Siri ya Mwenge wa Uhuru

Ahsante mamii kwa kurudi,nilihofu nimekupoteza,basi usijali nitakuja kukutembelea siku nikirudi Mwanza,kwetu mtaa wa uhuru,utanikaangia sato na ugali wa muhogo.

Uhuru kwa nani, nipite hata jioni ya leo
 
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mbalimbali ili kulinda viongozi wa nchi.

Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.

Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.

Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.

Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.
Wewe ndio shetani unaponda mwenge wa Uhuru wa Tanzania alafu una shangilia mwenge wa Olympic na kukimbilia kupokea kifimbo cha malikia wa uingereza . Shame up on you.
 
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mbalimbali ili kulinda viongozi wa nchi.

Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.

Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.

Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.

Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.

Rombo ililaaniewa! Hasa eneo la Kiraeni mimi nimezaliwa Rombo na nimekulia kule hadi miaka 15. Wenye Google Map search. Rombo Kiraeni utaona kipande cha kama kilometa 3 Za mraba ambacho ni Jangwa! Hapo ndipo slhughuli ilifanyikia mwanzo!
 
Ndio Maana Uhuru Anaheshimiwa kwa kuwa pamoja na Kutukanwa Hajawahi Kumkamata Mtu yeyote Huko ndiko Kujiamini, huko ndiko kuwa Na Balls!

Magufuli anapozwa na Mastooge kama hawa, " Kuku zilipe kodi"
 
Wale jamaa zetu siku hizi wanatumia magari aina ya Nissan private No.Huwa wanaichukua hiyo tochi wanaenda nayo chemba kuibadirisha tambi na kuongeza wese,infact mmoja wao ni shemeji yangu alishawahi kuniambaiaga kuwa katika ile tochi kuna siri kubwa sana ya kiuchawi na mizimu iliyoachwa na........ aliniambia kuwa siku tukiupuuza ndiyo itakuwa mwisho wa SISIEMU,
Mimi ndiye bwana mungu wako usiabudu miuungu wengine. Je tochi ile ni sanamu,muzimu,nyoka wa shaba,au Msukule?????????????????????????????????????????????????

Yaani hii kitu siku watanzania wakiacha kwenda watafunuka kiakili.Ukitaka kuthibitisha angalia wale wanaoenda kusubiria na akili zao zilivyo.

Kwa sasa hata wale wanaosimamisha magari barabarani kwa muda mrefu huwa siwaelewi,kiasi kwamba nikiwa hata kwenye gari sitoki nje hata maana na wasiwasi na hii migari ya hawa watawala wameweka mavitu yao tuwaabudu tu kama mazuzu
 
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mbalimbali ili kulinda viongozi wa nchi.

Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.

Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.

Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.

Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.

Siku huu Mwenge ukipigwa chini ndipo Vujana wa CCM watakapopata AKILI
 
Kwanini uwe mjinga? Kwanini usitumie akili? Kwanini ufikirie kuwa kunamashetani?
Mwenge wa Uhuru haunaconnection na imani ya aina yote.
Halafu baadae utasema kumpigia saluti raisi ni kumuabudu.
Dhana ya mwenge wa uhuru ni kuwamulika wanyonyaji wote na kuleta mshikamano.
Hivi umezaliwa mwaka gani vile?
Ondoa imani potofu ndani ya akili zako.
Kwani wazee kuchinja mbuzi au kondoo ndio kuabudi mashetani?
Hiyo ni ishara ya furaha na Mlima kilimanjaro ndio mrefu kuliko yote Africa.
MUONEKANO WA PD TAKO NA SIGNARUTE YAKO INAONESHA KABISA WE UNA UHUSIAO NA KINACHOSEMWA KUHUSU MWENGE
 
Siku mwenge ukizuiwa hta ccm kwenye uchaguz lazma ishindwe. Kwanza mwenge unavielement vya campain.
 
Back
Top Bottom