Siri ya wanawake na bodaboda


same same....
 
wanatuchapia sana hawa! ukiwaona utafikiri mafala.hawaongei!
Kwenye simu zao wamejaza namba za wanawake kuliko hata wanaume, na ukiwaangalia wengi wa mabodaboda hawajaoa kazi kuvizia wateja wao tu.
 
Kwenye simu zao wamejaza namba za wanawake kuliko hata wanaume, na ukiwaangalia wengi wa mabodaboda hawajaoa kazi kuvizia wateja wao tu.
wanapiga sana vipapa na mikofia yao mibaya!
 
hehehehe mbona balaa sasa
 
Mkuu jiweke jirani na boda boda ujue machimbo ya mkeo au ingia kwenye hiyo kazi ujionee wanawake wasivo na maana hapa mjini..!
aone wanakokwenda kusaula viwalo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…