Unaozalisha vilaza ndio mfumo mzuri?Hakuna mfumo mzuri wa Elimu duniani kama huu wa Tanzania
Kutafuta weledi kwa hao watu wanaosimamia elimu ni sawa na kumtafuta padre kwenye baraza la ulamaaYule Msomnde aliyeondoka, anstahili achunguzwe ushirika wake na shule alizokuwa akizitangaza kila mwaka.
Hata hapa Changanyikeni,yupo mmoja ana apartments za kutosha kwa biashara hiyo hiyo.Kuna. M-NECTA mmoja alijenga Kijiji cha Maghorofa hapa Dar kwa Kuuza mitihani