Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

Wewe unajuwa unachokisema au. Yaani ni mara 1000 uoe demu wa kibongo tena hata wa bongo muvi (mafuska) kuliko Mnigeria. Mademu wa kinegeria ni kama wachagga hapa kwetu kwani hawana mapenzi ya kiukweli na tena kama si Mnigeria mwenzake anaweza kukuua arithi mali zako. Don't wish mkuu!
Hizi ndo sense ambazo unadai unaongea wewe unayejiita intellectual? Kazi ku discuss tu ishu zisizo na maana
 
wanawake huvumilia sana
huweka mengi mioyoni mwao

ila siku mwanamke akichoka na kuamua lolote liwe,'hakuna rangi mtaacha ona'
 
Na huyo bint aliyebakwa mmemfikiria?
Au mkishawakwa na tamaa basi kilicho mbele halali yako na Dunia ikuelewe tu?

Hivi alibakwa au alikipeleka mwenyewe hivi kweli binti umbake siku ya kwanza na siku nyingine akusogelee.
 
Kwa hiyo Hata kama kabaka angemtetea tu sababu mume wake? Kama yeye mzee mbasha ana ubinadam kwanini afanye kitendo cha kinyama hvyo...acheni kulaumu vitu msivyovijua aliyebakwa angekua ndugu yako ungefurahia?

Yeye ana uhakika gani kwamba jamaa kabaka wakati hakuwepo mpaka amhukumu Mbasha.
 
Wachache wapo lakini wengi wapo kimasilahi zaidi
 
Dunia inapitia wakati mgumu sana,cha msingi watu wa ndoa tuombee sana ndoa zetu ili mungu atuimalishe ktk maisha yetu
 
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.

Mtume Paulo ktk moja ya Nyaraka zake alisema WANAWAKE NI VIUMBE DHAIFU TUISHI NAO KWA AKILI SANA.
 
Chezea simba weye kakumbuka pori lake halafu we unamzuia atakuchanachana vipande
 
Ikumbukwe aibu ya mume ni aibu ya mke pia hawatasema fulani kabaka watasema mume wa fulani kabaka vilevile cdhani kama m2 unaweza bakwa mara mbili kwa cku tofauti tofauti basi alickia utamu ndo maana hakuxema hata hvyo naona hawajajua maana ya kubakwa wakijua ni jambo la kufikiria kwa mara mbilimbili yahitaji akili kujitoa kwenye mtego wa panya
 
ni ngumu kumjua alie mwema haijalishi mwanamke or mume hasa akikasirishwa
 
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.

Mura mwanamke sio ndugu yako, na ndivyo nilivyoamini na nnavyoendelea kuamini, hilo la mbasha dogo, wapo wanaowaua wanaume zao kwa makusudi ili waamishe mali/utajiri kwenda kwao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom