Mapenzi ni zaidi ya papuchi na acha kuhalarisha ushetani


) Kwa hyo kama umethibitisha mtu anakucheat Sepaa haraka hakufai huyo haina haja ya kulialia hovyo sijui kuvumiliana Mvumilie mwanaume labda hana hela, Hajasoma, Mfupi, anaongea sana, Ana kitambi 🤣🤣, Hana kazi maalumu ya kufanya, hvyo vitu vinawezekana kabisa kuliko akina sisi tunaocheat sisi Usituvumilie kabiisa ukipata nafasi ya kugundua we kimbia shukuru Mungu maana huwa hatubadiliki hata siku 1 ukisema uvumilie utavumilia mpaka unakufa utabaki tu kuona wenzio instagram wanafurahia maisha ya ndoa zao,! Wewe hata kama ukiachika mara 100 kama Una jua nini unahitaji hakuna atakayekutaaa, kama unajitambua nini unataka hakuna atakayekubabaisha, Omba Mungu upate mume Bora! Mungu sio mchoyo, sio kipofu wala si kiziwi hakika maombi yako yatajibiwa tu! Siku nyingine ukiona tu Mwanaume anakuwa mgumu kukupa simu yake haina hata haja ya kumvizia anakunya ndo ukague simu yake, kote huko usifike wewe jiongeze tu hakuna kitu hapo jiachie mapema! Sepaa nenda kwingine mpaka upate aliye sahihi!
Ngoja nikupe Darasa huru wewe na wengine wote mnaopitia kwenye hali hii feysher : Kwanza kabisa sio kila mwanaume Dunia hii anacheat kama mnavyoaminishwa na waliochitiwa wenzenu! Wanaume wasiocheat bado wapo tena hata Tanzania hii ya Magufuli pia tupo ( nieleweke tu sitengenezi mazingira ya kukutongoza) Kwa hyo kama umethibitisha mtu anakucheat Sepaa haraka hakufai huyo haina haja ya kulialia hovyo sijui kuvumiliana Mvumilie mwanaume labda hana hela, Hajasoma, Mfupi, anaongea sana, Ana kitambi 🤣🤣, Hana kazi maalumu ya kufanya, hvyo vitu vinawezekana kabisa kuliko akina sisi tunaocheat sisi Usituvumilie kabiisa ukipata nafasi ya kugundua we kimbia shukuru Mungu maana huwa hatubadiliki hata siku 1 ukisema uvumilie utavumilia mpaka unakufa utabaki tu kuona wenzio instagram wanafurahia maisha ya ndoa zao,! Wewe hata kama ukiachika mara 100 kama Una jua nini unahitaji hakuna atakayekutaaa, kama unajitambua nini unataka hakuna atakayekubabaisha, Omba Mungu upate mume Bora! Mungu sio mchoyo, sio kipofu wala si kiziwi hakika maombi yako yatajibiwa tu! Siku nyingine ukiona tu Mwanaume anakuwa mgumu kukupa simu yake haina hata haja ya kumvizia anakunya ndo ukague simu yake, kote huko usifike wewe jiongeze tu hakuna kitu hapo jiachie mapema! Sepaa nenda kwingine mpaka upate aliye sahihi!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umejibu kwa huruma sana!Sawa bhana
Jamani mbona hivyo tenaHa ha ha staki
Lazima abembeleze sana na zawadi kemkem na toba juu ila kama ni dhambi kubwa sana hapo kimbiaNi ngumu kumsamehe kirahisi hivyo
hii inaonyesha ni kwajinsi gani ulivyo pagawa yani hadi kuandika imekuwa shida.Dah maneno ni mazito siwezi hata yarufia kuyaandika hapa nimebaki nabimbuwazi tu.......nyie wanaume nyie
Anza kwanza kutubu kuna mtu ulimtendea mabaya wewe karma is a bitchNilikua nabisha lakini kwa niliyoyaona kwenye simu ya mwenza wangu moyo umekufa ganzi.....sirudii tena
Anza kwanza kutubu kuna mtu ulimtendea mabaya wewe karma is a bitch
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ila ndiyo yalivyo nahisi maumivu yako ila ndiyo hakuna namna Piga moyo konde yanamwishoJeuri huyu hawezi omba msamaha alafu alinichukulia boya kuwa ntasamehe tu ila siti naachia