Sitaandamana D9. Wewe je?

Sitaandamana D9. Wewe je?

Media za Tanzania hawakutimiza wajibu wao kuripoti matukio yasiyohusiana na uchaguzi na Vurugu zacha

  • Uzalendo

    Votes: 2 14.3%
  • Kukosa uadilifu

    Votes: 7 50.0%
  • Walipewa rushwa

    Votes: 10 71.4%

  • Total voters
    14
Nimeludia kuangalia picha za vijana wangu , mala mbili, 9d siwezi kubaki ndani, acha tuviziane huko huko ,atakae muwahi mwenzake sawa, maana naona vita imetangazwa rasmi kwamba wanatusubili sasa pia tunawasubili tunakuja
 
Mange kimambi asitufanye wajinga, ingekua tundu lissu sw, lakini Malaya Mange juzi tu alikua anauza udaku na picha za uchi
Huyo ndio amebeba akili za manyumbu wengi.Akiwaamuru vinatoka kama kumbikumbi.Tarehe 29 October kulikuwa na Uchaguzi hivyo ilifanyika staha.Watoke tarehe 9 Dec ndio watajua hawajui.
 
Sasa unamlilia nani we qumer! ukiwa shoga subiri wanaume tukuletee uhuru
 
Samia kasema kwa nyumbu anaetaka kuleta vurugu uwanja uko wazi wanakaribishwa muda wowote siyo tarehe 9 tu wakati wowote mnakaribishwa

Sahivi hamkatazwi tena watu hawaongei sana, sahivi ni vitendo tu .
 
Back
Top Bottom