"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

Labda sikueleweka vizuri,nilimaanisha uzi ule ndio umechukua muda wangu mwingi humu.
Kwa jinsi nilivyo...mimi sio mtu wa kukaa takribani siku 3 nikideal na thread 1 tu.
Mimi ni mtu ambaye huchangia kwa wingi sana katika posts mbalimbali.
Ukiangalia kwa umakini...ni jana usiku ndio nimechangia threads nyingine...
Sio case anyway...take it or leave it.
Wewe nakufahamu in MTU wa kukurupuka. No second thought.
 
Sasa wewe uliamini aliposema hataki dawa kabsaaa!!! Na amekataa kwenda kusoma kwa sababu ukimwi, labda kama afya yake ilikuwa na matatzo mengine kama ebola nk.
Naomba unipe sikio kiduchu....
Sikuzile nikingali bado kijana, nilipata kupimwa Homa ya manjano ili nipate kuingia kwenye nchi flani.
Wakati mwingine nikiwa naelekea kwenye utafutaji hukoooo duniani, pia nilipata kupimwa Ukimwi na Malaria ndipo nipate kibali cha kuingia kwenye mpambano.
Baadae nikiwa kwenye mchakato wa kwenda nchi flani kikazi, nilipata kupimwa Bp, Sukari, Malaria na Ukimwi ili niweze pata kibali cha kuingia kwenye nchi husika.
So.....
Kipi kikushangazacho?
 
My brother, una haki ya kuwa na huo mtazamo. Nilikuwa nafikiria hivyo pia kabla ya ile thread yake. Obviously, he is not that intelligent as I wrongly thought. Sad! Soma comment yangu #57 kwenye huu uzi wa Naantombe Mushi.
....and to make matters worse, alipokosolewa amekuja na posts za kujitetea, jinsi alivyofanya application huko TCU na wizarani. Why would he do that? Who is he trying to impress? Kwangu haikubaliki kabisa kujivalisha uhusika wa vitu serious na kuaminisha watu kiasi hiki.
 
Kuna kikundi cha watu kinajaribu kuwachezea wenzao akili, their aim is to tyrannize JF members. They have not done it once but many times. Baada ya Mentor kuweka bandika lake wakaja na orodha ya wahanga wa Mentor. I know them and when the time comes I will divulge. X, X and X, I know the game you are playing.
Huu uzi wa Mentor utasemewa kila aina aina ya ushuhuda na maneno ya kila rangi.


Anyway.....
Ebu ngoja nisiwe mwepesi wa kusema lolote hadi hapo atakapo kuja kukanusha yeye mwenyewe
 
....and to make matters worse, alipokosolewa amekuja na posts za kujitetea, jinsi alivyofanya application huko TCU na wizarani. Why would he do that? Who is he trying to impress? Kwangu haikubaliki kabisa kujivalisha uhusika wa vitu serious na kuaminisha watu kiasi hiki.

Uzungumza vizuri sana mkuu and I totally share your sentiments. In any definition, it is pathetic. I didn't expect him to be this low. Anyways, ngoja nifunge domo langu. But at least hivi vitu somehow vinasaidia watu kujuana mindsets zetu. Cheers bro!
 
Mentor ndiye mwenye majibu so nyie pigeni tarariraaaaaaaa ila yy ndio ajuaye, isitoshe ni best angu ntaenda kwake jioni ntaleta majibu hapa
Nami nimepanga nikamuone soon nitakapo rejea kutoka shama, ili anieleze undani wa sakata hili aiseeee
 
hata mim nilielewa kaleta ELIMU ya ukimwi kiujanja il watu waache ngono zembe,,,,,,, sasa mtoa huu uzi ulishaamin alichosema adi ukahangaika na kweNda wizara ya elimu duh!!!!!!! au ulikuw mchepko wake!!!!!!???????????? elimu ya #Mentor ni mfano wa kuigwa.
 
hata mim nilielewa kaleta ELIMU ya ukimwi kiujanja il watu waache ngono zembe,,,,,,,
well me naona ni EPIC FAIL. UPOTOSHAJI zaidi ya elimu. nasikia ana story nyingi za hivi. inaonekana hana uelewa na HIV au ni mnyanyapaa tu.

elimu ya hivi labda ingetolewa miaka 20 nyuma. yani ni upotoshaji kama Mtu alikuwa ashaanza kukubali hali yake akamsoma huyu "mtunzi" basi ni anamuharibu tu.

HIV haiambukizwi kwa ngono pekee na si wote walioambukizwa kwa ngono walifanya ngono zembe. tena maambukizi mengi huku Africa yapo kwa wanandoa zaidi. fikiria mama aliyeambukizwa kwa starehe za limume lake.

huyu kaeleza vizuri.
Ni kweli kuna uwezekano mkubwa sana kuwa hii ni fiction. Ukisoma comment yangu ndefu kwenye ule uzi wake Mentor utaona kuwa nilionyesha mashaka yangu kuhusu ukweli wa habari yake. Nilitoa mfano wa Diagnosis iliyokuwa documented kwenye ile form yake haikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na HIV/AIDS.

