Janvansina
Member
- Nov 5, 2025
- 50
- 60
Mkuu wewe ushakua babu tuliza pu..mbu acha wenge.... kuna uzi mmoja unahusu chuo chetu pendwa Udsm, kwenye ule uzi unasimulia kwamba late 90s au early 2000's wakati unasoma Udsm ulikua unat..omba sana wadada.. Kwenye ule uzi umejielezea mikasa yako mingi ya ulaji wa mbususu.
Sasa kama wewe unahusudu skirt kiasi hicho usipoandamana hatuwezi kushangaa coz ni obvious wewe ni mtu mwenye mchango mdogo sana kwenye jamii..
Kama mimi nimemaliza Udsm 2012 ninajiona nimezeeka but nitaandamana hivyo hivyo, vipi kuhusu wewe ulikua pale campus miaka hiyo si ndio unatakiwa utulize pum..bu watu wakupambanie....
Umenikera sana bro coz ni mara kadhaa unaletaga story za kimaandazi ilihali watu wanapambania nchi... Kwa mtu aliyesoma udsm by that time inatakiwa awe matured kuliko Watanzania wengi. I'm sorry broh kama nimekuuzi utajua mwenyewe
Mkuu sio kwa ubaya hata kama umesom na upo upande sahihi wa kudai haki. Lakni Ww unaweza ukawa unaongozwa kwa misisimko Zaid ya huyo japo nae anaweza akawa hajui pia anachokisema. Kama watu waliandamana je Kuna matokeo chanya tulioyaona. Kama sivyo ni heri itumike njia bora zaidi kuliko hii inayoweza kupoteza maelfu ya ndugu zetu barabarani. Kabla ya kufanya jambo lazima upime matokeo kwanza ya kile unachokipambania. Na Kuna namna nyingi ya kudai haki hata hapa kupitia media wanaona kile tunachokitaka vilivyo. Mim sikupingi mtazamo wako Ila hiyo njia hakika yake itaendelea kupoteza wale tunaowapenda. Je tunapaswa tulipe gharama kubwa namna hii? Wewe ni msomi kaka sikupingi na sikudharau lakini busara inaweza ikawa chaguo letu Bora zaidi kwa sasa.