Umemuuliza kaka yako?
haya yote yasinge komaa tatizo nyie wanaume wa dar mmezoea kuchati tuuu et mnasubir polisi
ila hawa vibaka wakiacha kukaba tuu wakaanza na kuwalawiti labda ndio mtachukua hatua
nahisi mtakuwa shapu kupambana kwa pamoja na kulinda jamii hasa wana wake mana haiwezekan nyie mlie lie humu mitandaon na wanawake wenu nao walie lie
Du hii kali.mm kuna bro wangu anakimbiza mwenge mwaka huu na juzi nilienda kumuona ilala na kapata zawadi nyingi sana ,sasa namsubiri arudi lazima nimuulize kuhusu uhalisia wa mwenge.