Soma kwa makini hapa chini:
Prof Peter Duesberg ana paper nyingi tu,labda wewe umesoma mojawapo.Sasa angalia point inakuja.Umesema kwamba Duesberg amesema AIDS haisababishwi na HIV,its fine,ni kweli kasema hivyo na huo ndio ukweli,lakini hukusema Duesberg amesemaje kuhusu sababu nyingine tofauti na huyo HIV zinazosababisha AIDS.
1.Kwa kuwa Duesberg amesema HIV hasababishi AIDS,kwa maana hiyo sababu ya AIDS sio HIV.
2.Kama HIV hana uwezo wa kusabisha AIDS,sasa hilo jina lake linawakilisha nini?Maana ya HIV ni Human Immunodeficiency Virus(yaani kirusi kinachosababisha upungufu wa kinga mwilini kwa binadamu).Sasa kama kirusi kinachosababisha upungufu wa kinga(HIV) hakiwezi kufanya kama jina lake linavyosema(yaani hakina uwezo wa kushusha kinga ya mtu),sasa jina lake linaleta mantiki kweli?Je,wewe huoni kwamba hili ni jina tu lisiloakisi uhalisia wa jina lenyewe?
Sasa nadhani unaelewa ninaposema hakuna HIV.Ninaposema hakuna HIV maana yake kwa kirefu ni kwamba hakuna kirusi kinachosababisha upungufu wa kinga mwilini.
Kwa hiyo inabidi ufahamu kwamba HIV ni jina tu kama majina mengine ambalo watu wawili tu wamekaa na kukubaliana kutoa jina hilo na kukipa kitu ambacho hakina hata sifa ya kufanya kama jina hilo linavyosema.Sasa nikisema hakuna HIV nadhani unanielewa.
Kwa mfano mtu akikuuliza unaijua rangi ya upepo?Swali hili lina exist lakini mantiki hakuna.Yaani swali lipo lakini ni invalid.Ni sawa na kusema wewe una uwezo wa kuchuchumaa na kusimama kwa wakati mmoja,hapo sentesi ipo lakini ni invalid.
Kama Duesberg amesema AIDS haisababishwi na HIV na ukweli ndio huo, basi jua wazi hata mimi ninaposema kwamba hakuna HIV ni jambo lilelile tu,yaani hakuna kirusi kinachosababisha upungufu wa kinga(AIDS).
Done.