"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

"Sitaki dawa" ya Mentor ni fraud

Hivi kama amedanganya yule alotoa shuhuda anajisikiaje maana alidhani anampa moyo mgonjwa mwenzie walau asikate tamaa alafu imekua hivi labda nayo iwe multipl id
 
Hivi kama amedanganya yule alotoa shuhuda anajisikiaje maana alidhani anampa moyo mgonjwa mwenzie walau asikate tamaa alafu imekua hivi labda nayo iwe multipl id

Great observation mkuu. Hiyo ni moja ya points (in big picture) muhimu ambazo baadhi ya watu wamekuwa wakizimiss hapa. He failed on this one...he failed big time the fight against unyanyapaa and hence the overall fight against HIV/AIDS !!
 
Great observation mkuu. Hiyo ni moja ya points (in big picture) muhimu ambazo baadhi ya watu wamekuwa wakizimiss hapa. He failed on this one...he failed big time the fight against unyanyapaa and hence the overall fight against HIV/AIDS !!
So Sad. Naomba asijihisi aibu awe na amani kama alivyoweza kuwa nayo wakati anampa moyo.
 
Haiwezekani kumchagulia mwandishi cha kuandika na jinsi ya kuandika. HIV is real, na watu wanaiogopa mno kama ilivyoonekana kwenye ile thread. Mentor wako wengi sana. Kuna watu wamejiua ka sababu wamegundulika na HIV. Wengine wameamua kujikataa na kuahirisha kufatilia ndoto zao. Hadithi ya Mentor inatuambia tunatakiwa ku-dimistify HIV. Huzuni watu waliyoipata naweza kusema kusema mwandishi amefanikiwa kufikisha ujumbe muhimu kuhusu HIV. Mtu yeyote mzembe hapa keshaona akiupata ataumiza familia na jamaa zake kwa kiasi gani. Mwandishi ametumia mtindo wa persona kufikisha ujumbe wake. Si kosa. Hayo mapungufu ya kimantiki yanatokea katika harakati za kuweka uhalisia kwenye hadithi na wewe umekuwa mchambuzi mzuri. Tumezoea hadithi za kusisimua na kuburudisha. Hii imekua tofauti na nimeipenda. Sikushtuka kwa sababu hata ingekua kweli najua hali ya kujuta na kuzira ni reaction ya kwanza kwa watu wengi, lakini with time hupona na kukubali hali na kuendelea kufurahia maisha. Nimeifananisha na ule wimbo a Ferouz.
 
....and to make matters worse, alipokosolewa amekuja na posts za kujitetea, jinsi alivyofanya application huko TCU na wizarani. Why would he do that? Who is he trying to impress? Kwangu haikubaliki kabisa kujivalisha uhusika wa vitu serious na kuaminisha watu kiasi hiki.
hahahaaaa........ mtani umenichekesha sana leo. Yaani hii yote ni kwa sababu uliamini, ukahuzunika na kumfariji na sasa unaona umefanywa mjinga. Take it easy.
 
BEST WENGINE WAKITAFUTA FAMOUS LAZIMA WATUMIE MBINU MBALIMBALI NDO KAMA HIYO HUYU DOGO
ILA AMENISHANGAZA SANA SIKUTEGEMEA KAMA MENTOR ANGEWEZA KUFANYA HIVI ALIVYOFANYA
Jamani Mentor is one of the most famous, intelligent and talented guys here. Atafute umaarufu zaidi ya nani wakati hana mpinzani? Tukubali tu kuwa katukamata basi. Watu wazima hawapendi kujiona au kufanywa wajinga.
 