Hata hivyo, niliendelea kumpa ushauri kwa kumpa benefit of doubt.

Nafikiri nifupishe tu maelezo yangu kuwa kama kweli ile ni story ya kutunga, then amefanya kosa kubwa sana. He is very misinformed. Huyu Jamaa ni miongoni mwa watu ambao nimekuwa nikiwaona wanajitambua hapa JF. Nilimheshimu. Kwa hili, I repeat, kama ni utunzi, then nimemdharau sana. Intelligent people hawafanyi makosa ya kijinga kama hayo. Lakini kama ni mtu muelewa huwezi kutumia HIV/AIDS kama uchochoro wako wa kutokea. Alitakiwa ajue kuwa UKIMWI ni ugonjwa ambao bado global community ina-struggle kuondoa tatizo la unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi na VVU. Obviously, ana ufahamu mdogo na hakujishughulisha kufanya homework ili asipotoshe watu.

Mentor atakuwa ni mbaguzi kwa PLHA. Iko obvious na it seems that has subconsciously motivated him kuja na aina ile ya uzi.

If indeed he was playing with people's minds, then anatakiwa aombe msamaha. With his writing, amefanikiwa kuumiza hisia za watu, ikiwa ni pamoja na wale ambao tayari wanaishi na VVU. Kimsingi ni pigo kwenye mapambano ya UKIMWI. It is a disincentive!!

Naweka full stop hapa kwa kuomba kuwa wakuu tuweni makini na tunzi zetu. Tuwe tunafikiria nje ya box. Hata kams wakati mwingine nia zetu ni kufurahisha watu, basi tijitahidi tu tunzi zetu ziwe constructive na sio destructive.

Cheers!!!
 
well me naona ni EPIC FAIL. UPOTOSHAJI zaidi ya elimu. nasikia ana story nyingi za hivi. inaonekana hana uelewa na HIV au ni mnyanyapaa tu.

elimu ya hivi labda ingetolewa miaka 20 nyuma. yani ni upotoshaji kama Mtu alikuwa ashaanza kukubali hali yake akamsoma huyu "mtunzi" basi ni anamuharibu tu.

HIV haiambukizwi kwa ngono pekee na si wote walioambukizwa kwa ngono walifanya ngono zembe. tena maambukizi mengi huku Africa yapo kwa wanandoa zaidi. fikiria mama aliyeambukizwa kwa starehe za limume lake.

huyu kaeleza vizuri.
We nae unatetea kuZin pekupeku?? kajarbu uone ndan y sekunde unatoweka dunian,,,,, hapa angekuja na styl vijana achen ngono kuna ukimwi angepondwa na matusi juu nakuambiw anajifanya baba paroko,,,, lakn coz anaelew vichwa vy digtal ndo maana kapost kimtindo,,,,, SHIGONGO amtafte aisee.
 
We nae unatetea kuZin pekupeku?? kajarbu uone ndan y sekunde unatoweka dunian,,,,, hapa angekuja na styl vijana achen ngono kuna ukimwi angepondwa na matusi juu nakuambiw anajifanya baba paroko,,,, lakn coz anaelew vichwa vy digtal ndo maana kapost kimtindo,,,,, SHIGONGO amtafte aisee.
wewe unajihusisha zaidi na watu ambao hawajaambukizwa wakati mimi naRelate na watu walioambukizwa.

yes kajaribu kudiscourage ngono zembe but then kaharibu sana jinsi alivyopresent ugonjwa huu.

kaandika utafkiri HIV ndo vidudu pekee vinavyoambukizwa kwa ngono zembe na ukipata maambukizi ndo mwisho wa maisha.

unyanyapaa is still a serious issue. wakati mapesa mengi yanatumika kuelemisha watu na kuondoa unyanyapaa huku watunzi wanaturudisha miaka 20 nyuma.
 
Mbona sio thread ya kwana kuandika hivyo. Hadithi zake zote huwa na anavaa uhusika na zote huhusu HIV. Sema tofauti hiyo ni kwamba inaumiza sana.
Zote zinashabihiana iweje leo atuhumiwe.
Hahahahaahaaa labda hawajui hadithi zake
 
Hahahaah hata yale majina ya wale mabinti aliyoyataja, ingekua Kweli Asingeweza kuweka details za wazi kiasi kile! Hahahaha Mentor nani anakumbuka shairi lake la inside verossa? Hahha watu walifungua nyuzi kumpinga but it was the best
aisee hadithi zingine shida yaani unajitungia hadithi ya namna hiyo kweli ipo kazi kwenye ufahamuwake inaelekea mentor ameshadata aisee ipo kazi
 
Back
Top Bottom