Sitaandamana D9. Wewe je?

Sitaandamana D9. Wewe je?

Media za Tanzania hawakutimiza wajibu wao kuripoti matukio yasiyohusiana na uchaguzi na Vurugu zacha

  • Uzalendo

    Votes: 2 14.3%
  • Kukosa uadilifu

    Votes: 7 50.0%
  • Walipewa rushwa

    Votes: 10 71.4%

  • Total voters
    14
Siwezi kuandamana nikatolewe utumbo kwa risasi kisha picha zirushwe CNN.
 
Ni bora nife nikipambania uhuru wangu na vizazi vyangu vya baadae kuliko kuendelea kuishi nikiwa mtumwa kwenye Nchi yangu.

December 9 bora nife on battlefield kuliko kujifungia ndani kama mlemavu.
 
Kuna uwezekano mkubwa asilimia kubwa ya jeshi hawakuwa na uhakika wa kilichotokea. Ila kwakua amekiri hadharani, mchezo umebadirika maradufu. Na ndiyo maana wengi wameona akitetea askari.

Kama kweli jeshi bado lipo hai. D9 akipigwa mtu risasi basi ni lazima jeshini kuchafuke. Kuna watakaokubali kuua raia na watakaokataa, hapo tutegemee matokeo ya Sudan japo ni kitu chenye asilimia ndogo sana ya kutokea.

Option ya pili, ambayo ni high likely kutokea ni jeshi na wananchi wasiotishika kumuondoa mtu madarakani.

In any miraculously way hayo yote hayatotokea. Basi ni kabla au baada ya D9, mapapa yatamgeuza papa jike kitoeo sababu hawatokubali kuona siri zao zikimwagwa hadharani utafikiri taifa ni kibalaza cha umbea.

Either way, lazima aondoke. Kumwaga damu ni kitu kizito na kukiri kufanya hivyo ni sawasawa na kumcheka malaika mtoa roho na atakuondoa kwa hasira.
 
Unegjua hizo hasira huku kitaa usingeongea kishogashoga
Binafsi naona kuandamana bila kuwa na mikakati maalum ni ujinga maana mtu unaenda risk maisha kizembe kwasababu zifuatazo:

1) Mtu ana risasi wewe una mikono mitupu, au umebeba jiwe, utategemea ushinde kweli? Ukizingatia huna nguvu unayoitegemea ili kumtoa kiongozi mbaya madarakani, mfano Musa alimshinda farao, sababu alikua na backup ya Mungu, sasa kwenda kizembe bila backup ni kujitaftia shida

2) Kuwa na strength in numbers kwenye maandamano, hio ni changamoto kwa hapa Tz, watu wengi hawapo tayari kuandamana sababu hawajafikwa puani, unajikuta mnaandamana mpo 50 au 100 na hamna silaha, mwishowe mnauliwa kama kuku, maandamano yangekuwa na watu at least kama 500,000 kwa dar tu wanaoelekea ikulu na 500,000 kwa Dodoma wanaoelekea ikulu, hapo maandamano yangekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa

3) Hiyo tarehe 9 Dec mfano watu wakiandamana tena, kama walivofanya oct 29 huenda wakafa wengi zaidi, hivi vitu tusifanye kwa mihemko, tutumie akili na kuangalia uhalisia badala ya kutumia tu hisia

Lisa Rina gallow bird secretarybird Mjusi Sharobalo DUBULIHASA
 
Binafsi naona kuandamana bila kuwa na mikakati maalum ni ujinga maana mtu unaenda risk maisha kizembe kwasababu zifuatazo:

1) Mtu ana risasi wewe una mikono mitupu, au umebeba jiwe, utategemea ushinde kweli? Ukizingatia huna nguvu unayoitegemea ili kumtoa kiongozi mbaya madarakani, mfano Musa alimshinda farao, sababu alikua na backup ya Mungu, sasa kwenda kizembe bila backup ni kujitaftia shida

2) Kuwa na strength in numbers kwenye maandamano, hio ni changamoto kwa hapa Tz, watu wengi hawapo tayari kuandamana sababu hawajafikwa puani, unajikuta mnaandamana mpo 50 au 100 na hamna silaha, mwishowe mnauliwa kama kuku, maandamano yangekuwa na watu at least kama 500,000 kwa dar tu wanaoelekea ikulu na 500,000 kwa Dodoma wanaoelekea ikulu, hapo maandamano yangekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa

3) Hiyo tarehe 9 Dec mfano watu wakiandamana tena, kama walivofanya oct 29 huenda wakafa wengi zaidi, hivi vitu tusifanye kwa mihemko, tutumie akili na kuangalia uhalisia badala ya kutumia tu hisia

Lisa Rina gallow bird secretarybird Mjusi Sharobalo DUBULIHASA
Noma kweli yaani 😀.
 
Kama hutaandamana huna haya ya kutangaza tuachie sisi waTanganyika tufie nchi yetu maadam huyu mzenj ameamua kuja kutuua kama NYUMBU!!
Kweli kaka salute
Noma kweli yaani 😀.
Shida ni moja wanaoratibu maandamano wengi ni wanawake wao wanaenda kwa hisia bila logic

Nb: sipingi maandamano but it's danger
 
Mkuu wewe ushakua babu tuliza pu..mbu acha wenge.... kuna uzi mmoja unahusu chuo chetu pendwa Udsm, kwenye ule uzi unasimulia kwamba late 90s au early 2000's wakati unasoma Udsm ulikua unat..omba sana wadada.. Kwenye ule uzi umejielezea mikasa yako mingi ya ulaji wa mbususu.

Sasa kama wewe unahusudu skirt kiasi hicho usipoandamana hatuwezi kushangaa coz ni obvious wewe ni mtu mwenye mchango mdogo sana kwenye jamii..

Kama mimi nimemaliza Udsm 2012 ninajiona nimezeeka but nitaandamana hivyo hivyo, vipi kuhusu wewe ulikua pale campus miaka hiyo si ndio unatakiwa utulize pum..bu watu wakupambanie....

Umenikera sana bro coz ni mara kadhaa unaletaga story za kimaandazi ilihali watu wanapambania nchi... Kwa mtu aliyesoma udsm by that time inatakiwa awe matured kuliko Watanzania wengi. I'm sorry broh kama nimekuuzi utajua mwenyewe.
 
Back
Top Bottom