Jamani Mentor is one of the most famous, intelligent and talented guys here. Atafute umaarufu zaidi ya nani wakati hana mpinzani? Tukubali tu kuwa katukamata basi. Watu wazima hawapendi kujiona au kufanywa wajinga.
Kama ni hadithi basi sawa ila daah! Wengi tulikosa raha baada ya kusoma,na kama si kweli basi nimekoma kufatilia hadithi za namna hii. Wenye machozi ya karibu tuliyatoa ila anyway yeye ndio mwenye ukweli lakini
 
well me naona ni EPIC FAIL. UPOTOSHAJI zaidi ya elimu. nasikia ana story nyingi za hivi. inaonekana hana uelewa na HIV au ni mnyanyapaa tu.

elimu ya hivi labda ingetolewa miaka 20 nyuma. yani ni upotoshaji kama Mtu alikuwa ashaanza kukubali hali yake akamsoma huyu "mtunzi" basi ni anamuharibu tu.

HIV haiambukizwi kwa ngono pekee na si wote walioambukizwa kwa ngono walifanya ngono zembe. tena maambukizi mengi huku Africa yapo kwa wanandoa zaidi. fikiria mama aliyeambukizwa kwa starehe za limume lake.

huyu kaeleza vizuri.
Sasa na nyie si mtunge hadithi nyingine inayopinga unyanyapaa kwa kuwa mna ufahamu mkubwa zaidi? Mwandishi kaamua kuonyesha kasumba iliyopo kwenye jamii pamoja na ufahamu mdogo au potofu kuhusu HIV. Mwandishi anaweza kuwa anajua yote hayo mnayosema hapa ila kwa sababu zake akaamua kuchagua theme moja kwa lengo fulani. Tukiichukulia hii hadithi kama fasihi, tutachambua fasihi (kioo cha jamii) badala ya kumchambua mwandishi. Tuchambue hadithi. Tukumbuke pia anachoandika mwandishi kinakuwa limited na ufahamu wake, uzoefu wake, lengo lake pamoja na contextual variables zingine. Hana udhibiti juu ya mwitikio wa hadhira yake. Kila mtu ataipokea na kuitafsiri kulingana na imani yake, mtazamo wake na uzoefu wake. *Hadhira ni audience.
 
Kama ni hadithi basi sawa ila daah! Wengi tulikosa raha baada ya kusoma,na kama si kweli basi nimekoma kufatilia hadithi za namna hii. Wenye machozi ya karibu tuliyatoa ila anyway yeye ndio mwenye ukweli lakini

Lakini wewe Valentina...ni nini hasa kilichokufanya uamini mazima kuwa kweli jamaa hicho kisa kinamhusu yeye?

Mbona sisi wengine tuliposoma tu tukahisi harufu ya chumvi, paprika, binzari, vitunguu saumu, pilipili, na kila aina ya vikolezo?

Wewe ulishindwa nini?
 
Kama ni hadithi basi sawa ila daah! Wengi tulikosa raha baada ya kusoma,na kama si kweli basi nimekoma kufatilia hadithi za namna hii. Wenye machozi ya karibu tuliyatoa ila anyway yeye ndio mwenye ukweli lakini
Hahahaaa.... hujawahi kuangalia tamthiliya ukalia na kutokea kumchukia muigizaji fulani au kumpenda mwingine? Inatokana na jinsi wanavyogusa hisia zako.
 
Lakini wewe Valentina...ni nini hasa kilichokufanya uamini mazima kuwa kweli jamaa hicho kisa kinamhusu yeye?

Mbona sisi wengine tuliposoma tu tukahisi harufu ya chumvi, paprika, binzari, vitunguu saumu, pilipili, na kila aina ya vikolezo?

Wewe ulishindwa nini?

Hahahaaa.... hujawahi kuangalia tamthiliya ukalia na kutokea kumchukia muigizaji fulani au kumpenda mwingine? Inatokana na jinsi wanavyogusa hisia zako.
 
hahahaaaa........ mtani umenichekesha sana leo. Yaani hii yote ni kwa sababu uliamini, ukahuzunika na kumfariji na sasa unaona umefanywa mjinga. Take it easy.
Mtani mimi sikuamini, nilikuwa mguu nje ndani...teh teh! Wazungu wanasema, be careful what you wish for...'hadisi' zingine sizo bwana.
 
Back
Top Bottom