Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

Ukweli ni kwamba wanawake wote wanaroho mbaya..ila wengine hawajapata pahala pakuonyeshea roho mbaya zao..

ukitaka kujua jinsi walivyo na roho mbaya.. angalia wanavyo watesa watoto wa mke mwingine..(mathalan mtoto wa box)
juzi niliona kwenye tv mwanamke kampiga,kamng,ata na kumchoma na pasi mwili mzima house girl wake..
ukweli ndio huo wanawake wote wanafanana katka hili sema wengine hawajapata nafasi ya kuonyesha tabia hiyo..
ukitaka jaribu leo,mletee mkeo mtoto mwambie ulimzaa njee.. hakika wiki haipiti mtoto atapata majelaa ya kuchubuliwa ngozi na kuchomwa au kung'atwa..

Ila wewe ndiyo mwenye roho nzuri sana kwa kumletea mkeo mtoto wa nje? Think Big!
Na mkeo akazaa mchina na wewe ni mbantu waza reaction yake!
 
Mwanamke unaanzaje kumuamini, sio watu hawa......muamini mama yako mzazi tu coz ndio anauchungu na wewe lakini cjui mke, demu, mchumba 😡 bora husiishi tu
 
Kwahiyo kwasababu hakusema mara ya kwanza it gives him the right to continue abusing her!?...

We don't know the validity of the story/Theory. Mahakama itaamua hilo. I am just pointing out faults in the story.
But the point is there is blood in the husband wife bond, being 'one body' is not that simple especially if you're used to boyfriend/girlfriend bonds.
 
mwanamke ana moyo, mwanaume pia! mwanamke ana akili, mwanaume pia! cha msingi tuendelee kuvumiliana ili maisha yasonge mbele!
 
by nature sisi wanaume ni protector wa familia na provider...ndo maana mwanaume unakuta hataki kukuacha while labda amekuchoka na attention yote ipo kwa mwingine but tunajali image na fear ya kuonekana umeshindwa... Tofauti na wanawake......mwanamke akisha fall.....automatically anakuwa ana take order from the new man....so huyo new man kama ni evil enough to kill anaweza kum convince mkeo akuue......but wanaume we don't take orders from nyumba ndogo.....tuna give orders kote kote....

mhh tunatishana jmn kama... Bt its kinda true...
 
Nafikiri hajapata matatizo huyu mwanamke kwani hata kama kakosea ila sio afanye kitendo kama hichi hata siku moja ila labda kapanda hasira na waswahili wanasema hasira hasara gebu tucheki siku za mbele
 
Back
Top Bottom