Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,040
- 1,273
Siku zote mwanamke hajui kupenda,ila anajua kutii,take it from me........!
Kama case ya flora mbasha na imma mbashasi wanawake tu hata wanaume! watu hawaangalii mbali wala hawana hofu ya Mungu!
Wanawake wa tanzania wa sasa hivi..wana matatizo makubwa sana ambayo sijui watatasolve vipi..kwanza ule uwezo wao wa kupokeachallange na kuzifanyia kazi umepungua sana..kama ukiangalia haya matukio ya vick kamata na flora mbasha..yanakupa maswali mengi sana kuliko majibu..i don't know men..hapa miaka ya 90 mpaka 2000..kuna kitu kimenyonya uwezo wa wanawake wa kitanzania ..sijui ni yale mambo ya kukulia mahistel ndo yamewaaribu...na kuna hili wimbi limekuja la wanawake hasa wa bongo kujipa thamani ndogo sana..
Na ukiwa na mwanaume ambaye yuko in love with another woman,hapo inakuwaje?
Don' t be like that..!!!jitambue na ujiheshimu sana mkuu..na mungu atakubariki
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.
Watu wapo tofauti mkuu.Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.
Mhh kwani jamaa si kamkaba housegal au mi ndo sijui stori ipoje....
Btw wanaume na nyie mnaaminika kwani??...
Mi nachoona sikuhizi waliokuwa wanayafanya wanaume tu leo hii hata wanawake wanafanya,and men just cant take it..ngoma droo kwenye society ina changamoto zake
ni kweli, bora wanawake wa naijeria.
By nature sisi wanaume ni protector wa familia na provider...ndo maana mwanaume unakuta hataki kukuacha while labda amekuchoka na attention yote ipo kwa mwingine but tunajali image na fear ya kuonekana umeshindwa... tofauti na wanawake......mwanamke akisha fall.....automatically anakuwa ana take order from the new man....so huyo new man kama ni evil enough to kill anaweza kum convince mkeo akuue......but wanaume we don't take orders from nyumba ndogo.....tuna give orders kote kote....
Flora bring back our Man
Sio ngoma droo...ww kama mama watoto wangu hata unifanye nn siwezi kukuacha uoze gerezani...