Kwanza kabisa inabidi ujue hiyo term 'viral load' ina maana gani,vinginevyo yatakuwa yaleyale kama vipimo vinapopima kitu kingine kabisa lakini watu wanaambiwa kwamba vinapima HIV.Ukielewa hapa itakuwa rahisi kuelewa na jibu nitakalokupa.Inabidi twende taratibu ili uelewe,hata wao waliotudanganya walitumia muda mrefu kujenga IMANI hii kwenye vichwa vyetu,vivyo hivyo ili na mimi niitoe imani hiyo kwenye vichwa vya watu inabidi niende taratibu na kwa mipango.
Ukila green food CD4 zinapanda,ukila mbegu za mlonge CD4 zinapanda,Ukipima CD4 nyakati mbalimbali za siku ie mchana na asubuhi utapata viwango tofauti bila kujali kama umepimwa HIV+ au la.CD4 zinaweza kuwa chini ya kiwango lakini mtu ukawa na afya njema sana.Hivyo CD4 ni function yenye variable nyingi sana lakini 'HIV' si mojawapo kati ya hizo variables.Unaweza ukawa na CD4 katika kiwango kinachohitajika halafu ukawa unaugua ugua pia.Immunity ni suala pana sana na complicated as far as knowledge ya wanasayansi ilipofikia kwa sasa.
Kama ukichukulia viral load kama ni wingi wa HIV kwenye damu basi hilo ni tatizo,hii ni kwasababu,kama hata huyo HIV hajawahi kuonekana kwa macho kwa kutumia hivyo vipimo vyao,sasa wanapata wapi data za viral load?Kama wanapima kitu kingine na kusema kwamba ndio viral load,basi hiki kitu kingine ndio nataka kiwe mjadala wetu sasa,maana hapa ndipo watu wanapodanganywa.
JIBU:
Swali lako liko kimantiki zaidi,hii ni kwasababu inategemea mlengwa ana matatizo gani ndani ya damu yake.Swali hili ni rahisi kulijibu kwa kutumia mfano halisi wa mlengwa.Kwa kuwa najua hata kama mlengwa ameambiwa ni HIV+ na hatatumia ARVs,kuna mambo mengine ya kufanya kwenye mwili wake ili kumfanya apime HIV- na kama nitataka CD4 zake zipande pia(ingawa sio muhimu) nina uwezo huo,ni rahisi sana,ni suala la nutrition na antioxidants kulingana na tatizo lake la msingi.Hivyo kama hakuna mfano unaoonekana,ni vigumu kujibu swali lako moja kwa moja.Vitu vingi vinaweza kufanya CD4 zipande au zishuke,lakini si 'HIV'.Ni kweli kwamba ARVs zinapandisha CD4,but is it a big deal?NO.Ni ujanja wa kisayansi tu ili kujenga IMANI kwa watumiaji wa ARVs.
Kumbuka yule mgunduzi wa huyo anayesemwa kuwa ni 'HIV' alitanabaisha kwamba,"immune system of many African people doesn't work well already,even if they are not infected with HIV".Hivyo kujua kwanini kinga ya mlengwa haiko sawa inabidi kumwona mlengwa,kujua utaratibu wake wa maisha ambao mwisho wa siku ndio uliomsababisha awe hivyo.