"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

Mnakumbuka hadithi moja ya kijana aliyekwenda chunga mbuzi halafu baadae akawa analia mbweha! The third time they didn't take him serious
he got eaten by wolves
 
kuna mtu kanichekesha et Mentor anatafuta kiki
Inashangaza sana aiseee....
Kiki ya kujitakia balaa..
Hivi inawezekana kweli kwa mtu kama Mentor kuleta uzi ambao unaogofya kiasi kile, eti kwakua anataka KIKI..!!?
Ebu ngoja niishie hapa aiseeee
 
Ni sehemu nyingi tu alichanganya mambo, ukimwi kwa sasa si issue kubwa hadi izuie maendeleo yako, labda uwe choka mbaya lakni kwa mtu ka mentor kama alivojitanabaisha sidhani kama angeleta huo uzi hapa.
 
Ni sehemu nyingi tu alichanganya mambo, ukimwi kwa sasa si issue kubwa hadi izuie maendeleo yako, labda uwe choka mbaya lakni kwa mtu ka mentor kama alivojitanabaisha sidhani kama angeleta huo uzi hapa.
Mkuu,
Ebu tufumbue macho nasisi tuzijue hizo unazo ziita sehem nyingi alizo jichanganya aiseeee...
Na unapo msemea mtu kama Mentor kutokua na ujasiri wa kusema ukweli wa kilicho msibu, hapa napata mashaka kidogo.
Kimsingi UKIMWI ni ungonjwa unao ogofya pasipo kujalisha umri, uwezo na jinsia. Hivyo kama nikweli lazima jamaa alipata mshtuko.
Na kuhusu kuleta issue yake hapa jamvini, bado naweza nikasema ni kitendo cha kijasiri tu.
 
Back
Top Bottom