rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,856
Duuh noma sanaa...!! Kimya kimyaaawewe dada umeichekesha eti Amen, ahahaha zamani sana nliwah kushika simu ya girlfriend wangu na nlikuwaga sina mazoea ya kuishika sasa msg ikaingia jamaa anamsifia mauno ya juz alomkatikia hapo juz tu... nikaifunga simu ya watu nakairudisha na nikaachana nae ila hadi leo sikuwah kumwambia kwanini tuliachana na hajuagi hadi leo....nilikausha mazima....
Sent from my iPhone using JamiiForums



Sent using Jamii Forums mobile app