Siri ya wanawake na bodaboda

duuh, hii kama ni kweli
😀😀😀😀😀😀😀
 
Uzuri wa boda boda kila kona wanaifahamu. !
 
napenda sana bodaboda aliyepakiza demu akikaa mbele yangu, haswa zile boxer maana wadada wakikaa kwenye boxer wanajibinua hatari, teh!
Kama hivi
 

Attachments

  • 1456058164496.jpg
    76.1 KB · Views: 53
Ndio usafiri rahisi,kona kona dakika mbili nimefika ninapotaka kufika...
Ajabu wanaoongoza kupata ajali za bodaboda ni abiria wa kiume,hapa huwa sijui ni kwanini...

Kwa sababu nyie mnawashika so romatic, akili zao zinatulia

Wanaendesha taratibu na kwa makini, hawatamani mshuke
 

Dah umeniumiza kichw sana kwahiyo unataka kunambia mame chanje akiniambia atakwenda kwa bodaboda tu inatosha huwa anapelekwa maeneo hayo???
 
Dah umeniumiza kichw sana kwahiyo unataka kunambia mame chanje akiniambia atakwenda kwa bodaboda tu inatosha huwa anapelekwa maeneo hayo???
ukiona manyoya jua ameliwa mama chanje[emoji12] [emoji2]
 
labda .....kweli maaana mm sijafanya utafiti, siwezi kupinga maana tafiti ......hupingwa kwa tafit
 
mkuu sio Dar tu! hawa bodaboda wanaficha maovu sana! naamini hata wao wanapiga hizi nyapu kimyakimya.
 
Binafsi wananisaidia mahitaji ya haraka haraka sokoni
Ila sisi(wanawake) ndo tunapokea wageni nyumbani so ni rahisi mgeni kufika nyumbani kwa mawasiliano ya ukaribu na bodaboda man anampokea mgeni na kumleta mpaka nyumbani
mko wachache wa hivyo! wengi wanawaishwa kuchuna mabuzi!
 
Bodaboda nao wanafaidi wakati mwingine kuna wakati wanapewa hizo papuch wakizoeana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…