Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

mtu ambae hawezi kukusaliti kirahisi ni mama yako mzazi au mtoto wako wa kumzaa,ila kwenye mapenzi,mume au mke anaweza kukugeuka saa yoyote coz si ndugu yako wala si damu moja hawezi kukuonea huruma

Ningekupa like bahati mbaya natumia simu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: lin
By nature sisi wanaume ni protector wa familia na provider...ndo maana mwanaume unakuta hataki kukuacha while labda amekuchoka na attention yote ipo kwa mwingine but tunajali image na fear ya kuonekana umeshindwa... tofauti na wanawake......mwanamke akisha fall.....automatically anakuwa ana take order from the new man....so huyo new man kama ni evil enough to kill anaweza kum convince mkeo akuue......but wanaume we don't take orders from nyumba ndogo.....tuna give orders kote kote....

Mmmh The Boss I think hapa kuna a lot of exceptions kwenye hii generalization!
 
Last edited by a moderator:
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.

Mwanamke ni kiumbe dhaifu chenye kubadilika kulingana na mazingira, kisicho na msimamo,
chenye tabia ya ku-reflect tabia iliyo karibu,
Flora yu karibu na Gwajima na Mama yake (Flora)
Roho ya Gwajima ni mbaya, Roho ya mama Frola ni mbaya hasa kwa upande wa mume wa Flora,
Obvious kwa sababu hiyo Frola ana reflect roho mbaya ya Gwajima na mama yakemkumvhukia mumewe huyo.

Mungu si mnafiki,
Mwisho wa ubaya aibu.
 
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.

Trust is earned, my girlfriend earned my trust.
Ya Flora and Mbasha mwachie Gwajima.
 
sio wakuwaamin hata kidogo mkuu na akishakuwa na uhakika kashakulisha limbwata ndio unasahau hadi kwenu kuna mmoja anajuta kukutana na rafiki yangu mmoja alieaga kwao alimfuma live na vimiti shamba kilichotokea mpaka leo yy na nyumbani kwa mke wake akifika kuwaona watoto huwa wanamuachia nyumba faru kafika ;BIBI ALISEMA DAIMA NIWE KICHWA SIO MKIA NDIO SLOGAN YA RAFIKI HUYO ., niwajinga sana hawa viumbe c wakuwapa raha hata punje ni udikteta tu akizingua kipigo tu .
 
Nilishaamua..sitasoma message wala kupokea simu inayopigwa kwa mume wangu.....nilishaamua....sitamuuliza kwa mini kachelewa kurudi..nilishaamua....akienda safari namtakia kila la kheri na wala simsumbui kwa masimu huko aliko...tutasalimiana na kama kawaida.....nilishaamua....yeye na Mimi kupima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu...iwapo mmoja wetu akikataa mapenzi hayatafanyika bila condom......tulishaamua...ya mini kupata pressure za kijinga......?

Kwa hili nakuunga mkono maana hata mimi ninafanya hivyo kuepuka maumivu ya moyo. Hii ni kwasababu nimeshaumizwa sana kufikia kutokufanya kazi vizuri. Ni bora kutokuyajua tu. Imefika hatua mke wangu anakasirika kuona siigusi simu yake. Hii ndio dawa pekee ktk mahusiano ya siku hizi.
 
mbasha.jpg Naona bado wako wote..... lol
 
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.
Wana watoto?
 
Usitafute dirisha la kutokea, tokea mlangoni. Neno mwanamke kama lilivyotumika hapa linamwepusha mama, dada, shangazi na wanawake wengine wa karibu. Lina maanisha wale tunaoweza kufanya nao urafiki. Hao wapo tu bila kuambatana na imani. Mama mzazi hawezi katu akamfunga mwanaye, dada pia sio rahisi kufikiria kumuweka ndani kaka yake. Kwa mktadha huo kuwaunganisha hao na tukio hili ni kujaribu kutokea dirishani. Wake zetu ambao tuko tayari kuachana na ndugu zetu wote kwa ajili yao ndiyo tunaowazungumzia hapa. Tuwapende tu lakini sio watu wema sana kwetu. Wanaweza kufanya jambo lolote tena hawakumbuki fadhira za jana
Acheni mawazo mgando anza kutokumwamini mama yako Dada zako na Ndugu zako wote Wa jinsia ya kike maana msg yako imewaona sibinadamu badala yakuona wanaume nimajanga unawaonea wanawake
 
Usitafute dirisha la kutokea, tokea mlangoni. Neno mwanamke kama lilivyotumika hapa linamwepusha mama, dada, shangazi na wanawake wengine wa karibu. Lina maanisha wale tunaoweza kufanya nao urafiki. Hao wapo tu bila kuambatana na imani. Mama mzazi hawezi katu akamfunga mwanaye, dada pia sio rahisi kufikiria kumuweka ndani kaka yake. Kwa mktadha huo kuwaunganisha hao na tukio hili ni kujaribu kutokea dirishani. Wake zetu ambao tuko tayari kuachana na ndugu zetu wote kwa ajili yao ndiyo tunaowazungumzia hapa. Tuwapende tu lakini sio watu wema sana kwetu. Wanaweza kufanya jambo lolote tena hawakumbuki fadhira za jana

Naomba nipingane na wewe mama anaweza kumfunga mwanae hata kuwa shahidi ili afungwe inategemea na Dada vivyo hi yo nimekaa mahakamani ushahidi huo ninao
Unaposema mwanamke huwezi kuwatoa hawa
 
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.

nafikiri baba yako alisahau kukwambia kuwa mkeo si ndugu yako, na mtume paulo alituambia tuishi na wake zetu KWA AKILI. mama yako mzazi ndio unaweza kumuamini.
 
Wake ze2 ndo mama watoto wetu, dada wa wanaume pia. Hata mama zetu wana tabia hizihizi walizo nazo wake ze2 kwa ba zetu
 
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.
Subir,
Subiri, siku mkeo akiliwa na houseboy na binamu yako, utakavyojipeleka mwenyewe jela. Mapenzi ni kichaa. Wale walikuwa kwenye mapenzi ya kitoto, wana miaka 32/31 ndoa miaka 12. maswali ni mengi kuliko majibu?
 
nafikiri baba yako alisahau kukwambia kuwa mkeo si ndugu yako, na mtume paulo alituambia tuishi na wake zetu KWA AKILI. mama yako mzazi ndio unaweza kumuamini.
Unamwamini mke wa baba yako! Dunia mviringo, na yai na kuku haijulikani kilianza kipi? Khah!
 
Maumivu mnayowapa wake zenu pindi mchepukapo unafikiri yanajenga nini katika moyo wa mwanamke?

Hawajui na huwa wanajidanganya na kuamini mwanamke atavumilia utamdanganyadanganya yataisha!
Upole wetu unawapumbaza kudhani ni wajinga wala hatuna mioyo!
Matokeo yake ndo mazao ya kupewa sumu! Kulea watoto wasio wako, kuibiwa na mke kuhamisha hisia kabisa kwa mwanaume mwingine anayejali hisia zake!
 
Mwanamke yuko hivi....oooh mwanaume yuko vile...Lakini mwisho wa siku hakuna anayeweza kuishi bila mwenzake!!
 
Back
Top Bottom