Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Uje hapa AMREF nikupime mwenyewe ndo ntaamini.Yani kama upo moyoni mwangu vile. "saikolojia" yangu imekufa kabisaaa. Kupima mbona napima tu hata sasa hivi. Kuna hii statement " Mungu ungeninyima scholarship, ukanipa afya yangu". Nishawahi ishuhudia statement kama hiyo kwa mtu wangu wa karibu sana. its a very sad long story, ila katika yote alimuomba Mungu amuachie tu afya yake, basi. Since that day HS niamke sijui nina majanga gani, ila nikiwa tu na afya, siumwi mmmh nasahau mengine yote kwa muda
I still pray ninachokiamini kuhusu story hii kiwe hivyo kweli. Otherwise as ulivyosema maisha lazima yaendelee whether + or -. As long as mtu huumwi kwamba umelazwa tu kitandani.....you just go out there and validate your dreams.
BTW nlikuwa nakuona we mjanja kumbe nlikosea. kwanini uogope wadudu bhana?? Yani umawaogopa mpk unaamua ukawapime??
Ila nashukuru kwa kuifuatilia hadithi yetu