"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

My brother, una haki ya kuwa na huo mtazamo. Nilikuwa nafikiria hivyo pia kabla ya ile thread yake. Obviously, he is not that intelligent as I wrongly thought. Sad! Soma comment yangu #57 kwenye huu uzi wa Naantombe Mushi.
huu uzi sio wa naantombe mushi ni yeye mwenyewe anaendelea kucheza mchezo hapa

inabidi mamods waangalie kwa makini id multiple hizi waziunganishe maana kama kiki ameshapata
 
kiki ya kujisingizia magonjwa makubwa kama hayo....
BEST WENGINE WAKITAFUTA FAMOUS LAZIMA WATUMIE MBINU MBALIMBALI NDO KAMA HIYO HUYU DOGO
ILA AMENISHANGAZA SANA SIKUTEGEMEA KAMA MENTOR ANGEWEZA KUFANYA HIVI ALIVYOFANYA
 
Eehuuuu! Afadhali kama ilikuwa story ya uongo maana nilijua mentor kaniua!
Nipo salama wakuu
 
....and to make matters worse, alipokosolewa amekuja na posts za kujitetea, jinsi alivyofanya application huko TCU na wizarani. Why would he do that? Who is he trying to impress? Kwangu haikubaliki kabisa kujivalisha uhusika wa vitu serious na kuaminisha watu kiasi hiki.

That story, to a great degree, just confirmed one of my hypotheses about a lot of folks in here.

And that is there is a sucker born every minute!
 
Daah, kweli humu jf. Yaani kucheza na hisia za watu hivyo jamani?? Ogoha mwanadamu
 
That story, to a great degree, just confirmed one of my hypotheses about a lot of folks in here.

And that is there is a sucker born every minute!

...what is it that you've confirmed kiongozi?
 
It's right there in the text in which you quoted.

Or you didn't understand it?
If it's about "the sucker being born every minute", then I got it. I thought there's more to that...

Una vingreza vigumu..teh teh!
 
Ni kweli kuna uwezekano mkubwa sana kuwa hii ni fiction. Ukisoma comment yangu ndefu kwenye ule uzi wake Mentor utaona kuwa nilionyesha mashaka yangu kuhusu ukweli wa habari yake. Nilitoa mfano wa Diagnosis iliyokuwa documented kwenye ile form yake haikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na HIV/AIDS.

Hata hivyo, niliendelea kumpa ushauri kwa kumpa benefit of doubt.

Nafikiri nifupishe tu maelezo yangu kuwa kama kweli ile ni story ya kutunga, then amefanya kosa kubwa sana. He is very misinformed. Huyu Jamaa ni miongoni mwa watu ambao nimekuwa nikiwaona wanajitambua hapa JF. Nilimheshimu. Kwa hili, I repeat, kama ni utunzi, then nimemdharau sana. Intelligent people hawafanyi makosa ya kijinga kama hayo. Lakini kama ni mtu muelewa huwezi kutumia HIV/AIDS kama uchochoro wako wa kutokea. Alitakiwa ajue kuwa UKIMWI ni ugonjwa ambao bado global community ina-struggle kuondoa tatizo la unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi na VVU. Obviously, ana ufahamu mdogo na hakujishughulisha kufanya homework ili asipotoshe watu.

Mentor atakuwa ni mbaguzi kwa PLHA. Iko obvious na it seems that has subconsciously motivated him kuja na aina ile ya uzi.

If indeed he was playing with people's minds, then anatakiwa aombe msamaha. With his writing, amefanikiwa kuumiza hisia za watu, ikiwa ni pamoja na wale ambao tayari wanaishi na VVU. Kimsingi ni pigo kwenye mapambano ya UKIMWI. It is a disincentive!!

Naweka full stop hapa kwa kuomba kuwa wakuu tuweni makini na tunzi zetu. Tuwe tunafikiria nje ya box. Hata kams wakati mwingine nia zetu ni kufurahisha watu, basi tijitahidi tu tunzi zetu ziwe constructive na sio destructive.

Cheers!!!
Mmh,
Mimi sioni kama ameleta kurudisha nyuma mpambaji dhidi ya ukimwi basi amesaidia BCC kwa kiasi kubwa!
 
Back
Top Bottom