Sirudii kushika simu ya mwanaume

Sirudii kushika simu ya mwanaume

Alishapeleka na barua ya posa kwenu? Au mchumba hewa?
 
Issue siyo kushika simu yangu, issue ni Mimi kuwa msafi kiasi hata akishika simu yangu kusiwe na tatizo.

Sinaga shida na issue za simu kwa sababu siwezi kurun business mbili kwa wakati mmoja.

Salamu zangu nifikishie kwa wifi mwambie hongera yake
 
Kosa afanye yy, Lawama unajitupia ww?? Hebu mshukuru Mungu kwa kukudhihirishia huyo mtu hakufai na sio muaminifu, Songa mbele dont settle for less.. Usisikilize kauli za watu eti vumilia wanaume wote wanacheat... akija kukuletea maradhi lawama utampa nani? Ww ni wa thamani usikubali kufanywa Second Option.

Atleast unefanyika faraja asante n point taken
 
Back
Top Bottom