Sitaandamana D9. Wewe je?

Sitaandamana D9. Wewe je?

Media za Tanzania hawakutimiza wajibu wao kuripoti matukio yasiyohusiana na uchaguzi na Vurugu zacha

  • Uzalendo

    Votes: 2 14.3%
  • Kukosa uadilifu

    Votes: 7 50.0%
  • Walipewa rushwa

    Votes: 10 71.4%

  • Total voters
    14
Akili kumkichwa, sikio la kufa..........🙌
Screenshot_20251202-220500.png
 
Nishatayarisha mabango ya D9, naandamana SI kwa ajili yangu balu. Kwa vizazi vinavyokuja
 
Nimeludia kuangalia picha za vijana wangu , mala mbili, 9d siwezi kubaki ndani, acha tuviziane huko huko ,atakae muwahi mwenzake sawa, maana naona vita imetangazwa rasmi kwamba wanatusubili sasa pia tunawasubili tunakuja
Woyooo woyooo mgegeja za kichwa tu saahv si umeona chopa
 
Mkuu wewe ushakua babu tuliza pu..mbu acha wenge.... kuna uzi mmoja unahusu chuo chetu pendwa Udsm, kwenye ule uzi unasimulia kwamba late 90s au early 2000's wakati unasoma Udsm ulikua unat..omba sana wadada.. Kwenye ule uzi umejielezea mikasa yako mingi ya ulaji wa mbususu.

Sasa kama wewe unahusudu skirt kiasi hicho usipoandamana hatuwezi kushangaa coz ni obvious wewe ni mtu mwenye mchango mdogo sana kwenye jamii..

Kama mimi nimemaliza Udsm 2012 ninajiona nimezeeka but nitaandamana hivyo hivyo, vipi kuhusu wewe ulikua pale campus miaka hiyo si ndio unatakiwa utulize pum..bu watu wakupambanie....

Umenikera sana bro coz ni mara kadhaa unaletaga story za kimaandazi ilihali watu wanapambania nchi... Kwa mtu aliyesoma udsm by that time inatakiwa awe matured kuliko Watanzania wengi. I'm sorry broh kama nimekuuzi utajua mwenyewe.
Nimetumia haki yangu kikatiba kusema sitaandamana. Iweje unamiwaza na digrii yangu ya mchongo GPA 1.8 toka jalalani?
 
Msiandamane maana kiukweli kabisa hii nchi hamuwezi ichukua .Subirieni 2030.
Umeshawahi kuzuia mavi yakiwa yamekubana nusu kujinyea? Au umewahi kuizuia mvua ambayo imeamua kunyesha umewahi kuizuia isinyeshe? Umewahi kuzuia ushuzi uliokubana sana unauzuia ushuzi usikutoke unapata faida gani na ushuzi?
 
Nimeludia kuangalia picha za vijana wangu , mala mbili, 9d siwezi kubaki ndani, acha tuviziane huko huko ,atakae muwahi mwenzake sawa, maana naona vita imetangazwa rasmi kwamba wanatusubili sasa pia tunawasubili tunakuja
Sahihi kabisa
Ni mwendo wa katoliki vs muslim tembeza panga tu
 
Back
Top Bottom