upuuzi huo ili kufanya kile kinachoitwa probable kuwa real.Kama ilikuwepo lete hapa tuione,vinginevyo ninyi ndio mnashabikia mambo msioyajua.