Sirudii kushika simu ya mwanaume

Sirudii kushika simu ya mwanaume

Kushika simu ya mwanaume ni makosa makubwa sana.Hili somo sijui kwanini wanawake hawalielewi.Kama wewe unajijua umekidhi vigezo unachotakiwa nikumfanya mtu wako awe vile unataka ikiwa ni pamoja na kukuheshimu ili ata kama atakua na mapungufu kidogo yawe ni yale yanayoenda sambamba na kuvumilika, kukupenda,kukulinda na kukuheshimu.Hao wanaokwambia uachane nae,je utaachana na wangapi.Ni rahisi kukiremba kinyago ulichokwisha kukichonga kuliko kuanza kuchonga kipya kitakachofanana na kile cha kwanza na kiwe tofauti kwasababu naamini hadi ulifikia kua naye alivuka nusu ya vigezo ulivyokua unavihitaji.sasa kazi kwako kuamua kuremba icho unachokijua au kuamua kutafuta usichokijua.Sasa kama ulikua kwenye uangalizi na majaribio ya uyo jamaa ndo muda wako kuchukua credit na kama tayari ulishakua mke ndo muda wakuonyesha thamani yakua mke bora.
 
We acha tu ukitaka kushika simu ya mumeo au mchumba wako uwe na kifua cha kutosha.mi kuna siku niliazima simu ya hubby nimpigie mtu nimemaliza kupiga huyo mtu akawa kanitext kupitia simu ya mr nikaingia kwenye sehem ya ujumbe kwa ajili ya kujibu nikakuta mume wangu alikuwa ana chat na binti flani hivi meseji zimejaa kama zote kwa kuwa alikuwa ana haraka sikutaka kuzifungua kujua alikuwa ana chat nin mda wote huo karudi jioni nashika simu yake sikukuta meseji yoyote si iliyoingia wala iliyotoka nikabaki nacheka.sasa siku ingine nikaishika simu yake nikakuta meseji za yule yule binti ila sasa ziko vipandevipande alizotuma huyo binti haziko kwemye mpangilio maalum na alizojibu mume wangu yaan ni kitu ambacho hakieleweki maana zimebakizwa sms zinazosema amen tu zingine anajua mwenyewe alikozipeleka yaan niliishia kucheka tu nikasema kushika simu yake kuichek nimekoma maana mhhhhhh sio kwa mkanganyiko ule
 
Mambo hayo ambayo hatuwaambii wanawake ndo unayaficha kwenye simu? Kama ndio kuna ulazima wa kuyaficha kwenye simu? Siri ya Simu ni michepuko tu hakuna lolote linalofichwa humo!


Sent from my iPhone using JamiiForums

mkuu we are who we are believe what you believe.. ila kuna siku utaleta mrejesho, wanawake sio kama wanaume tupo tofauti sana and you guys hamtaki kuaccept the difference ndio mana you will always be struggling to get things equal wakati haiwezekan...case closed


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
mkuu we are who we are believe what you believe.. ila kuna siku utaleta mrejesho, wanawake sio kama wanaume tupo tofauti sana and you guys hamtaki kuaccept the difference ndio mana you will always be struggling to get things equal wakati haiwezekan...case closed


Sent from my iPhone using JamiiForums

i mean believe what you believe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
utasahau weweee!
umepita hapo ili kujifunza SIO LAZIMA KILA MAHUSIANO YAISHIE NA NDOA!
MENGINE YANAKUJA ILI KUJIFUNZIA STYLE TU!
msiwe mnacomplicate sana maisha!
AMEKUJA ULIMPENDA YO HAD FUN YAMEISHA SONGA MBELE!

kukaaa kutosahau mapenzi yalokuumiza ni kukubali kuumia in the past and in the future!
UNALIA KIDOGO UNAKUBALI MATOKEO!ENDELEA KUISHI!

Thats my girl...LIFE IS TO SHORT MY DEAR


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Narudia tena ukiwasikiliza sana wanawake utagombana nao sana, kama unamwamini mtu kwanini umpekue? kitu kingine nakupa angalizo hata uwe na uhusiano mzuri vipi there is certain level of privacy binadamu yeyote lazima awe nayo na ni haki yake sio lazima ujue kila kitu cha mwenz wako, na ndio mana binadamu yeyote yule kuna siri moja anaijua yeye mwenyewe na hawez kumwambia mtu yeyote na atakufa nayo, fanya risech wewe mwenyewe utagundua kuna kitu ulishawah kukifanya na hakuna mtu yeyote anaejua na haupo tayari kumwambia binadamu yeyote.....mwache kudanganya watu start living the reality. Unafikiri kwanini wazungu wanaachana sana kuliko hata sisi na simu zilianzia kwao ? simu sio kila kitu aisee na kusema ukweli globalization ndio inaua relationships nyingi sana......


Sent from my iPhone using JamiiForums

But still haijustify wewe kucheat maybe its true nimeingilia privacy yake lkn he wasnt honest
 
Ulikuwa unatafuta nini kwa simu ya mumeo, na umekuta nini tofauti na hulichokuwa unatafuta?
Mimi naamini kabisa ulichokuwa unakuchunguza ndicho ulichokikuta, sasa kwa nini unaweweseka? Ukome kabisa.

Amini nakwambia sikua natafuta nilichokikuta
 
Sio kila kitu chakufatilia vingine vipote zeee tu,unakuta simu inapasswad 5 huwezi kuvisoma vyote achana na simu
Hiyo simu iogope kama ebola

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Nilikua nabisha lakini kwa niliyoyaona kwenye simu ya mwenza wangu moyo umekufa ganzi.....sirudii tena
Nlishakuonya kuhusu cm yangu hukusikia,ilq hizo msg niliweka tu mtego ili ukome kuishika cm yangu,nisamehe tu mke wangu mtarajali ckua na lengo baya na wala hizo msg c mchepuko alituma
 
Pole sana siku nyingine usirudie tena usije kupatwa na ugonjwa wa moyo bure.
 
Kushika simu ya mwanaume ni makosa makubwa sana.Hili somo sijui kwanini wanawake hawalielewi.Kama wewe unajijua umekidhi vigezo unachotakiwa nikumfanya mtu wako awe vile unataka ikiwa ni pamoja na kukuheshimu ili ata kama atakua na mapungufu kidogo yawe ni yale yanayoenda sambamba na kuvumilika, kukupenda,kukulinda na kukuheshimu.Hao wanaokwambia uachane nae,je utaachana na wangapi.Ni rahisi kukiremba kinyago ulichokwisha kukichonga kuliko kuanza kuchonga kipya kitakachofanana na kile cha kwanza na kiwe tofauti kwasababu naamini hadi ulifikia kua naye alivuka nusu ya vigezo ulivyokua unavihitaji.sasa kazi kwako kuamua kuremba icho unachokijua au kuamua kutafuta usichokijua.Sasa kama ulikua kwenye uangalizi na majaribio ya uyo jamaa ndo muda wako kuchukua credit na kama tayari ulishakua mke ndo muda wakuonyesha thamani yakua mwanamke bora.
Na kushika simu ya
mwanamke siyo kosa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom