"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

Atakuwa bonge la kiazi. Huwezi kutafuta kick kwa ugonjwa kama AIDS bwana, si angetumia uhusika mwingine tu, tungemuelewa. Kama ni kick basi jamaa ni kiazi.

Mkuu umezungumza mawazo yangu kabisa. Nakubaliana na wewe. It will indeed be a shame for him kama ni false kama tunavyofikiri
 
Kuna kikundi cha watu kinajaribu kuwachezea wenzao akili, their aim is to tyrannize JF members. They have not done it once but many times. Baada ya Mentor kuweka bandika lake wakaja na orodha ya wahanga wa Mentor. I know them and when the time comes I will divulge. X, X and X, I know the game you are playing.
@EvelynSalt huyooo.... Jf ukiijua hupati shida
 
Hahahaah hata yale majina ya wale mabinti aliyoyataja, ingekua Kweli Asingeweza kuweka details za wazi kiasi kile! Hahahaha Mentor nani anakumbuka shairi lake la inside verossa? Hahha watu walifungua nyuzi kumpinga but it was the best
 
Mbona sio thread ya kwana kuandika hivyo. Hadithi zake zote huwa na anavaa uhusika na zote huhusu HIV. Sema tofauti hiyo ni kwamba inaumiza sana.
Zote zinashabihiana iweje leo atuhumiwe.

Mkuu ushasema tayari kuwa hii ni tofauti na hizo nyingine. Ukisoma comment yangu hapo juu (comment # 57) utaona wazi why this was wrong.
 
Mentor..... I love this guy, very intelligent and talented story teller

My brother, una haki ya kuwa na huo mtazamo. Nilikuwa nafikiria hivyo pia kabla ya ile thread yake. Obviously, he is not that intelligent as I wrongly thought. Sad! Soma comment yangu #57 kwenye huu uzi wa Naantombe Mushi.
 
Of all things ideas concept a man could try to win peoples attention... He had to come with AIDS..... How!? Pathetic...
 
Eti Nifah , ni kweli una siku ya tatu hujaweza kuchangia kitu huku?
Labda sikueleweka vizuri,nilimaanisha uzi ule ndio umechukua muda wangu mwingi humu.
Kwa jinsi nilivyo...mimi sio mtu wa kukaa takribani siku 3 nikideal na thread 1 tu.
Mimi ni mtu ambaye huchangia kwa wingi sana katika posts mbalimbali.
Ukiangalia kwa umakini...ni jana usiku ndio nimechangia threads nyingine...
Sio case anyway...take it or leave it.
 
Alivyoweka msisitizo kuwa ni story ya kweli kwa kuwa ametaja majina ya sehemu halisi, nikaguna tu.

kwani Mtu hawezi kutunga kutumia sehemu halisi. kwanza kutengeneza fictional setting inachukua muda.
 
Mbona sio thread ya kwana kuandika hivyo. Hadithi zake zote huwa na anavaa uhusika na zote huhusu HIV. Sema tofauti hiyo ni kwamba inaumiza sana.
Zote zinashabihiana iweje leo atuhumiwe.
so ana tungo nyingine za aina hii?

lengo lake huwa ni nini sasa, coz now naweza kukubaliana na jamaa aliyesema huyu mtunzi ni mnyanyapaa kwa waathirika.
 
Kuna kikundi cha watu kinajaribu kuwachezea wenzao akili, their aim is to tyrannize JF members. They have not done it once but many times. Baada ya Mentor kuweka bandika lake wakaja na orodha ya wahanga wa Mentor. I know them and when the time comes I will divulge. X, X and X, I know the game you are playing.

Mkuu nahisi kuna vitu vimenipita. Ni update hivi ulivyo-highlight hapa hata kupitia PM. Thanks
 
Back
Top Bottom