zinasambaza ukimwi na kuleta watoto wasio na wazazi wote.
viongozi wote waliokimbiza mwenge miaka ya 80 waliondoka na ngoma.ni kweli mwenge umeleta madhara makubwa kwa taifa letu.una mchango mkubwa sana katika uenezi wa maambukizi ya ukimwi. Watanzania wanakenua tu.hauna faida yoyote.unahisiwa umebeba ushirikina mkubwa.niliwahi kusoma mahali miaka ya tisini kwamba umetengenezwa na fuvu la mwarabu chongo kutoka tabora.ccm wanaung'ang'ania kama luba.watanzania tuangalie kwa karibu tatizo la mwenge.