Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Dah...na hao waliobaki ...aidha hawana afya njema..au uchumi umebana..au bado hawajakamatwa...hiyo ndiyo asili ya mwanaume... ukweli mchungu

Sent using Beretta ARX 160
Dah...na hao waliobaki ...aidha hawana afya njema..au uchumi umebana..au bado hawajakamatwa...hiyo ndiyo asili ya mwanaume... ukweli mchungu

Kama ni mchumba hakuna shida,atakuwa bado anafanya uchaguzi wa nani anafaa kuwa mkeMchumba bestie...yaani
Dah..kwa ushauri huu...labda ningeongezea...kila anapoenda..asifungue mabegi yako...safari zitakuwa hazijaishaaNgoja nikupe Darasa huru wewe na wengine wote mnaopitia kwenye hali hii feysher : Kwanza kabisa sio kila mwanaume Dunia hii anacheat kama mnavyoaminishwa na waliochitiwa wenzenu! Wanaume wasiocheat bado wapo tena hata Tanzania hii ya Magufuli pia tupo ( nieleweke tu sitengenezi mazingira ya kukutongoza) Kwa hyo kama umethibitisha mtu anakucheat Sepaa haraka hakufai huyo haina haja ya kulialia hovyo sijui kuvumiliana Mvumilie mwanaume labda hana hela, Hajasoma, Mfupi, anaongea sana, Ana kitambi
, Hana kazi maalumu ya kufanya, hvyo vitu vinawezekana kabisa kuliko akina sisi tunaocheat sisi Usituvumilie kabiisa ukipata nafasi ya kugundua we kimbia shukuru Mungu maana huwa hatubadiliki hata siku 1 ukisema uvumilie utavumilia mpaka unakufa utabaki tu kuona wenzio instagram wanafurahia maisha ya ndoa zao,! Wewe hata kama ukiachika mara 100 kama Una jua nini unahitaji hakuna atakayekutaaa, kama unajitambua nini unataka hakuna atakayekubabaisha, Omba Mungu upate mume Bora! Mungu sio mchoyo, sio kipofu wala si kiziwi hakika maombi yako yatajibiwa tu! Siku nyingine ukiona tu Mwanaume anakuwa mgumu kukupa simu yake haina hata haja ya kumvizia anakunya ndo ukague simu yake, kote huko usifike wewe jiongeze tu hakuna kitu hapo jiachie mapema! Sepaa nenda kwingine mpaka upate aliye sahihi!
Sent from my iPhone using JamiiForums





Ukiona hvyo wewe sio mwaminifu! Kama unajiamini Unampa tu kwani kuna shida gani? Na siku zote mapenzi ni mawasiliano na mawasiliano ni simu! Simu ndo kila kitu ukifanikiwa tu kuicontrol simu ya mpenzi wako basi umemaliza kila kitu! Usaliti unaanzia kwenye simu! Kama unataka kupima uaminifu wa mpenzi wako anza na simu, Mawasiliano ndio kila kitu kama mnaaminiana wewe na mpenzi wako hakuna sababu ya kuogopa kumpa simu yako ashike, kama mmoja wenu anaogopa simu yake kushikwa basi hakuna uaminifu hapo Mnapoteza time yenuNa ndio 80% ya mahusiano ya kibongo yalivyo ndio maana Ndoa hazidumu siku hizi! Enzi za wazee wetu hakukuwa na Simu ilikuwa ni mwendo wa barua tu sasa mpaka utume barua imfikie mke wa mtu , dili lishabumburuka ila sasa hv simu imerahisisha usaliti ni simple tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Dah.. asikudanganye mtu...hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja...hii ndiyo asili yao...Wanaonekana waaminifu ni wale wenye afya dhaifu...wenye uchumi mbovu...au wako smart kwenye mambo yao (hawajakamatwa)....Asante nimepazingatia

Ukiona hvyo wewe sio mwaminifu! Kama unajiamini Unampa tu kwani kuna shida gani? Na siku zote mapenzi ni mawasiliano na mawasiliano ni simu! Simu ndo kila kitu ukifanikiwa tu kuicontrol simu ya mpenzi wako basi umemaliza kila kitu! Usaliti unaanzia kwenye simu! Kama unataka kupima uaminifu wa mpenzi wako anza na simu, Mawasiliano ndio kila kitu kama mnaaminiana wewe na mpenzi wako hakuna sababu ya kuogopa kumpa simu yako ashike, kama mmoja wenu anaogopa simu yake kushikwa basi hakuna uaminifu hapo Mnapoteza time yenuNa ndio 80% ya mahusiano ya kibongo yalivyo ndio maana Ndoa hazidumu siku hizi! Enzi za wazee wetu hakukuwa na Simu ilikuwa ni mwendo wa barua tu sasa mpaka utume barua imfikie mke wa mtu , dili lishabumburuka ila sasa hv simu imerahisisha usaliti ni simple tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna upotoshaji hapo.....jamaa yupo sahihi kabisa. Mapenzi hayana privacy...
Note:
Usichanganye contents za MAHUSIANO YA KIMAPENZI na MAHUSIANO YA KINDUGU/MARAFIKI. Kuna utofauti mkubwa sana....
Sent using Jamii Forums mobile app
UMEFANYA SAHIHIChapa ilale hamna changu hapa
utasahau weweee!Asante ila kusahau itakua ngumu dah
UMEFANYA SAHIHI
MI NIKISHAACHA KUSHIKA SIMU YAKO, NA NIKAKUZUIA KUSHIKA YANGU!
kimsingi nimeshakuacha na we mwenyewe!
utasahau weweee!
umepita hapo ili kujifunza SIO LAZIMA KILA MAHUSIANO YAISHIE NA NDOA!
MENGINE YANAKUJA ILI KUJIFUNZIA STYLE TU!
msiwe mnacomplicate sana maisha!
AMEKUJA ULIMPENDA YO HAD FUN YAMEISHA SONGA MBELE!
kukaaa kutosahau mapenzi yalokuumiza ni kukubali kuumia in the past and in the future!
UNALIA KIDOGO UNAKUBALI MATOKEO!ENDELEA KUISHI!
Nilikua nabisha lakini kwa niliyoyaona kwenye simu ya mwenza wangu moyo umekufa ganzi.....sirudii tena
Bora kama umeamua hivyoJeuri huyu hawezi omba msamaha alafu alinichukulia boya kuwa ntasamehe tu ila siti naachia
Naunga mkono hoja....@feysher rudia kusoma hapa, hakika patakusaidia.
Maisha ni kuchagua.....kazi kwako bibie.
Sent using Jamii Forums mobile app


🤝🤝🤝🤝Naona una principle za kuanzisha vita ya tatu ya dunia wewe. Nina uhakika kila mtu akipewa acess ya simu ya mwenza wake kuanzia sasa hivi,ikifika jioni ndoa zote na mahusiano yatakuwa yamevunjika 75%.
Haha mi nimesoma hapo kwenye style tuutasahau weweee!
umepita hapo ili kujifunza SIO LAZIMA KILA MAHUSIANO YAISHIE NA NDOA!
MENGINE YANAKUJA ILI KUJIFUNZIA STYLE TU!
msiwe mnacomplicate sana maisha!
AMEKUJA ULIMPENDA YO HAD FUN YAMEISHA SONGA MBELE!
kukaaa kutosahau mapenzi yalokuumiza ni kukubali kuumia in the past and in the future!
UNALIA KIDOGO UNAKUBALI MATOKEO!ENDELEA KUISHI!
Prisoner of hope kila binadamu anayo level of privacy ambayo hataki ifikiwe na mtu yeyote yule hata mama yake mzazi, you guys gat to learn something...no matter how deep we are there some stufs siwez kukwambia PERIOD....Ukimwambia mwanamke kila kitu, Eventually you become the victim....Nyie endeleen kuachiana simu alafu siku mtaleta mrejesho...
Sent from my iPhone using JamiiForums


ambayo inahitaji privacy ya level unayoizungumziaKwahyo wewe siri zako zoote umeweka kwenye simu? Yaani kila kitu chako kipo kwenye simu? Maisha yako yote umeyahifadhi kwenye simu kiasi kwamba inahitaji privacy ya level unayoisemea? Kama siri ambazo sitaki kumwambia nahifadhi kwingine! Simu ni , ndio chanzo cha mahusiano na Privacy unayoificha wewe kwenye simu ni Mahusiano tofauti na uliyo nayo hakuna nyingine! Nipe mfano wa siri moja tu tofauti na mahusiano ambayo ni lazima ifichwe kwenye simu???ambayo inahitaji privacy ya level unayoizungumzia
Sent from my iPhone using JamiiForums
bwana bwana kuna mambo mengine wanaume hatuwaambiag wanawake na the more anakaa na simu yako the more anakaribia kujua wewe kama hutaki basi ila me simu yangu inafingerprint kabisa sitak utan nampenda mwanamke wangu sitaki tugombane sababu eti iwe simu, thats not possible
Sent from my iPhone using JamiiForums