Sirudii kushika simu ya mwanaume

Sirudii kushika simu ya mwanaume

But still haijustify wewe kucheat maybe its true nimeingilia privacy yake lkn he wasnt honest

I know its true he wasnt honest because you have arleady seen everything on his phone, and the good thing here is u knew it just before it was too late...One thing I will tel you ni kwamba honest na loyal guys wapo wengi ila unfortunately kwa wanaume honest na loyalt doesnt go all the way, they tend to slipup somewhere in between...I am a guy a very experienced one, the way we perceive love is very different from the way you people perceive it....Najua watu wengine watapinga na ni kwasababu alot of guys live in denial na wanaish fake life, ila trust me huo ndio ukweli japokuwa ni mchungu...Tuendelee kumwomba Mungu ili tuwe na hofu ya mungu ili tusifanye mambo ya kuwaumiza wengine....PEACE....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
I know its true he wasnt honest because you have arleady seen everything on his phone, and the good thing here is u knew it just before it was too late...One thing I will tel you ni kwamba honest na loyal guys wapo wengi ila unfortunately kwa wanaume honest na loyalt doesnt go all the way, they tend to slipup somewhere in between...I am a guy a very experienced one, the way we perceive love is very different from the way you people perceive it....Najua watu wengine watapinga na ni kwasababu alot of guys live in denial na wanaish fake life, ila trust me huo ndio ukweli japokuwa ni mchungu...Tuendelee kumwomba Mungu ili tuwe na hofu ya mungu ili tusifanye mambo ya kuwaumiza wengine....PEACE....


Sent from my iPhone using JamiiForums

Well said
 
We acha tu ukitaka kushika simu ya mumeo au mchumba wako uwe na kifua cha kutosha.mi kuna siku niliazima simu ya hubby nimpigie mtu nimemaliza kupiga huyo mtu akawa kanitext kupitia simu ya mr nikaingia kwenye sehem ya ujumbe kwa ajili ya kujibu nikakuta mume wangu alikuwa ana chat na binti flani hivi meseji zimejaa kama zote kwa kuwa alikuwa ana haraka sikutaka kuzifungua kujua alikuwa ana chat nin mda wote huo karudi jioni nashika simu yake sikukuta meseji yoyote si iliyoingia wala iliyotoka nikabaki nacheka.sasa siku ingine nikaishika simu yake nikakuta meseji za yule yule binti ila sasa ziko vipandevipande alizotuma huyo binti haziko kwemye mpangilio maalum na alizojibu mume wangu yaan ni kitu ambacho hakieleweki maana zimebakizwa sms zinazosema amen tu zingine anajua mwenyewe alikozipeleka yaan niliishia kucheka tu nikasema kushika simu yake kuichek nimekoma maana mhhhhhh sio kwa mkanganyiko ule

wewe dada umeichekesha eti Amen, ahahaha zamani sana nliwah kushika simu ya girlfriend wangu na nlikuwaga sina mazoea ya kuishika sasa msg ikaingia jamaa anamsifia mauno ya juz alomkatikia hapo juz tu... nikaifunga simu ya watu nakairudisha na nikaachana nae ila hadi leo sikuwah kumwambia kwanini tuliachana na hajuagi hadi leo....nilikausha mazima....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We acha tu ukitaka kushika simu ya mumeo au mchumba wako uwe na kifua cha kutosha.mi kuna siku niliazima simu ya hubby nimpigie mtu nimemaliza kupiga huyo mtu akawa kanitext kupitia simu ya mr nikaingia kwenye sehem ya ujumbe kwa ajili ya kujibu nikakuta mume wangu alikuwa ana chat na binti flani hivi meseji zimejaa kama zote kwa kuwa alikuwa ana haraka sikutaka kuzifungua kujua alikuwa ana chat nin mda wote huo karudi jioni nashika simu yake sikukuta meseji yoyote si iliyoingia wala iliyotoka nikabaki nacheka.sasa siku ingine nikaishika simu yake nikakuta meseji za yule yule binti ila sasa ziko vipandevipande alizotuma huyo binti haziko kwemye mpangilio maalum na alizojibu mume wangu yaan ni kitu ambacho hakieleweki maana zimebakizwa sms zinazosema amen tu zingine anajua mwenyewe alikozipeleka yaan niliishia kucheka tu nikasema kushika simu yake kuichek nimekoma maana mhhhhhh sio kwa mkanganyiko ule

Yaani hawa viumbe nashukuru nimejua before hata ndoa (sina uwakika kama ilikuwepo akili mwake)Sijui hizi amen kama zingeniacha salama
 
Kushika simu ya mwanaume ni makosa makubwa sana.Hili somo sijui kwanini wanawake hawalielewi.Kama wewe unajijua umekidhi vigezo unachotakiwa nikumfanya mtu wako awe vile unataka ikiwa ni pamoja na kukuheshimu ili ata kama atakua na mapungufu kidogo yawe ni yale yanayoenda sambamba na kuvumilika, kukupenda,kukulinda na kukuheshimu.Hao wanaokwambia uachane nae,je utaachana na wangapi.Ni rahisi kukiremba kinyago ulichokwisha kukichonga kuliko kuanza kuchonga kipya kitakachofanana na kile cha kwanza na kiwe tofauti kwasababu naamini hadi ulifikia kua naye alivuka nusu ya vigezo ulivyokua unavihitaji.sasa kazi kwako kuamua kuremba icho unachokijua au kuamua kutafuta usichokijua.Sasa kama ulikua kwenye uangalizi na majaribio ya uyo jamaa ndo muda wako kuchukua credit na kama tayari ulishakua mke ndo muda wakuonyesha thamani yakua mke bora.

Kinyago hichi kimepoteza taswila kabisa na wala siwezi kukiendelea kukichonga vipo vyakuvumilia ila si ufuska huu niliokutana nao kitu kikubwa nilichojifunza ni kujipenda mwenyewe and am happy
 
Kweli kabisa
Loyal people get hurt most
FB_IMG_1553168837442.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom